iii) Kutokuwepo kwa namba maalum (Unique Number) ya kutofautisha wanafunzi, hususan pale majina ya waombaji mikopo yanapofanana.
jamani niwajibu au niache mtoto mdogo awajibu..?
jamani niwajibu au niache mtoto mdogo awajibu..?
Watoto wataharibu mtiririko. Wewe wape vidonge vyao tena kwenye gazeti la Kulikoni huko huko.
Shenzi taipu kabisa hawa, allocation na disbursement ndio utumbo gani?
Haya maelezo yanaacha maswali mengi zaidi ya majibu. Kitu cha haraka haraka nilicho note hapo ni kuwa kwa wanafunzi wa Ukraine zimeandikwa cheki tatu. Moja ya tarehe 19/01/2006 namba 149739 thamani 80,097,600. na assume ni tsh. Pili check namba 193426 ya tarehe 22/03/2006 tsh 87,772,000 na mwisho check namba 193426 ya tarehe 18/04/2006 tsh 87,772,000. Jumla hapa ni 255,641,600 ! Je hizi ndizo fedha walizopewa wanafunzi wa Ukraine?
Kama sivyo ni kivipi kuwa na check tatu tofauti kwa watu walewale. Hawawezi kusema kwamba ni check ileile kwanza kwa sababu figure zinatofautiana zile za check mbili na ile nyingine. Pia tarehe za check zinatofautiani kwenye check yenye namba 193426. Iweje check yenye namba moja iandikwe katika tarehe mbili tofauti?
Aliyetoa majibu hayo ajaribu tena hapa bado kabisa hajaeleweka.
hebu someni majibu hayo na nipeni mawazo ya vitu mlivyonoti ambavyo Havi"click" maana two heads are better than one.
Mwenye soft copy ya makala ya Kulikoni aiweke ili kesho niisome, halafu niweze kuchangia vizuri.
alamski
jamani niwajibu au niache mtoto mdogo awajibu..?