Hapa nadhani kuna shida, Sheria ya PCB iliyo pitishwa juzi kuwa wabana viongozi watakao shindwa kuzitolea ufafanuzi mali walizo jilimbikizia, inaanza tu July mwaka huu!(Majibu ya Hosea akihojiwa na BBC juzi)
Iweje hii sheria ya kurudisha mikopo, nayo imepitishwa july mwaka huu yenyewe ihusishe miaka ya huko nyuma?
Wana sheria nisaidieni!
Iweje hii sheria ya kurudisha mikopo, nayo imepitishwa july mwaka huu yenyewe ihusishe miaka ya huko nyuma?
Wana sheria nisaidieni!