Assault on Dr. Ulimboka: Who Did It?

Assault on Dr. Ulimboka: Who Did It?

Kweli wapo pia wanaofikiria hili ni suala la tume! Sijui watu wetu wana matatizo gani!
 
"treason is but trusted like a fox..." This is true for our Government and its agencts
 
got it,it clicks something ,somewhere ,somewhat but the jigsaw puzzle is beginning to form just waitooh........phew.......wqit ....wait
 
Bila kujali, aliyemtendea UNYAMA ulimboka. Serekali haikufaidi Unyama huo??

Azimio, kumbuka kitu kimoja. serikali na huenda hata Ikulu, haihusiki na hili kwa kusema nendeni mkamteke Ulimboka, hapana. Hapa JK yuko sahihi kabisa na kutohusika na serikali. Serikali inatoa maagizo kwa Polisi na Usalama wa Taifa kwamba wakusanye habari kuhusu kwa mfano, nani wako nyuma ya mgomo wa madktari. Sasa mengine ni kutotumia tu busara eidha kwa field officers au mabosi wa polisi na Usalama wa Taifa juu ya njia wanazotumia kupata habari walizoagizwa na serikali.

Kama hawa field agents waliomteka waliagizwa na bosi wao, basi huyo bosi ni mtu mwenye madaraka ambaye uwezo wake wa kufikiri haulingani na cheo alichonacho katika chombo hiki cha usalama wa taifa, na anapaswa kuondolewa mara moja. Na ikiwa field officers walijiamulia, basi tuna tatizo kubwa sana katika vyombo vyetu vya usalama wa taifa.

Lakini angalia hili linafanana na wale "watuhumiwa" wa madini waliouwawa katika huo msitu. Ona kwamba katika ile kesi kulikuwa na baraka za "ma-afande". Si rahisi field officer kufanya uamuzi kama huu wa Ulimboka bila kuaigizwa. Hapa palikuwa na "controller" tu!
 
They were pro! look at the torturing! It's the government. Doctors' choice of a third party, Dr. Ulimboka, made the govern resort to such a plan. Dr.Ulimboka is not a civil servant, disciplinary measures would probably not apply. In other words now that Dr. Ulimboka is no longer standing in their way it's easier for the government to deal with its employs. It's only a matter of time before we see doctors ending the strike, they've got mouths to feed, remember?

The flip side of this plan and considering that it was partially executed, I'm banking on Dr. Ulimboka. We wish him a speedy recovery so he can come and give testimony to the citizens of how the government is abusing its power. Police/TISS has been changed to a tool of abduction and murdering people instead of ensuring their safety

Your right...................the devil is in the details, when you read between the lines in the President's speech you'll get the same sentiments...........he was an obstacle which had to be eliminated
 
Azimio, kumbuka kitu kimoja. serikali na huenda hata Ikulu, haihusiki na hili kwa kusema nendeni mkamteke Ulimboka, hapana. Hapa JK yuko sahihi kabisa na kutohusika na serikali.

What incontrovertible proof do you have that shows the government had absolutely nothing to do with it?
 
more like new season of 24 series, so many jack beur in town...... this country sucks
 
Nilikua nimekaa mahali nikasikia jamaa wakipiga stori zao , eti kua waliofanya hiyo mambo..ni wale jamaa wanaoshughulika na mambo ya usalama wetu..eti walitaka kujua nani yuko nyuma ya huo mgomo..maana isingekua rahisi kwa dr mwenyewe kushikia bango sana mgomo huo..lakini hawakupata taarifa yoyote ya kushika wasiwasi wao..pia eti..nchi yetu ni ya amani sana..na lazima jambo fulani lifanyike kuwashughulikia watu kama hao wanaotaka kuifanya nchi isitawalike na kuondoa amani tuliyonayo..eti kuwa Rais ni mtu anayependa sana wananchi wake..lakini watendaji wake ndio wanaomwangusha...basi stori zikaishia hapo..tukawa tunaangalia mechi ya italia na spain..


Mbona hii iko wazi, hiki ndicho kilichotokea wala hauhitaji kuwa na akili nyingi sana kujua! Kwa sababu ilibidi wampe severe torture ili aweze kusema waliyoyataka na kwa sababu hakusema nafikiri ndio kilichomuokoa wakaishia kumtesa. Si unajua staili zinazotumika za kimafia.unaulizwa tuambie nani bosi wako? au nani amekutuma? ukishangaa kofi,ngumi za kutosha unaulizwa tena.ukishangaa wananyofoa jino moja,tuambie,ukizubaa lingine,tuambie ukizubaa wamevuta p*mbu,tuambie ukizubaa wamekata kidole..na mapigo ya mateke,ngumi za kifundi kisawa sawa,kitako cha bunduki in between lengo ni useme na ukisema wanaendelea na uliyowataja wewe lazima ufe ili kupoteza ushahidi.wakuache hai kesho uwalipue kwenye vyombo vya habari,ama kesho uwaeleze hao uliowataja wajue kinachoendelea.kama haujasema miongoni mwao kuna wanaoanza kujiuliza pamoja na roho zao ngumu.."May be he is innocent, May be no one is behind him on this" na hii bila shaka ndio ilimsaidia..Duuuh ngoja niishie hapa nisije nikaambiwa ulikuwepo katika kundi la hao majamaaa,haya ni mawazo tu!
 
Siungi mkono kilichomtokea Dr Ulimboka lakini najiuliza pia wanakufa WATANZANIA wangapi kwa kukosa huduma ya madaktari wetu waliogoma. Hilo moja, la pili, serikali yetu inadhani kichwa ni Dr Ulimboka pekee? Ipo siku viongozi wetu watagundua kwamba tunaigharamia sana SIASA na WANASIASA kuliko wataalamu wetu kama maDaktari, Walimu, huduma za jamii,...
 
Kuliko wakati wowote toka nimejiunga JF........Wakati huu wa Ulimboka saga nimeona ID mpya nyingi sana. Sielewi kwa nini!!!
 
La kushangaza kwenye hii sssue, victim keshataja suspects aliowaona kwa macho yake, maajabu ni kwamba hakamatwi na eti hotuba ya Rais ndo inategemewa kuelekeza uchunguzi.
Hii nchi bana.
 
Credible analysis, let us wait and see what the investigation team will bring up. Smear campaign from within or outside can also be a possibility. Dr. Ulimboka can easily be used for political purposes since he already is a political material. Thanks


Five days later no one has been arrested for criminal assault and attempted murder of Dr. Ulimboka Stephen. That for five days the Tanzania security and intelligence services have failed to arrest anyone involved in the bloody attack on Ulimboka baffles my mind. At the same time however, it tells more and in fact it validates the suspicion that whoever was involved must have been a professional killer! But who really did it and why? Well.. let take some possible suspects and their motives and see if they could have done it.

a. Families who lost beloved ones during the strike/s: They have the motive - revenge - but do they have the audacity to carry out such a bold and public kidnapping of a highly visible individual such as Dr. Ulimboka? Could they just show up at a prominent place (may be not as it was in years past) such as the Leaders' Club? Could these people without any backing walk straight and "take" someone in front of other people, without hiding their faces or anything? The answers to many of the questions are in the negative. WE CAN ELIMINATE GRIEVING FAMILIES:

b. Hired Professional Assassins: Is it possible that a group of hired killers carried this attack against Ulimboka? There is a slim chance of that but any paid killer would have known that whether Dr. Ulimboka dies or live the police and other security agents would carry a massive manhunt against the perpetrators. Hired killers strike in darkness and they could have done that anywhere else but not as public as our "suspect" did.

c. Personal Vendeta?: Well the same problems such as those in a and b. Anybody with an issue or problem with Ulimboka could have done the "deed" somewhere else and may be not in such a bold and public way. Not where other people could witness. I'm quite sure this is not a story of "he (Ulimboka) was suspected of taking somebody's wife"; you know the same story we heard during Kubenea incident, Arumeru East incident etc!

d. Government agents? Well they would have the motive - silence the most prominent face of Doctor's strike and sending fear to everybody else. But another motive seems to be very clear now - especially with JK's speech last night. Doctor Ulimboka was not wanted by some people WITHIN the government during the negotiations. Kikwete told the nation that it was his decision to have Ulimboka continue to be a member of the panel negotiation with the governemnt. IF THIS IS TRUE then Kikwete POSSIBLY did not know who planned the assault but someone in the government did!

Whoever in the government planned this incident knew a number of things pretty well:

- Infiltrated doctors' group and brought himself closer to Ulimboka to the point that the doctors believed he was one of them? Probably they even knew the person was a security agent but he was "giving them inside information". A kind of "double agent".

- Knew that once they take Ulimboka there would be no police or security agents following them. One can not just kidnap a prominent person in the middle of the City and disappear to the corner of the city without being stopped by police! Unless.... the police knew he was coming!!

- Knew that there was no way the government could ever catch them. This was so true if ULIMBOKA HAD DIED. Unfortunately for them Ulimboka survived; this changes the narrative. Imagine if he was killed and his body found after some few days in Mabwepande forest. Well the narrative could have been easily managed. But, he survived and even worse (for the assailants) he TALKED. We now know what happened to him, the questioning, the torture and even the faces of these people. These were agents of our government - at least that was the impression that Ulimboka had.

If we look carefully at all the possible actors we find a lot of obstacles for non-government agents to have carried out the assault. Here is the catch: If the assault was carried out by a non-government agent by now we would have some possible suspects at hand. Things of these things:

a. Where is the car that the assailants used? - was it from the Police impound?
b. Where is the car that came to the rescue? (in the middle of the night...)? was one of the agents had a changed heart and decided to spare Ulimboka's life (very probable); did he rush the others to give Ulimboka a chance to survive!..


Now, as Sherlock Holmes would say..."once you eliminate the impossible (a through c); whatever remains (the government agents), however improbable must be the truth".

What does this mean?

a. The government must arrest this rogue government agents - from the police and those from TISS especially if they went beyond what they were directed to do.

b. The heads of both the police and TISS (Mwema and Othman respectively) must resign immediately ass soon as agents get arrested. The two individuals must not be allowed to continue under their current positions. We have had enough torture and political killings within the past two years.

c. The government should change its policies and tactics when it comes to political opposition and dissent in the country. We CAN NOT all of us conform to what the government want. There should be a safe room for dissent for that is the TRUE measure of a mature democracy.

d. There is a need to reform TISS and the parliament should do its duty to do so. The overhaul of TISS is long overdue; now we have agents going rogue; we can not have and must not have an intelligence service that is politicized and without control of its agents.

UNLESS of course the whole assault had had official blessings from the government in which case Kikwete's words to the contrary would be purposely deceptive and highly prejudicial.

On the other hand, if its not "them" then who did it? It can't take a week for anybody to be arrested for the crime. It is shameful that it now entering almost a week for as it is well known the first 48 hours for any crimes are the most crucial moment to solve it. Now it is past 72 hours!!

MMM
 
Kwa Sababu Ulimboka amefanyika mtaji wa kisiasa, hivyo baadhi ya makundi yanaamini kujihusisha na mkasa wake kutawapa umaarufu ama kuonekana watetezi mahiri wa uma. Lakini katika hali yoyote ile, maumivu makubwa na makali kiasi kile hatupaswi kuridhika nayo katika jamii yetu. Naungana mkono na President ambae amesisitiza uchunguzi ufanyike. Tusubiri ripoti
 
Kuhusu TISS kugawanyika hilo tunafahamu humu toka kitambo sana.Ila kweli nimegunduwa kwanini JK ni mtu wa misafari, huyu jamaa hatawali nchi kwa maana ya kutawala, sasa hii inaonyesha yeye yuko juu tu huko kama mfalme, but on the ground, hali ni tofauti kabisa, polisi zimegeuka militias.

Kama anakiri kuwa inawezekana jaribio hili la mauaji limefanywa na watu wa serikali bila baraka ama kutumwa na serikali, then kinachofuatia ni uchunguzi, na kabla ya hapo, watu wajiuzulu ili kupisha uchunguzi, lakini badala yake eti watuhumiwa wenyewe ndo wachunguzi.

Yale yale ya kamati zake ie ile ya EPA, ambapo hadi watuhumiwa walikuwemo ndani.
Hili linchi hovyo sana!
 
Qoute ,Hon President Jakaya Kikwete ,Monthly State Speach
Kama Kuna Mtu wa Serikali amefanya unyama huu amefanya Kwa maamuzi yake binafsi
If our presidents admitis the government involvement ;who else would command the assassin: he is Mr Jakaya Mrisho Kikwete the authorizer
 
Mungu awerehemu na wagonjwa walikufa kwa kukosa matibabu: Amen

Nakumbuka miaka ya nyuma kuna majambazi yaliua mbwa wa polisi hapa Dar haikuchukua siku tukasikia wamekamatwa.

Juzi kati mtalii aliuawa kule Serengeti tukasika wamekamatwa, haya Arusha watu wameuliwa watu kimya, Mwanza wabunge wemekatwa mapanga watu kimya, Ulimboka amepigwa ametolewa meno na kucha inaundwa tume. Mbona hakukuwa na tume kuhusiana na mauaji ya mtalii na walioua mbwa enzi zile za nyuma?

Mungu wabariki madaktari, Mungu wabariki wote wenye kutenda mema.
 
Back
Top Bottom