AVN number ilivyokatisha ndoto zangu

AVN number ilivyokatisha ndoto zangu

Ndosh

Member
Joined
Oct 14, 2020
Posts
31
Reaction score
13
Habari ,

Ninasikitika kusema kuwa jambo ambalo laonekana kuwa dogo, hilolohilo limekatisha ndoto za vijana wengi nchini Tanzania, nimefanya application ya mkopo ili niendelee na chuo kikuu, nimesoma kozi ya technical education in electrical engineering.

Lakini baada ya kufuatilia avn kila kitu kiligonga mwamba,, kwa kifupi kozi yetu haipo kwenye database ya NACTE.

Pamoja na kwamba nimesoma chuo cha serikali, na nimefanya mtihani wa baraza, NECTA.

Hivyo basi naomba kama kuna wahusika katika mamlaka hizo mbili (nacte & necta), wafanye kazi yao kwa weledi mkubwa, kama hawawezi basi hizo mamlaka hazifai kuwepo, wabuni mbinu nyingine yenye ufanisi mkubwa.

Nimeumia kiasi cha kufa kwa kupoteza gharama zangu nyingi bila mafanikio😱😱😱
 
duu pole sana mkuu jaribu kuwafata makao makuu yao hao nacte labda watakupa mustakabali mzuri
 
duu pole sana mkuu jaribu kuwafata makao makuu yao hao nacte labda watakupa mustakabali mzuri
Niko mbali Sana na makao makuu Dar, nipo Arusha, siwezi kupoteza pesa kwa kitu ambacho nishapoteza matumaini nacho , ngoja nikae kimya Lakini ole wao nitakapokuwa madarakani😣
 
Habari ,

Ninasikitika kusema kuwa jambo ambalo laonekana kuwa dogo, hilolohilo limekatisha ndoto za vijana wengi nchini Tanzania, nimefanya application ya mkopo ili niendelee na chuo kikuu, nimesoma kozi ya technical education in electrical engineering.

Lakini baada ya kufuatilia avn kila kitu kiligonga mwamba,, kwa kifupi kozi yetu haipo kwenye database ya NACTE.

Pamoja na kwamba nimesoma chuo cha serikali, na nimefanya mtihani wa baraza, NECTA.

Hivyo basi naomba kama kuna wahusika katika mamlaka hizo mbili (nacte & necta), wafanye kazi yao kwa weledi mkubwa, kama hawawezi basi hizo mamlaka hazifai kuwepo, wabuni mbinu nyingine yenye ufanisi mkubwa.

Nimeumia kiasi cha kufa kwa kupoteza gharama zangu nyingi bila mafanikio[emoji33][emoji33][emoji33]
umesoma level gan mkuu
 
Niko mbali Sana na makao makuu Dar, nipo Arusha, siwezi kupoteza pesa kwa kitu ambacho nishapoteza matumaini nacho , ngoja nikae kimya Lakini ole wao nitakapokuwa madarakani😣
Pole sana mkubwa, ila naomba ukumbuke kuwa chuki humchoma anayehifadhi....

Najua magumu unayopitia kiasi cha kuona Mungu hana nguvu tena, ila Nacte wanaofisi zao za kanda sidhani kama kuna ulazima wa kwenda Dar.

Jaribu kufuatilia hilo....
 
Kila Jambo linawakatu wake Mimi mwenye mwka juzi nilikosa kila kitu kisa avn nilipoteza hela nyingi sna
Lakini mwaka unaokuja nikipata kila kitu nacho mshukul mungu
Kwaio bro wait mwakana uombe Tena
 
Pole sana kwa yaliyokukuta naomba namba yako ya kidato cha nne na mwaka uliomaliza nikusaidie kujua nini tatizo na soln yake by kesho
 
Niko mbali Sana na makao makuu Dar, nipo Arusha, siwezi kupoteza pesa kwa kitu ambacho nishapoteza matumaini nacho , ngoja nikae kimya Lakini ole wao nitakapokuwa madarakani😣

App chuga c Kuna nafas.
 
Niko mbali Sana na makao makuu Dar, nipo Arusha, siwezi kupoteza pesa kwa kitu ambacho nishapoteza matumaini nacho , ngoja nikae kimya Lakini ole wao nitakapokuwa madarakani😣
😂😂😂😂
 
ndugu sema umesoma chuo gani jieleze vizuri usaidiwe maana vyuo ambavyo vipo chini ya NACTE Hawafanyi mtihani wa baraza, kama vile kozi za afya huwa hazipo chini ya NACTE , jambo la pili ukiwa kama mwanafunzi inabidi kutazama mwanzoni kabisa kama chuo unachosoma kipo sahihi na kinatambulika, jambo la mwisho elewa sio kila diploma inatambulika na NACTE kuna baadhi ya diploma kama zinazotolewa UDSM na UDOM hazipo chini ya NACTE
 
Am still waiting tuone hicho unachokisema usahihi wake upo wapi bwana ndosh
 
Not s
Pole sana mkubwa, ila naomba ukumbuke kuwa chuki humchoma anayehifadhi....

Najua magumu unayopitia kiasi cha kuona Mungu hana nguvu tena, ila Nacte wanaofisi zao za kanda sidhani kama kuna ulazima wa kwenda Dar.

Jaribu kufuatilia hilo....

Pole sana mkubwa, ila naomba ukumbuke kuwa chuki humchoma anayehifadhi....

Najua magumu unayopitia kiasi cha kuona Mungu hana nguvu tena, ila Nacte wanaofisi zao za kanda sidhani kama kuna ulazima wa kwenda Dar.

Jaribu kufuatilia hilo....
Nishafika hadi ofsini kwao wakaniambia tatizo lipo NECTA, NECTA nikawaandikia barua but nothing is going on. Nachukia Sana kwa utendaji mbovu kwa haya mabaraza, NECTA & NACTE.
 
ndugu sema umesoma chuo gani jieleze vizuri usaidiwe maana vyuo ambavyo vipo chini ya NACTE Hawafanyi mtihani wa baraza, kama vile kozi za afya huwa hazipo chini ya NACTE , jambo la pili ukiwa kama mwanafunzi inabidi kutazama mwanzoni kabisa kama chuo unachosoma kipo sahihi na kinatambulika, jambo la mwisho elewa sio kila diploma inatambulika na NACTE kuna baadhi ya diploma kama zinazotolewa UDSM na UDOM hazipo chini ya NACTE
Nimesoma Ualimu Elimu ya Ufundi Secondary ( Diploma in Technical Education) KLERUU TEACHERS COLLEGE. Ni Chuo Cha Serikali!!!!
 
Wanaudhi Sana na hapo washakula pesa yangu 10000/=
 
Back
Top Bottom