Ati Wachagga hawajui mapenzi?

Ati Wachagga hawajui mapenzi?

Hahahah...mkuu kama wewe ni penda penda wa wake za watu, basi kuanzia leo anza kufukuzia wanawake walioolewa na Wachagga...nakuambia Yesu na Mariaaa utawakamata wote maana hawajazoea mambo ya Pwani

ha ha ha ha ha ha.............. bro ya kweli hayo............... kina massawe watakuua leo humu wakikuta hio mineno... ha ha h ha
 
Wadada punguzeni uvivu kitandani...Mapenzi yamekuwa ya ushindani sana kama Simba na Yanga...Ukipoteza mechi mpinzani atakaa kileleni kuongoza Ligi.
Tabia za kulala tuu chanuuuu kama xxxxxxxxxxxxxxx sio issue,huu ni uvivu uliotukuka...Jitume kutetea uhalali wako wa kuwa Mpenzi wa huyo mtu...Mapenzi hayana kupiga ramli its how you make it live wewe mwenyewe,Manage ur bed,vingine ni Secondary tu,nawaambia kweli,..Mnaoamini Mapenzi hayalindwi na Sex nawapa pole,Mta-Supp mtihani kabla hamjaanza testi...Bed is everything.
Mimi nashangaa Imejipost Yenyewe kutoka Kishumundu

Yaani sijasoma hata post #2 maana sitaki kuona unavyoparuliwa...
 
mashambulizi yamehamia kwa wanaume wa kichaga sa hii.... na we umo nini?

Wanaume wa kichaga tuko vizuri... hatukamatiki kirahisi. Nalipa baada ya huduma... kama ni hela hadi siku nyingine tena ya huduma...
 
Wanaume wa kichaga tuko vizuri... hatukamatiki kirahisi. Nalipa baada ya huduma... kama ni hela hadi siku nyingine tena ya huduma...

vipi huduma inayotolewa na nyinyi inahamasisha kurudia siku ya pili,3,4.........
 
mmh jibu sijapata nitarudi tena mkuu . lakini mimi najua wachagga wanaowajibika sana
 
Back
Top Bottom