miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
mimi napenda maua sana na username yangu i love my tribe that all
Basi endelea kulala huenda ndoto yako ikakamilika ndugu obama wa bongosorry kwa kutokamilisha maelezo zamani nilikuwa na ndoto za kuchezea man united enzi za kina boby charlton CBE mshindi wa pekee wa baloon O'dor kutoka england alikuwa anapenda sana kuvaa bosholi(kofia kama hii)
kwa hiyo naienzi ndoto yangu japo haijafanikiwa
Naomba unipige jeki mwana JF hapa.Nimekuwa nikiangalia na kushangaa kwa muda mrefu, avatar na majina tunayoyachagua yanatokana na nini hasa? unakuta mtu kaweka avatar ya jicho moja au kichwa nazi, mara avatar ina pengo, huwa najiuliza hivi leo Mungu anasema kuanzia leo uwe kama avatar yako sijui utafanya nini, watapona walioweka avatar za warembo, sijui itakuwaje aliyeweka avatar ya kike na yeye ni mwanaume. Hebu tufunguke ilikuwaje ukachagua avatar na jina hilo. Binafsi nilichagua jina la JEKI likiwa na maana nakuja katika JF kuwapiga jeki wasiojiweza kama vile jeki inavyomsaidia mtu aliyeharibikiwa na gari lake, avatar nayo ikawa jeki yenyewe. WEWE JE????
Rombo ya wapi? rombo kubwa usije kuta ndugu zetu ni nduguMimi najiita Mromboo kwasababu nimetokea Rombo na mimi ni Mrombo. Hiyo picha ya mgomba ni Kibungara achacho kinatengeneza mbege safi sana. kama una ugeni kama wa Ukwe lazima utengeneze mbege ya Kibungara peke yake ambayo ukiinywa hata bia unaacha unaendelea na mbege ya kibungara. kiujula jina na avata yangu inaonyesha uhalisia wangu. unasemaje mzee sirluta
jina nilichugua kwa kuwa ninashikilia nafasi kubwa sana ktk jamhuri ya muuungano kama obama wa muungano wa majimbo ya amareka
avatar ya nyerere ni kwa kuwa nakubalika kwa watanzania kama nyerere
mimi napenda maua sana na username yangu i love my tribe that all
Ila avatar yako kama inapingana, navyojua fb ina mambo ya ajabu sana, nikikuona kwa picha unaonekana ni mcha Mungu mzuri, angalia fb isije ikakubadilisha maana wahuni wamejaa huko.
sina ubishi na wewe hata kidogo kwa jinsi navyokujua, hebu na mimi niambie huyo dada ana sifa gani nzuri maana mimi hata kumjua tu simjui.
We ulitakiwa uweke avatar yenye picha ya pesa...
Ha ha ha pesa ni kama maua ysiponyeshea na kutunza ujauka na kupotea haraka
wanawake wapenda maua hawana mambo mengi, ila wewe sijui tu!
Anhaaa, hongera sana mkuu. Basi kuwa makini wakati wa kuchagua avatar ili iendane na uhalisia wa jina lako. Siyo mtu kaweka jina zuri lakini avatar ovyo kabisa.