Aiseeee! Startimes kwa wenye dish wana channels nyingi kuliko kisimbusi chochote zinafika hadi 1000 hadi brazzers tv ya porno ipo ila ni ujuzi wako tu ili upate acces yake ionyeshe!startimes mkuu hawaoneshi africon. but wanaonesha bundasliga, serie A, mls, jupler league, ligi kuu scotland, ligi kuu uturuki, na ligi kuu sweden (kwa baadhi ya matches)
Dekoda gani ya FTA unapata local zote za bongo? Tsh ngapi inauzwa?hivi bado kuna watu wananunua vingámuzi vya kulipia tu karne hii? aisee hayo majanga mnajitakia wenyewe poleeni sana. wale tuliofunga madishi ya futi 6 na receivers za FREE TO AIR tunacheka kwa dharauuuu! hayo mambo ya kulipia ni zama za mawe za kati.