CT SCan Mchina
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 1,311
- 289
- Thread starter
- #21
....sidhani kama atapata msaada wowote masikini kijana huyu.... amevunjika AKIHANGAIKIA chama,..
Last edited by a moderator:
Ndyo matunda ya kusaliti sauti ya mungu
Kwanini asingezima kabisa?Jitu linaloishabikia CCM halitakiwi kuonewa huruma.
tumwonee huruma jamani, bado ni kijana huenda akipona atajitambua..
Miaka 28 bado tu hajajitambua?
Tusifike huko,tutofautiane tu kimtazamo lkn tusichukiane
Namchukia anayeishabikia CCM maana who knows?Kura yake moja inaweza kubadili matokeo tukapitia kipindi kingine kigumu chini ya uongozi wa CCM.
Na wafe tu.....
atagundua nini maana ya ccm ni walelwale, ccm ni mbele kwa mbele
Zikiwa zimebaki siku chache kupiga kura, kijana mmoja mwenye umri unaokadiriwa kuwa miaka 28, maarufu kwa jina la KIJOKA, aishiye eneo la Mbagala- Charambe, amejikuta akipata ajali kwa kuvunjika vibaya mguu wake wa kulia baada ya kuanguka wakati akipandisha bendera ya CCM juu ya mti mrefu.