Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
mtuwache tupumue...sasa mnatutakia nini?Hahah thread sio yangu...ila leo nimeamua kuwakalia kooni Wachagga...post yangu ya ushauri nilishaitoa mwanzoni kabisa...
Nadhani Wachaga huwa wanawezana wenyewe...halafu nasikia hata wanaume wa Kichagga maneno mengi mdomoni tu, ila chumbani ni wavivu kama matembele, muda wote yamejilaza tutani tu!!!