Auawa kwa kumkufuru mtume Muhammad S.A.W

Auawa kwa kumkufuru mtume Muhammad S.A.W

Kwani hao wamewezaje ? Si unaona kuna kisa ,yule aliyekuwa anachoma Qur an mpaka kupigwa bastola ...Kiufupi ,hao jamaa ni wanafiki sana ,angalia wanavyounguza Qur an kila siku ..Ulishawahi kuona nchi za kiislam wkimtukana huyo yesu wao? Pale Iran hauwezi kumtukana Yesu wakakuacha salama .

Wanatakiwa wakome kuleta kejeli .
Sasa mkuu huyo dada aliyeuawa amechoma Quran? 😭😭 Astaghfirullah 😭
 
Nimejaribu kupitia habari iyo kwa uchache

Kumbe ulikuwa utani wa mama lishe na mteja wake kahuni ka mtaa

Akawa kijana anachombeza kiutani mshangazi ili akikubali Dogo atimize sunna ya mtume na bi khadija.!

Mshangazi ukajibu ulivyojibu wadau wa pembeni ndio wakawa hawajaridhishwa na majibu aliyojibiwa Dogo na mshangazi, balaa likaanzia hapo
Nimekuelewa inamaana dogo alitaka kumuoa mtu anaemzidi umri kama ilivyokuwa kwa bi hadja wakiwa wanazungumza kama utani hapo hujasema alisema nini kuhusu mtume?
Ila ni kwamba inaonekana waliacha mazungumzo yao wakawa wameingia kwenye maisha ya kiongozi huyu mtufu
Hiyo ndio ilikuwa shida huwa kuna uongo mwingi unatamkwa dhidi yamtume lakini mafundisho yamtume hayafuhdishi kuuwanq kwasababu yalipingwa kwake watu tupunguze jazba mimi nimuislam lakini sikubaliani na hilo
Twende hoja kwa hoja kupigana au kuuwana sio tiketi yambinguni hiyo ilikuwa dunia yawasio soma sio sasa tumeamrisha kumkuta mtu kazama kwenye ukafiri ukamlingania mara tatu hataki tumeambiwa umuache sio umuuwe .
 
Moja, Kitendo kilichofanyika n chakikatili

Mbili, nawasihi wakristo wote mjiepushe na kujeli zinazo epukika, kashfa na dharau Kwa kitu ambacho ww huamini lkn mwenzio anaamini sio SAWA.

Mwisho, imekua rahisi mkristo kukashfu uislamu Kwa njia ya matusi, kejeli na mizaha kuliko hoja.

Kosoa kwa hoja utajibiwa na utajiepusha na matokeo mabaya yasiotarajiwa, mfano mzuri dada Setfree hatukani na wala akejel Iman nyingne anapanga hoja zake vzuri tu na anaeleweka

Mwisho kabsa, kuhusu sijui mambo ya pedophile kwanza jiulize bikira Maria alitolewa mahari akiwa na miaka mingapi na Joseph alikua na miaka mingapi

Nawasilisha
 
Mwanamke mmoja ameuawa kwa kuchomwa moto na kundi la watu katika jimbo la Niger Kaskazini mwa Nigeria baada ya kutuhumiwa kumkufuru Mtume Muhammad (S.A.W).

Polisi walilaani mauaji ya mwanamke huyo aliyetambuliwa katika vyombo vya habari vya ndani kama mchuuzi wa chakula anayeitwa Amaye .

Polisi wamesema kuwa uchunguzi unaendelea ili kuwakamata na kuwafungulia mashtaka wahusika.

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International lilisema kuwa kufuru mara nyingi hutumiwa kutatua matokeo ya kibinafsi kaskazini mwa Nigeria.

Mnamo 2022, mwanafunzi Deborah Samuel alipigwa na kuchomwa moto akiwa hai katika jimbo la Sokoto baada ya kushtakiwa kwa kutoa maoni ya kufuru.
View attachment 3461637
Sitetei kilichofanywa ila nawashangaa humu wanao kashifu uislamu. Wangesikia ni mwizi kauwawa kwa moto wangepongeza kweli kweli.
Ila kutukanwa tena kwa makusudi kwa kiongozi wa juu kabisa wa Dini wanaona ni sawa.
 
Nimejaribu kupitia habari iyo kwa uchache

Kumbe ulikuwa utani wa mama lishe na mteja wake kahuni ka mtaa

Akawa kijana anachombeza kiutani mshangazi ili akikubali Dogo atimize sunna ya mtume na bi khadija.!

Mshangazi ukajibu ulivyojibu wadau wa pembeni ndio wakawa hawajaridhishwa na majibu aliyojibiwa Dogo na mshangazi, balaa likaanzia hapo
Wapuuzi na imani yao nayo ni ya kipuuzi.

Wao kuwaita wengine ni makafiri wanaona sawa. Ila wao wakiambiwa imani yao ina mushkeli, wanawaka.
 
Sasa mkuu huyo dada aliyeuawa amechoma Quran? 😭😭 Astaghfirullah 😭
Angalia kuna kisa hapo...So wamemuua bila ya sababu? Kiufupi heshimu wengine ,hata ukimtukana Raisi utapata kichapo mpaka muwe na heshima .
 
Moja, Kitendo kilichofanyika n chakikatili

Mbili, nawasihi wakristo wote mjiepushe na kujeli zinazo epukika, kashfa na dharau Kwa kitu ambacho ww huamini lkn mwenzio anaamini sio SAWA.

Mwisho, imekua rahisi mkristo kukashfu uislamu Kwa njia ya matusi, kejeli na mizaha kuliko hoja.

Kosoa kwa hoja utajibiwa na utajiepusha na matokeo mabaya yasiotarajiwa, mfano mzuri dada Setfree hatukani na wala akejel Iman nyingne anapanga hoja zake vzuri tu na anaeleweka

Mwisho kabsa, kuhusu sijui mambo ya pedophile kwanza jiulize bikira Maria alitolewa mahari akiwa na miaka mingapi na Joseph alikua na miaka mingapi

Nawasilisha
Unatetea upuuzi.

No matter what. Hakuna mwenye haki ya kumtoa mwenziye uhai kwa kisingizio cha imani.

Pili kuhusu pedophilia. Mabinti wapewe fursa ya kujiendeleza na kujikomboa kama wenzao wa kiume. UtamchumbiaJe mtoto wa miaka 9 ?! Unatamani ni kwa mtoto huyo kama si pedophilia !!.
 
Kwaiyo Mungu wa waislamu ni powerless mpaka apiganiwe na mwanadamu yeye hana nguvu wala uwezo wa kumfanya mtu alie kufuru chochote???
Kila Mtu anayo haki kuchukia kutukaniwa kitu anachokiamini hata mzazi wako unaweza chukua jukumu ww kumpigania badala ya mzazi wako mwenyewe!!!

Ivi kama mzima kweli kiakili Kwanini Umchokozee Mungu wa mwenzio kisha udai mbona unanipiga ww badala ya uyo Mungu wako kama kweli anamguvu 😇😇😇

umenichokoza mimi umenilenga mimi umemkebei Mungu wangu kupitia mm kwaiyo mm ndio nitaamua chakufanya.

Ungekaa kwako kimyaa kimyaa ungemtukana uyo Mungu yoyote usiompenda !!
nani angegombana naww lkn mbele ya Macho ya mwenye iman yake haaaa apo umelitafuta mwenyewe!!!!

Lkn nyinyi Wakristo mbona pia mnafanyaga miujiza Fake ya uponyaji mkimsingizia Mungu ndio kafanya???

kumbe igizo lenu nyinyi mchungaji na genge lako la wahuni !!!

nasema uwongo ndugu zangu

mnatupigia mikelele kuwa Viwete watapona vipofu watasikia wagumba watazaa wafu watafufuliwa na yote ayo mnatenda nyinyi mna igiza nyinyi badala ya Yesu !!

Tatizo lipo wapi mpaka mnachukua jukumu nyinyi la kufanya miujiza badala ya Yesu mwenyewe😜😘? ¿¿

Iman yenu kwake imeenda wapi ukisikia mikelele mingiii yesuu yesuuu njoo uwokolewe Yesu yupo hapa.🤣🤣

Mwisho baada ya igizo Fake kinachofuata ni kutozwa pesa ya ilo Igizo Fake la mchongo mkiita pesa ya Sadaka ya bwana😝😝😝😝
 
Unatetea upuuzi.

No matter what. Hakuna mwenye haki ya kumtoa mwenziye uhai kwa kisingizio cha imani.

Pili kuhusu pedophilia. Mabinti wapewe fursa ya kujiendeleza na kujikomboa kama wenzao wa kiume. UtamchumbiaJe mtoto wa miaka 9 ?! Unatamani ni kwa mtoto huyo kama si pedophilia !!.
We jamaa, nioneshe nilipotetea huo upuuzi unaosema?

Bikira Maria alitolewa mahari akiwa na miaka mingapi jibu hoja.

Mwisho, acha kukurupuka kujibu kama hujaelewa mada.
 
Africa hatujawahi kujielewa hata siku moja. Dini ya kiislam ukiisoma vizuri hakuna mahali inakwambia umuuwe mwenzako au umdhuru kwa njia yoyote ile eti amekufuru au ameenda kinyume na maamrisho ya Allah. Unatakiwa kumnasihi,kumpa mawaidha na kumuelekeza ili umjenge kiimani aone kwa kuna Mungu aliemuumba. Matatizo ya kuuana Africa sio kwenye dini tu ni mambo mengi sana mfano makabila,siasa,mali na mambo mengne.
Afrika na middle east kuna watu wa ajabu sana
 
Dini ya haki ipi?....hii inayoruhusu watoto wabakwe dini inayesema ukifa unaenda kupewa mabikila 70....fyuuuu
Chakushangaza watoto ubakwa zaidi upande wa Ukristo kesi zimetamalaki pembe yote ya Dunia !!!
lkn lawama kwa waislamu tu ajabu sana!!!
 
Nawe unakufuru sivyo?
Mkuu hizi fiction stories ambazo hazina solid evidence sio za kuzipa promo kabisa. Huwezi kukatili uhai wa mwingine kwa kujifanya unampambania mtu ambaye hata uhakika kuwa alikuwepo huna na hauna nasaba naye yoyote ile.
Mbona mizimu ya mababu zetu haikuhitaji watu wa kuipambania ila ukiizingua yenyewe ilikuwa inajua itashughulika na wewe kwa namna gani.
 
Mkuu hizi fiction stories ambazo hazina solid evidence sio za kuzipa promo kabisa. Huwezi kukatili uhai wa mwingine kwa kujifanya unampambania mtu ambaye hata uhakika kuwa alikuwepo huna na hauna nasaba naye yoyote ile.
Mbona mizimu ya mababu zetu haikuhitaji watu wa kuipambania ila ukiizingua yenyewe ilikuwa inajua itashughulika na wewe kwa namna gani.
Uko sahihi kabisa. Maendeleo Afrika na hasa Tanzania yatakuja tutakapozikana imani za zote za kuletewa na kuaminishwa. Mwogope sana ntu mweupe.
 
Ukiendelea na kejeli lazima upate utakacho ,endelea kujificha maana ni muoga ..Ila kwa yeyote atakayeleta kejeli kwa wengine apigwe tu ..Kama huamini tuliza mdomo wako .
Nonsense!.
 
Back
Top Bottom