ATCL: Another Richmond!

Jaribu hii attachment na kama bado inagoma semeni, nijaribu kutumia njia nyingine.
 

SteveD,

Huenda tatizo ni hao ambao hawana WINRAR kwenye kompyuta zao. Nimejaribu kutumia format ya ZIP na jaraibuni kama itawezekana kudownload kutoka kwenye posting yangu hapo juu.
 
mbona sielewi,hili ni chacha,rhumba,mdundiko,chakacha au ngoma ya daku.
 
Duh jamani mimi mpaka natoka jasho!! ujanja wangu wote leo nimeshindwa... hebu check attach hiyo
 

Attachments

hata mimi nimeshindwa kufungua,pls helpppppppppppppppppp
 
Nyie watu mnatumia computer za nchi gani hata mshindwe kufungua?🙂

Baada ya kusoma hizi documents, najiuliza ina maana pale ATC hamna hata kiongozi moja anayefanya kazi kwa maslahi ya shirika. Yaani wote wameoza? Nauliza hivi kwa sababu isije ikawa tunapigana vita ambayo haishindiki! Ukishawatuhuma watu wote, hamna hata moja unayekuwa na imani naye ni kazi sana kuwashughulikia wote kwa mpigo. Hata hivyo sitaki kuamini kwamba wale viongozi wote wana roho ya kifsadi tu. Kama hii itakuwa ni kweli maanake yake ni kwamba sisi watanzania wote tumeshapandikizwa roho ya ufisadi tukiwemo sisi hapa JF, maana kwa idadi yao ni wazi kuwa wanatuwakilishi sisi tulivyo kwa kiasi kikubwa.
 
Kitila
usiseme tunatumia computer gani pls tusaidie mimi na wana JF wengine ambao tumeomba sana iwekwe tena ili tuweze kuangalia manake ile ya kwanza haifunguki.pls help ,thanks in advance.
 
Kwangu imefunguka vyema tu, naendelea kuipitia, nitakuja na maoni baada ya muda.
 
Kitila
usiseme tunatumia computer gani pls tusaidie mimi kuangalia manake ile ya kwanza haifunguki.pls help ,thanks in advance.


Jamani mbona ni one click tu. Kama walivyosema wengine hiyo docs iko zipped hivyo unatakiwa kuwa na WINRAR ambayo unadownload for free. Then hiyo doc fanya ku-extract na chagua file pa kusave hiyo docs yako. Baada ya hapo utaona mafile kama 20 hivi
 
Kitila
usiseme tunatumia computer gani pls tusaidie mimi na wana JF wengine ambao tumeomba sana iwekwe tena ili tuweze kuangalia manake ile ya kwanza haifunguki.pls help ,thanks in advance.

Pole sana mkuu, tatizo langu ujanja kwenye hivi vitu sina kabisa, naweza ku-click tu. Bahati nzuri nilipo-click yakafungaka. Hope kuna jamaa watakusaidia hapa, tuna wataalamu kibao humu!
 
Semanao
nimefanya maelekezo uliyosema imeshindikana,JF member ambaye anaweza kutuwekea tena pls atusaidie...sidhani kama dancing floor imejaa kiasi cha sisi wengine kukaa nje ya club tukisikilizia mziki kwa mbaaaali....inauma sana.
 
Bandugu tusaidieni, nami nafungua lakini wapi, nimedownload adobe 8.0 likini sijafanikiwa,

ninapata msg ifuatayo,

Winzip

Cannot open file: it does not appear to be valid archive.

if you download this file, try downloading the file again.


Wajuvi wa mambo tusaidieni tusakate wote hili goma.
 
Jamani,
Saidieni na sisi wenye kompyuta za 47 tuweze kuisoma.
 
Jamani,
Saidieni na sisi wenye kompyuta za 47 tuweze kuisoma.

Kanyaga twende!
Naweka docs chache chache kwa wale ambao mtandao unagoma kushusha zip folder
 

Attachments


Hapa sasa Kikwete sijui kisingizio kuwa ufisadi umerithiwa toka serikali zilizopita kitatumika tena?
 
Labda tuwatumie file moja moja. Angalieni attachments kwenye postings zangu kuanzia hii na zinazofuata
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…