Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Naona serikali wameshamjibu tena mkjj kuhusu ile article yake kuhusu ndege inayopaa. Wamelipia kurasa kadhaa katika magazeti. Naona wameamua ku-invest kwenye kujisafisha kwa kila criticism wanayopewa. Problem ni kuwa hawana kabisa vichwa vilivyotulia; kila statement wakitoa inapwaya mno inakuwa kama imeandikwa na mwanafunzi mwerevu wa drs la saba!
Kitila... wamejibu wapi? nina hamu nao kweli.. hata bibi amechukizwa ati hata mapumzikoni niko busy? hii bongo itavunja ndoa za watu.