Avatar na jina lako, ulifikiria nini?

Avatar na jina lako, ulifikiria nini?

Hallucinations na illusions tu hakuna kingine na ni kwa wote humu
 
jina nilichugua kwa kuwa ninashikilia nafasi kubwa sana ktk jamhuri ya muuungano kama obama wa muungano wa majimbo ya amareka
avatar ya nyerere ni kwa kuwa nakubalika kwa watanzania kama nyerere

Mbona sasa ni senior expert member!
Ya salasini tu inakushinda!
 
Deo ni jina langu
Corleone nililipata kwenye novel na movie ya The Godfather (mario puzo) .
Avatar ni wasanii ninaowakubali sana kuliko wote duniani ambao ni MwanaFA na Ngwair( R.I.P)
 
I am a reserve armed force "not in Tanzania"! I prefer using Rocket propelled grenade launcher - 7 (rpg 7)!
 
tulishajadili sana hili,,em search utakuta tulishalijib.
Cc. Invisible
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli mi hata cjui ilikuwaje nikachagua hiyo username na kwa avatar pia cjui

Sasa jombaa,kitu gani unachokijua duniani?ikiwa hata jina unalotumia hujui chochote kuhusu jina hilo kuna kitu unachokijua?,taja hata kimoja basi!
 
Back
Top Bottom