Abuhunna
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 409
- 233
Atapelekwa kutibiwa india, mipango iko mbioni, tunasubiri matokeo ya uchaguziZikiwa zimebaki siku chache kupiga kura, kijana mmoja mwenye umri unaokadiriwa kuwa miaka 28, maarufu kwa jina la KIJOKA, aishiye eneo la Mbagala- Charambe, amejikuta akipata ajali kwa kuvunjika vibaya mguu wake wa kulia baada ya kuanguka wakati akipandisha bendera ya CCM juu ya mti mrefu.