DOKEZO Utapeli mpya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu(HESLB)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

seedfarm

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
260
2,654
Wakuu angalieni vizuri statement za watu wa loan Board hasa wale wanaokaribia kumaliza deni, Kuna watu wanazifanyia adjustment, Sijui kwa malengo gani hapo Bodi ya mikopo ya elimu ya juu

Wenye statement za mwezi uliopita wa nane ambao walizidownload au waliozichukua watagundua kiasi ulicholipa wamekipunguza kwa makusudi kabisa na kufanya deni kuendelea kuwa kubwa zaidi

NB
Angalia number ya installment ulizolipa na mwezi na mwaka ulioanza kulipa, Utakuta installment baadhi zimefutwa hivyo kufanya ulichorejesha ni kidogo

Ili kupata Jibu kamili ingia Leo, Angalia statement yako utagundua deni lako limekuwa kubwa zaidi, Wamepunguza kiasi ulicholipa kwa makusudi kabisa

Summary ya statement yao ina vitu vifuatavyo 4

Total amount disbursed
Total charge
Amount returned
Amount repaid

Tatizo lipo kwenye Total charge, Wameamua kupunguza amount repaid na kupeleka kwenye Total charge hivyo hakuna mtu atalimaliza hilo deni

Naona hii ni njia mpya ya upigaji hapo bodi ya mikopo

Kwa Mtindo wa kupunguza kiasi mtu alicholipa kwa makusudi, Je ni nani atamaliza deni kwa sasa, Mtu amelipa 10,700,000 mpaka mwezi wa nane Leo anakuta amelipa Milioni 10,300,000,Hizo laki nne zinaenda wapi?

Tunaomba Waziri na wakaguzi mkaliangalie hilo hapo Bodi ya mikopo

Rais alishafuta huo ujanja wa kuamua kulikuza deni kwa makusudi kabisa ili watu wasimalize deni

Je kuna riba mpya imeanzishwa ili kukuza upya deni?, Au kuna tozo mpaka kwenye kulipa deni?

Nimemlipia mjukuu kiasi kilichobaki kwa kutumia statement yake lakini ghafla naangalia statement deni limeongezeka tofauti na statement yao ya mwezi wa nane

Huku ni kusumbua walezi na wazazi wa wanafunzi
 
Labda ni Tozo mpya hivyo inatozwa

Siku hizi marekebisho yanafanyika kinyemela kwa kuviziana Halafu Bunge halijui wanaandika Supplementary adjustment

Yawezekana ni Tozo mpya yaani Supplimentary adjustment to the Total repayment

Kwanini upunguze pesa mtu aliyolipa deni, Unaipeleka wapi na watu waliambiwa walipe wanachodaiwa

Naona wameamua kula kwa urefu wa kamba

Nimewauliza baadhi ya watu huko jimboni waangalie uhalisia wanasema ni kweli

Total repayment imepunguzwa Ghafla, Total repayment ni kiasi mtu alicholipa tangu deni kuanza

Hivyo ambao deni lilibaki Tzs 617,000 mwezi wa nane Leo linaonekana limebaki Tzs 697,000 alipocheki Leo kwenye system yao

Huyu mdau anasema wameongeza 87,000 kwenye deni lililobaki mwezi wa nane kwa upande wake

Kwa wasiojua ingia hata Google andika Heslb Tanzania loan repayment

Nimeomba details nihakiki mwenyewe toka kwa wapiga kura

ikifunguka ingiza namba yako ya form four na mwaka wa kumaliza kwa format yao ipo, Halafu register
 
Labda ni Tozo mpya hivyo inatozwa

Siku hizi marekebisho yanafanyika kinyemela kwa kuviziana Halafu Bunge halijui wanaandika Supplementary adjustment

Yawezekana ni Tozo mpya yaani Supplimentary adjustment to the Total repayment

Kwanini upunguze pesa mtu aliyolipa deni, Unaipeleka wapi na watu waliambiwa walipe wanachodaiwa

Naona wameamua kula kwa urefu wa kamba

Nimewauliza baadhi ya watu huko jimboni waangalie uhalisia wanasema ni kweli

Total repayment imepunguzwa Ghafla, Total repayment ni kiasi mtu alicholipa tangu deni kuanza

Hivyo ambao deni lilibaki Tzs 617,000 mwezi wa nane Leo linaonekana limebaki Tzs 697,000 alipocheki Leo kwenye system yao

Huyu mdau anasema wameongeza 87,000 kwenye deni lililobaki mwezi wa nane kwa upande wake

Kwa wasiojua ingia hata Google andika Heslb Tanzania loan repayment

Nimeomba details nihakiki mwenyewe toka kwa wapiga kura

ikifunguka ingiza namba yako ya form four na mwaka wa kumaliza kwa format yao ipo, Halafu register
Sasa kama kwa kila mtu wakiadjust hata 20,000 kwa wanafunzi 100,000 tu maana yake watakuwa na 2,000,000,000 sawa na billion mbili
 
Bora ile kampuni ya salva ya kukopesha ikudai ila siyo bodi ya mikopo hawaeleweki hao,uzeni madeni wakulungwa
 
Mbona mm sijaona badiliko lolote. Naona fresh tu. Total charges ni riba ya kulinda thamani ya fedha. Kila mtu lzm imhusu. Mama alisema ifutwe lkn bodi waliniambia haitofutwa ni siasa tu.
Sasa kama hawajafuta?
Kwanini wanafuta baadhi ya installment mtu alizolipa

Mtu amelipa instalment zaidi ya 50,Wao wanafuta zinabaki 49,Lengo Lao ni kitu gani?
 
Wakuu angalieni vizuri statement za watu wa loan Board hasa wale wanaokaribia kumaliza deni, Kuna watu wanazifanyia adjustment, Sijui kwa malengo gani hapo Bodi ya mikopo ya elimu ya juu

Wenye statement za mwezi uliopita wa nane ambao walizidownload au waliozichukua watagundua kiasi ulicholipa wamekipunguza kwa makusudi kabisa na kufanya deni kuendelea kuwa kubwa zaidi

NB
Angalia number ya installment ulizolipa na mwezi na mwaka ulioanza kulipa, Utakuta installment baadhi zimefutwa hivyo kufanya ulichorejesha ni kidogo

Ili kupata Jibu kamili ingia Leo, Angalia statement yako utagundua deni lako limekuwa kubwa zaidi, Wamepunguza kiasi ulicholipa kwa makusudi kabisa

Summary ya statement yao ina vitu vifuatavyo 4

Total amount disbursed
Total charge
Amount returned
Amount repaid

Tatizo lipo kwenye Total charge, Wameamua kupunguza amount repaid na kupeleka kwenye Total charge hivyo hakuna mtu atalimaliza hilo deni

Naona hii ni njia mpya ya upigaji hapo bodi ya mikopo

Kwa Mtindo wa kupunguza kiasi mtu alicholipa kwa makusudi, Je ni nani atamaliza deni kwa sasa, Mtu amelipa 10,700,000 mpaka mwezi wa nane Leo anakuta amelipa Milioni 10,300,000,Hizo laki nne zinaenda wapi?

Tunaomba Waziri na wakaguzi mkaliangalie hilo hapo Bodi ya mikopo

Rais alishafuta huo ujanja wa kuamua kulikuza deni kwa makusudi kabisa ili watu wasimalize deni

Je kuna riba mpya imeanzishwa ili kukuza upya deni?, Au kuna tozo mpaka kwenye kulipa deni?

Nimemlipia mjukuu kiasi kilichobaki kwa kutumia statement yake lakini ghafla naangalia statement deni limeongezeka tofauti na statement yao ya mwezi wa nane

Huku ni kusumbua walezi na wazazi wa wanafunzi
Kweli tutafika tuendako!
Au wakifika wao inatosha?
 
😡
 

Attachments

  • Screenshot_20220926-150030.png
    Screenshot_20220926-150030.png
    37.4 KB · Views: 42
Wakuu angalieni vizuri statement za watu wa loan Board hasa wale wanaokaribia kumaliza deni, Kuna watu wanazifanyia adjustment, Sijui kwa malengo gani hapo Bodi ya mikopo ya elimu ya juu

Wenye statement za mwezi uliopita wa nane ambao walizidownload au waliozichukua watagundua kiasi ulicholipa wamekipunguza kwa makusudi kabisa na kufanya deni kuendelea kuwa kubwa zaidi

NB
Angalia number ya installment ulizolipa na mwezi na mwaka ulioanza kulipa, Utakuta installment baadhi zimefutwa hivyo kufanya ulichorejesha ni kidogo

Ili kupata Jibu kamili ingia Leo, Angalia statement yako utagundua deni lako limekuwa kubwa zaidi, Wamepunguza kiasi ulicholipa kwa makusudi kabisa

Summary ya statement yao ina vitu vifuatavyo 4

Total amount disbursed
Total charge
Amount returned
Amount repaid

Tatizo lipo kwenye Total charge, Wameamua kupunguza amount repaid na kupeleka kwenye Total charge hivyo hakuna mtu atalimaliza hilo deni

Naona hii ni njia mpya ya upigaji hapo bodi ya mikopo

Kwa Mtindo wa kupunguza kiasi mtu alicholipa kwa makusudi, Je ni nani atamaliza deni kwa sasa, Mtu amelipa 10,700,000 mpaka mwezi wa nane Leo anakuta amelipa Milioni 10,300,000,Hizo laki nne zinaenda wapi?

Tunaomba Waziri na wakaguzi mkaliangalie hilo hapo Bodi ya mikopo

Rais alishafuta huo ujanja wa kuamua kulikuza deni kwa makusudi kabisa ili watu wasimalize deni

Je kuna riba mpya imeanzishwa ili kukuza upya deni?, Au kuna tozo mpaka kwenye kulipa deni?

Nimemlipia mjukuu kiasi kilichobaki kwa kutumia statement yake lakini ghafla naangalia statement deni limeongezeka tofauti na statement yao ya mwezi wa nane

Huku ni kusumbua walezi na wazazi wa wanafunzi
Hawa ni mbwa kabisa! Wezi!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom