We kenge nenda kamsaidie gamba mwenzako
We Wee,kenge mwenyewe,kamsaidie kumvalisha pampers lowassa
"magufuli atosha mamvi yanini?"
We kenge nenda kamsaidie gamba mwenzako
Na wewe wamekupa khanga?Pole Sana Aliyevunjika.
Updates:
Mitaa Ya Mwembeyanga Tayari Kumeshachafuka Rangi Za Kijani Na Njano,watu Tunangojea Time Tu,tuzuke Kiwanjani Na Sare Zetu.......
Wewe gamba lazima ukimbie kama wenzio akina GENTAMYCINE.
Bado kuna huyo popoma mmoja nae atakimbia tu.
Ukome Sikukimbia Bali Nilikuwa Red Carded Na Wenye JF Kwa Muda Kidogo Ili Niweze KUKUSANYA Data Za Kutosha Za UKAWA Na Kuanzia Kesho Hadi Jumamosi Usiku Nitaanza Kuzitoa Moja Baada Ya Nyingine Labda Akina nifah Wanisihi Nisiwaumbue Vinginevyo Vitu Nilivyonavyo Na Nitakavyovitoa Nina Uhakika 75% Ya Wana UKAWA Humu JF Nitawabadilisha Na Jumapili Kwa Pamoja Tutampigia Kura Dr. Magufuli.
hatutaki kiongozi DIKTETA
Huyo unayempigia debe inasemekana alipataga matatizo ya @ki!! Sasa urais atauweza wapi?Hata Baba Yako Tu Asingekuwa Dikteta Leo Usinge Nyooka Hivyo Na Kuwa Na Mafaniko. Kwahiyo Hamtaki Kiongozi Dikteta Mnataka Kiongozi Ambaye Kila Wakati Tutakuwa Tunamsindikiza Tu Chooni KUJISAIDIA HAJA KUBWA? Huoni Kama 75% Ya Muda Wake Wote Atakuwa MSALANI?
hapo ndipo ataelewa kuwa ccm inawenyewe.
Ningekuwa daktari ningemfanyia operation ya kichwa.
Si ajabu alipewa buku mbili ili apandishe lakini atagharamia zaidi kujitibu, na kama atakuwa kalazwa na kura yake ishapotea.
Zikiwa zimebaki siku chache kupiga kura, kijana mmoja mwenye umri unaokadiriwa kuwa miaka 28, maarufu kwa jina la KIJOKA, aishiye eneo la Mbagala- Charambe, amejikuta akipata ajali kwa kuvunjika vibaya mguu wake wa kulia baada ya kuanguka wakati akipandisha bendera ya CCM juu ya mti mrefu.
Zikiwa zimebaki siku chache kupiga kura, kijana mmoja mwenye umri unaokadiriwa kuwa miaka 28, maarufu kwa jina la KIJOKA, aishiye eneo la Mbagala- Charambe, amejikuta akipata ajali kwa kuvunjika vibaya mguu wake wa kulia baada ya kuanguka wakati akipandisha bendera ya CCM juu ya mti mrefu.
Tusifike huko,tutofautiane tu kimtazamo lkn tusichukiane
Kweli kabisa.Kwanini asingezima kabisa?Jitu linaloishabikia CCM halitakiwi kuonewa huruma.