Assault on Dr. Ulimboka: Who Did It?

Assault on Dr. Ulimboka: Who Did It?

Mzee Mwanakijiji,

Kanumba was more popular than Dr. Ulimboka, the suspect has been arrested. 'Leave the if and only if' outside this case let the professionals do their jobs unless you have solved the problem and you have all the answers then you should go forward and name and shame.

Otherswise it is a Legacy of Ashes at Work and dont be surprised that you yes You may be a part of it!


Kama umekasirika vile ? bahati yako thijui kudhungu...
'Professional' wa nchi gani,labda kama neno 'professional' lina maana tofauti na ninavyoelewa. hawa hawa wanaongelea chooni eti YUKO HAI au ni wepi hao unaowasema wewe !
 
For some reason nasikia harufu ya kikundi ndani ya serikali kutafuta sifa. Kwamba Mwenyekiti wa National Security Council alionesha kukerwa na madaktari katika kikao cha Usalama wa Taifa cha kila wiki pale Ikulu, watu wawili kwa majina ya Mkurugenzi wa TISS na IGP wakatoka kwenye kikao wakiwa na ari ya kufanya kitu kumfurahisha Mwenyekiti.
Kwa hiyo hii itakuwa njama ya Mkurugenzi wa TISS na IGP, ambao ni miongoni mwa watu wanne muhimu katika Security Council ya taifa, lengo lilikuwa kumfurahisha Mwenyekiti.

Kwa hiyo patakuwa na ukweli kwamba Kikwete hakumtuma mtu, bali "mtu huyo" (Mkurugenzi wa TISS na IGP) kamfanyizia kijana huyu Ulimboka kumfurahisha Kikwete bila kutumwa. Wanatafuta kusifiwa yaani. Hii ni mbinu ya KGB ya Urusi ya Zamani na vitaasisi vya kijasusi vya Mataifa mengine ya Eastern Europe ambako watanzania wengi katika Security apparatus walisoma miaka ya nyuma na pengine hadi leo. Lengo halikuwa kuuwa, bali ku-instill fear. Tunahitaji kumuomba Mungu zaidi, kila mmoja wetu kwa namna anavyomjua Mungu, aweke watu katika Serikali wenye hekima zaidi watumie njia bora zaidi za kukablili upinzani badala ya hizi njia za Kisovieti na Bulgaria.

Najiuliza sana kwanini waogope hivyo upinzani mpaka ku-resort kwenye hii very inferior and old style technics? Kwanini wasikubali kubadilika na kutumia watu ambao kwa capacities zao wataisaidia serikali kutatua matatizo ambayo ukiyachunguza sana ni ya kujitakia zaidi kwakulinda maslahi ya individuals badala ya kitaasisi na ki-nchi?

Sometimes you wonder hivi kweli Watts hakusema ukweli kuhusu sisi weusi? Hii fear of unknown hii hawa watawala wasipo angalia psychology zao itawa cost sana kwani dhambi moja huleta dhambi nyingine muhusika akidhani ataifunika kumbe ndiyo hivyo inampeleka kwenye mshahara wa dhambi (mauti).

Niwaambieni tu hao wahusika there is no way watakwepa changes maana kila watakalo jaribu kukikimbilia kitawamaliza zaidi badala ya kuwajenga; mtaumiza viumbe wa Mungu bure the power hand is changed. Its more of a spirit and not carnal ways. The only safe ways ni kukubali na kubadilika kuruhusu haki itawale! Hii move iko very well articulated in such a way kwamba no one ana weza enda kinyume na Tanzania njema kuzaliwa; yes I said it one more time!
 
Najiuliza sana kwanini waogope hivyo upinzani mpaka ku-resort kwenye hii very inferior and old style technics? Kwanini wasikubali kubadilika na kutumia watu ambao kwa capacities zao wataisaidia serikali kutatua matatizo ambayo ukiyachunguza sana ni ya kujitakia zaidi kwakulinda maslahi ya individuals badala ya kitaasisi na ki-nchi?

Sometimes you wonder hivi kweli Watts hakusema ukweli kuhusu sisi weusi? Hii fear of unknown hii hawa watawala wasipo angalia psychology zao itawa cost sana kwani dhambi moja huleta dhambi nyingine muhusika akidhani ataifunika kumbe ndiyo hivyo inampeleka kwenye mshahara wa dhambi (mauti).

Niwaambieni tu hao wahusika there is no way watakwepa changes maana kila watakalo jaribu kukikimbilia kitawamaliza zaidi badala ya kuwajenga; mtaumiza viumbe wa Mungu bure the power hand is changed. Its more of a spirit and not carnal ways. The only safe ways ni kukubali na kubadilika kuruhusu haki itawale! Hii move iko very well articulated in such a way kwamba no one ana weza enda kinyume na Tanzania njema kuzaliwa; yes I said it one more time!



Umenena vema Ame.

Psycho-Social analysis ya mtu yeyote anaye-resort to violence kumaliza dispute, popote duniani, lazima itaonesha upungufu mkubwa wa kufikiri. Ni wale wenye IQ ya kuku ndio hufanya haya. Viwango vya kufikiri vya yeyote anayeamuru binadamu mwenzake ang'olewe kucha kwa kolea viko chini sana. Huwezi kuitwa Mkurugenzi wa taasisi yoyote yenye akili ndani yake ukaaidhinisha unyama wa aina hii. It is just too low....
 
Mzee Mwanakijiji, Habari za leo, kwa wale wote Great 'Thinkers' and Singers bila kuwasahau sinkers!, Mimi naomba nichokoze fikra zako tu kidogo! Mimi binafsi suala kama hili kwa kuwa lipo mikononi mwa Polisi na Mahakama tuwaachie Professionals wafanye kazi yao yes! Professionals yaani Polisi, Usalama wa Taifa, Mahakama itakapowafikia, unless hauna kabisa imani na mfumo tulionao nchini, hapo unakuwa huna la kufanya bali kuchaguwa nchi nyingine ya kwenda kuisha wakati hii tuliyonayo inaboresha miundo yake. Kwani Wachina husema Aliyemuoa Mama ndiye Baba, hata kama humpendi ndiya baba yako huyo lazima umuheshimu hata akiwa tahira!

kwanza naomba kuweka angalizo dogo tu! Ugomvi wa chatu na mamba waamulia wanini? ndiyo maana katika ujumbe wangu mwingine nimesema waachie professionals wafanye kazi zao.

Nadhani kwa kazi za Kipolisi kawaida everyone is a suspect unless proved otherwise! Waliohusika naamini kama hivyo vyombo tulivyonavyo vinafanya kazi vizuri vitawapata tu!

Sasa naomba tuingie kwenye scenario yako ya post yako hapo juu ya 'if or if or if and only if' naomba tukoke nje ya boksi na tuanze kulitazama hili suala ki-novel novel, Yes kwa 'if, if,,,, and only if'

  • Tuchukulie kuwa kuna NGO (s), au Taasisi yeyote ambayo ni cover ya Serikali au kundi X, ambayo ina mawasiliano na Ubalozi wa nchi U,V,W. ambao wana Case officers and Field Officers na wamepenya na kufanya shughuli zao ndani ya Tanzania. Lengo lao ni kuchochea Vurugu na kuifanya Tanzania isiwe nchi ya amani kama ilivyo, iliwaweze kupata manufaa aidha ya kiuchumi au Kisiasa kwa kupita kundi lao ambalo wanalisaidia! Kumbuka kuwa hapa tupo kwenye 'ifs' huu wote ni utunzi tu siyo ukweli.
  • Hizo nchi kwa kupitia NGOs, Case officers, and Stations Chiefs and Field Officers wao, wamefanikiwa kupenya kwenye Media, NGOs, na hata Vyama vya Siasa! Yes vyama vya Siasa $%^$^&&W%(**%^, ambao wanataka kuchochea vurugu ili washike dora kwa gharama yeyote!
  • Je unatashangaa kuona NGO au NGOs kuhakikisha kuwa wanahamasisha vurugu ili waendelee kupata fedha kutuka kwa Case Officers wao? nadhani tuliwahi kushuhudia NGOs zinahamasihs maandamano katika baadhi ya nchi, kzishinikiza serikali zilizopo madarakani, kwa Tanzania sijuwi kama imwkwisha tokea, lakini sitashangaa kama hii scenario ya 'if and only if' ikawa inafanya kazi pia.
  • Sasa Turudi kwenye issue ya Dr. Ulimboka, Je nini role ya NGOs na vikundi vya haki za binadamu, je ni kutetea maslahi na haki ya Watanzania kupata tiba, au kuchochea Madaktari wagome ikiwa pamoja na wao kuwa ndiyo wa Kwanza alfajiri kutambua kuwa Dr. Ulimboka wamemlimboka na yupo Mabwepande, kwa kweli namuonea huruma na Mungu amsaidie apone haraka, lakini pia nawaonea huruma Watanzania wengine wanaokufa kwa kukosa tiba.
  • Hivyo kwa kutumia tathmini yako ya if,if,if and only if tuwaachie Professionals wafenye kazi zao, inawezekana hata waliokimbilia kujifanya wanamuokoa ndiyo wao walimlimboka ili wanendelee kupata misaada, tusije tukawabebesha watu dhambi zisizo zao! kama ambavyo mimi nimejaribu kufanya hapa kwa kujifanya Great Thinker, kumbe mimi ni singer tu.
  • Tuwaache Polisi na wahusika wengine watuletee majibu. Umetaja masaa 72 tangu kesi, Je huko Marekani kesi ya JFK majibu yalikwisha toka?
 
Last edited by a moderator:
Synthesizer, if the plot against the emperor fails, what normally happen to the plotters? Maana kufanya kitu kama hicho bila maagizo, it is a serious breach of rules of engagement and conduct!

Ndahani, if I can draw parallels from recent events, these guys are dispensable. They have already been marked as collateral damages, and for now provisionally liquidated!
 
Five days later no one has been arrested for criminal assault and attempted murder of Dr. Ulimboka Stephen..................... . let take some possible suspects and their motives and see if they could have done it.
......................
d. There is a need to reform TISS and the parliament should do its duty to do so. The overhaul of TISS is long overdue; now we have agents going rogue; we can not have and must not have an intelligence service that is politicized and without control of its agents.
dicial.

On the other hand, if its not "them" then who did it? It can't take a week for anybody to be arrested for the crime. It is shameful that it now entering almost a week for as it is well known the first 48 hours for any crimes are the most crucial moment to solve it. Now it is past 72 hours!!

MMM

mm,zis luk laik a masematiko fomula, patikulali a pai wani ..( samsing announ tu bi plased bitwin e masematical eksipresheni tu fulfili announi ansar.)..

bat in mai said, i sink is waisely tu komprihend on whu Ulimboka iz to zis general adenda. whay Ulimboka end not aza man zea. Instaling zia aidia as fest wan, zen wi kan naw brainstorm yua posibo aspekti.
senks
 
These pipo knows everything by face and names, I fear none can point a fingure as the mission has involved top leaders in its chain. I wont be shocked to hear the mission was supervised by Mwema, Kova or PM.

We are the sons of nobody in Tanzania, if u voted against them back in 2010, u stand a duo chance to do it again in 2015. They will never take us down we need to value our votes till when kuchakachua ends.
 
Kanumba alipokufa hawakukawia kumsweka ndani binti ambaye 'anatuhumiwa' kuhusika na kifo hicho pamoja na kwamba ushahidi uliopo una utata!
Dr Ulimboka pamoja na mwenyewe 'kumtaja' Msangi mbele ya watu, mpaka leo hakuna aliyeshikwa.
Hii serikali inajikaanga yenyewe kwa mafuta yake kutokana na kukaa kimya inapotakiwa iseme neno, au kwa kutofanya lolote wakati jamii ya wapenda haki inapotegemea serikali itafanya uchunguzi na hatimaye wahusika kupelekwa mbele ya sheria!
Kwa kushindwa kufanya hayo mbele ya macho yetu 'THEY ARE GUILTY AS CHARGED!
Wapige meza, wasakizie wapinzani, wakatae kujadili hoja bungeni, dunia inaona!
 
Mtoto anayesema sijalamba sukari hakika ndio mdokozi wa sukari ya chai...vivyo hivyo kwa aliyemtesa Uli.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Sijaelewa vizuri kwa nini umechagua kuweka parallels kati ya case ya JFK na case ya Ulimboka. Ndiyo, panaweza kuwapo ukweli kwamba case ya JFK kule Marekani imebakia kuwa case ya if if if and only if milele yote kwa sababu ilikuwa organized crime kama hii ya Ulimboka--na pengine mtendaji wa crime ilikuwa KIIDARA CHA SERIKALI. Wewe unaviita viNGO vya serikali. Labda hili linazifananisha hizi case mbili. Unachotuambia bila kutamka ni kwamba mhalifu wa hapa pia hatapatikana.


Ombi langu kwako ni hili: bakia kwenye mada--jadili morality ya kufanya lililofanyika, hasa kama watendaji walitoka kwenye ki-idara cha Serikali kama vile vilivyoitwa "Wet" Departments katika vikosi vya kijasusi vya kule Eastern Europe, au lile kundi la Vlakplaas kule South Africa wakati wa utawala wa Makaburu.

Makundi haya yalitengezwa na watawala dhalimu kutokana na kukosa hoja za kisiasa kukidhi opposing views za wananchi waliotaka mabadiliko. Hii case ya Ulimboka ni ishara ya kushindwa kufikiri miongoni mwa watu walio katika idara za usalama, the same way makaburu walivyo resort to violence kutafuta kukandamiza opposition kutoka labor movements na vyama vya siasa miaka ya 1970 na 1980.

Naunga mkono wazo la overhaul ya Usalama wa Taifa. Kuna mtu anataka kuturudisha enzi za Vlakplass ya Makaburu na KGB. I strongly believe there are better ways of handling dissent.
 
May be its gonna be one of the 'unresolved mysteries', mbona ziko nyingi tu kulinganisha na zilizopatiwa ufumbuzi? Unless kama 'geshi' la polisi limebadilika, au wana taka/nia ya kuwatafuta hao wahalifu wenyewe.
 
Hii ishu ya ulimboka haifukiki.
Versions zimetengenezwa kusafisha serkali but none has been accepted.
No wonder unasikia wanaanza kuwatumia wabunge wa CCm esp wale waliozawadiwa ubunge kusafisha serkali bungeni.
Polisi, TISS haisafishiki.
 
Mzee Mwanakijiji, Habari za leo, kwa wale wote Great 'Thinkers' and Singers bila kuwasahau sinkers!, Mimi naomba nichokoze fikra zako tu kidogo! Mimi binafsi suala kama hili kwa kuwa lipo mikononi mwa Polisi na Mahakama tuwaachie Professionals wafanye kazi yao yes! Professionals yaani Polisi, Usalama wa Taifa, Mahakama itakapowafikia, unless hauna kabisa imani na mfumo tulionao nchini, hapo unakuwa huna la kufanya bali kuchaguwa nchi nyingine ya kwenda kuisha wakati hii tuliyonayo inaboresha miundo yake. Kwani Wachina husema Aliyemuoa Mama ndiye Baba, hata kama humpendi ndiya baba yako huyo lazima umuheshimu hata akiwa tahira!

kwanza naomba kuweka angalizo dogo tu! Ugomvi wa chatu na mamba waamulia wanini? ndiyo maana katika ujumbe wangu mwingine nimesema waachie professionals wafanye kazi zao.

Nadhani kwa kazi za Kipolisi kawaida everyone is a suspect unless proved otherwise! Waliohusika naamini kama hivyo vyombo tulivyonavyo vinafanya kazi vizuri vitawapata tu!

Sasa naomba tuingie kwenye scenario yako ya post yako hapo juu ya 'if or if or if and only if' naomba tukoke nje ya boksi na tuanze kulitazama hili suala ki-novel novel, Yes kwa 'if, if,,,, and only if'

  • Tuchukulie kuwa kuna NGO (s), au Taasisi yeyote ambayo ni cover ya Serikali au kundi X, ambayo ina mawasiliano na Ubalozi wa nchi U,V,W. ambao wana Case officers and Field Officers na wamepenya na kufanya shughuli zao ndani ya Tanzania. Lengo lao ni kuchochea Vurugu na kuifanya Tanzania isiwe nchi ya amani kama ilivyo, iliwaweze kupata manufaa aidha ya kiuchumi au Kisiasa kwa kupita kundi lao ambalo wanalisaidia! Kumbuka kuwa hapa tupo kwenye 'ifs' huu wote ni utunzi tu siyo ukweli.
  • Hizo nchi kwa kupitia NGOs, Case officers, and Stations Chiefs and Field Officers wao, wamefanikiwa kupenya kwenye Media, NGOs, na hata Vyama vya Siasa! Yes vyama vya Siasa $%^$^&&W%(**%^, ambao wanataka kuchochea vurugu ili washike dora kwa gharama yeyote!
  • Je unatashangaa kuona NGO au NGOs kuhakikisha kuwa wanahamasisha vurugu ili waendelee kupata fedha kutuka kwa Case Officers wao? nadhani tuliwahi kushuhudia NGOs zinahamasihs maandamano katika baadhi ya nchi, kzishinikiza serikali zilizopo madarakani, kwa Tanzania sijuwi kama imwkwisha tokea, lakini sitashangaa kama hii scenario ya 'if and only if' ikawa inafanya kazi pia.
  • Sasa Turudi kwenye issue ya Dr. Ulimboka, Je nini role ya NGOs na vikundi vya haki za binadamu, je ni kutetea maslahi na haki ya Watanzania kupata tiba, au kuchochea Madaktari wagome ikiwa pamoja na wao kuwa ndiyo wa Kwanza alfajiri kutambua kuwa Dr. Ulimboka wamemlimboka na yupo Mabwepande, kwa kweli namuonea huruma na Mungu amsaidie apone haraka, lakini pia nawaonea huruma Watanzania wengine wanaokufa kwa kukosa tiba.
  • Hivyo kwa kutumia tathmini yako ya if,if,if and only if tuwaachie Professionals wafenye kazi zao, inawezekana hata waliokimbilia kujifanya wanamuokoa ndiyo wao walimlimboka ili wanendelee kupata misaada, tusije tukawabebesha watu dhambi zisizo zao! kama ambavyo mimi nimejaribu kufanya hapa kwa kujifanya Great Thinker, kumbe mimi ni singer tu.
  • Tuwaache Polisi na wahusika wengine watuletee majibu. Umetaja masaa 72 tangu kesi, Je huko Marekani kesi ya JFK majibu yalikwisha toka?

Kwako professionals wanaoweza kuchunguza hili swala ni polisi tu,swala la tume huru ya kuchunguza ambayo sawa hata polisi wanaweza husishwa lakini si kuachiwa wao kwa kuwa wao ndiyo WATUHUMIWA kwa sasa.

if If if zako zinaweza kuwa na mshiko kama ungetoka ndani ya box kweli na kutamani uundwaji wa chombo huru kuchunguza sakata la Dr.Uli ili ukweli uwekwe wazi na wahusika wajulikane...lakini kwa mtindo huu wa kujaribu kuwahamisha ma GT kushuku kuhusika kwa serikali bila kuleta HOJA nzuri ya uchunguzi huru.nina shaka sana kama lengo lako litafanikiwa.
 
kwanza naomba kuweka angalizo dogo tu! Ugomvi wa chatu na mamba waamulia wanini? ndiyo maana katika ujumbe wangu mwingine nimesema waachie professionals wafanye kazi zao.

Sun, tatizo lililopo hapa ni kwamba hawa professionals unaowasema walioko Polisi na Usalama wa Taifa na kwingineko wengi wao wamekuwa so corrupted kiasi kwamba hawako professional tena!

Sasa tutafanyaje katika mazingira kama hayo?
 
Waliompa kazi ya kugoma ndio waliomteka. Nadhani wamegombana wenyewe kwa wenyewe.

Maandiko yako tangu nyuzi za Dr.Uli.kutekwa yanaonyesha wewe u sehemu ya wale waandaaji au watekelezanji wa mpango huo mchafu na wa kijinga.
 
Correct in many ways. What baffles me ni kwa nini hiyo tume imeundwa. That is a criminal incidence, kwa nini wahusika wasiingie kazini kufanya kazi na kutuletea wahalifu kama wanaweza. kwa nini waunde tume as if siku zote wanaunda tume. M nilidhani tume huundwa kwa ajili ya kushughulikia mambo ambayo kimsingi hayako moja kwa moja kwenye msitari wa majukumu ya vyombo husika. Sikudhani kama suala la polisi kusaka walioteka, walioiba, waliojeruhi ama kuua linahitaji tume ya polisi kulishughulikia.

Songambele nimekuwa nikifuatilia sana na kwa undani sana about CI za wenzetu katika nchi zilizoendelea, Songambele hata Tanzania hakuna crime investigation kabisa wao kazi nikuunda jopo tu ambalo je utakubaliana na mimi hata madactari wameshindwa kutoa sababu ya kifo cha kanumba ambapo under CI bases haitakiwa yule mdogo wake kanumba kupeta mtaani nakuwahi kumiliki kampuni ya kanumba unajua under CI Hata watu kama Ray hatakiwa kuwa mtaani,

Unajua kuwa under CI hata alikiba aliyempeleka lulu BEACH HAPASWI KUWA MTAAN because they all lie under the police line of investigation MKUU TZ WANGEKUWA WANAFANYA CI ISINGEKUWA KAZI KUMPATA ALIYEMTEKA AS U HAVE SAID each crime scene has its own evidence LAZIMA kama ni msangi ameMTEKAa ameacha evidence pale tu alipomshika yaani nilazima aache evidence kwenye mwili wa ulimboka kumshika tu wakati wanamtupa ,kitambaa walichomfunga evedence tosha mkuu.mimi hainingii akilini wangefanya DNA TEST tayari msangi is a first suspect.

Ila hatuko that advanced ,nimekuwa nikiangalia sana CI ,rafiki aliyekuwa nae ni firt suspect mawasilianO ya simu yake ni 1st evidence wacha bwana ,natamani wakoloni warudi tena tufungwe minyororo tuchapwe kweli akili zetu zikae sawa maana Tanzania tunaishi ndani ya majeneza ya CCM,NA HATUJUI KINACHOENDELEA.

USWAZI HUWA TUNASEMA KUJIKOSHA ISINGEFAA MKUU WA NCHI KUZUNGUMZIA HILI SUALA AMBALO LIKO UNDER POLICE LINE KWANINI NASEMA HIVI HATA KJ LIE UNDER THE POLICE LINE OF INVESTIGATION IS AMONG THE SUSPECT OF THE CRIME.
 
I said at the very onset that I was profiling - trying to make inference on the nature of the culprit based on available facts. It is a forensic investigation technique. That is different from relying on intuition.

I am a "he" by the way.

Correct (highlighted). But it also depends on how and from where you get the facts. If from the 'suspect' himself, the so-called facts will get you nowhere. But if you really 'find' those facts, that is a different story.
 
The Government is concern, and the leader who plan and oder the assault.
 
Mzee Mwanakijiji, Habari za leo, kwa wale wote Great 'Thinkers' and Singers bila kuwasahau sinkers!, Mimi naomba nichokoze fikra zako tu kidogo! Mimi binafsi suala kama hili kwa kuwa lipo mikononi mwa Polisi na Mahakama tuwaachie Professionals wafanye kazi yao yes! Professionals yaani Polisi, Usalama wa Taifa, Mahakama itakapowafikia, unless hauna kabisa imani na mfumo tulionao nchini, hapo unakuwa huna la kufanya bali kuchaguwa nchi nyingine ya kwenda kuisha wakati hii tuliyonayo inaboresha miundo yake. Kwani Wachina husema Aliyemuoa Mama ndiye Baba, hata kama humpendi ndiya baba yako huyo lazima umuheshimu hata akiwa tahira!

kwanza naomba kuweka angalizo dogo tu! Ugomvi wa chatu na mamba waamulia wanini? ndiyo maana katika ujumbe wangu mwingine nimesema waachie professionals wafanye kazi zao.

Nadhani kwa kazi za Kipolisi kawaida everyone is a suspect unless proved otherwise! Waliohusika naamini kama hivyo vyombo tulivyonavyo vinafanya kazi vizuri vitawapata tu!

Sasa naomba tuingie kwenye scenario yako ya post yako hapo juu ya 'if or if or if and only if' naomba tukoke nje ya boksi na tuanze kulitazama hili suala ki-novel novel, Yes kwa 'if, if,,,, and only if'

  • Tuchukulie kuwa kuna NGO (s), au Taasisi yeyote ambayo ni cover ya Serikali au kundi X, ambayo ina mawasiliano na Ubalozi wa nchi U,V,W. ambao wana Case officers and Field Officers na wamepenya na kufanya shughuli zao ndani ya Tanzania. Lengo lao ni kuchochea Vurugu na kuifanya Tanzania isiwe nchi ya amani kama ilivyo, iliwaweze kupata manufaa aidha ya kiuchumi au Kisiasa kwa kupita kundi lao ambalo wanalisaidia! Kumbuka kuwa hapa tupo kwenye 'ifs' huu wote ni utunzi tu siyo ukweli.
  • Hizo nchi kwa kupitia NGOs, Case officers, and Stations Chiefs and Field Officers wao, wamefanikiwa kupenya kwenye Media, NGOs, na hata Vyama vya Siasa! Yes vyama vya Siasa $%^$^&&W%(**%^, ambao wanataka kuchochea vurugu ili washike dora kwa gharama yeyote!
  • Je unatashangaa kuona NGO au NGOs kuhakikisha kuwa wanahamasisha vurugu ili waendelee kupata fedha kutuka kwa Case Officers wao? nadhani tuliwahi kushuhudia NGOs zinahamasihs maandamano katika baadhi ya nchi, kzishinikiza serikali zilizopo madarakani, kwa Tanzania sijuwi kama imwkwisha tokea, lakini sitashangaa kama hii scenario ya 'if and only if' ikawa inafanya kazi pia.
  • Sasa Turudi kwenye issue ya Dr. Ulimboka, Je nini role ya NGOs na vikundi vya haki za binadamu, je ni kutetea maslahi na haki ya Watanzania kupata tiba, au kuchochea Madaktari wagome ikiwa pamoja na wao kuwa ndiyo wa Kwanza alfajiri kutambua kuwa Dr. Ulimboka wamemlimboka na yupo Mabwepande, kwa kweli namuonea huruma na Mungu amsaidie apone haraka, lakini pia nawaonea huruma Watanzania wengine wanaokufa kwa kukosa tiba.
  • Hivyo kwa kutumia tathmini yako ya if,if,if and only if tuwaachie Professionals wafenye kazi zao, inawezekana hata waliokimbilia kujifanya wanamuokoa ndiyo wao walimlimboka ili wanendelee kupata misaada, tusije tukawabebesha watu dhambi zisizo zao! kama ambavyo mimi nimejaribu kufanya hapa kwa kujifanya Great Thinker, kumbe mimi ni singer tu.
  • Tuwaache Polisi na wahusika wengine watuletee majibu. Umetaja masaa 72 tangu kesi, Je huko Marekani kesi ya JFK majibu yalikwisha toka?
Mkuu wangu nitamjibia Mwanakijiji ktk hili..Hizi habari za If na If sidhani kama zina uzito ktk hoja ya Mwanakijiji ambaye sijui kwa makusudi kabisa amekosa kusema maneno ya ULIMBOKA mwenyewe wakati akiwa hospital..Kuna hili moja muhimu sana.
Ulimboka alimtambua mmoja wa watu alokuwa nao na kumwambia amrudishie mali zake.. Mtu huyo amejulikana kuwa ni askari ambaye alisepa taratibu na hajulikani alipo hadi leo..Kwa nini Polisi na serikali wasitangaze hatua kwa hatua kila taarifa ya habari kuonyesha wamefikia wapi kama tunavyoona viongozi unao waita Professinals wakizifanya kazi zao..

1. Je, nii wakati gani askari huyo amehusishwa na kesi hii au kuwa karibu na Ulimboka hadi kuchukua vitu vyake.
2. Je, kutokana na statement ya Ulimboka huyu jamaa amekamatwa na yupo chini ya Ulinzi kama hayupo jitihada gani zinafanyika apatikane.
3. Ni kina nani waliohojiwa na Polisi na wameisaidia kiasi gani cha kuwapata watu wanaohusika maana kama Ulimboka alitekwa Leaders Club na watu kibao wamejitokeza kusema waliona kisa hicho cha utekaji inakuwaje hadi leo hatuna taarifa za serikali au polisi kuhusiana na kesi hii. Kama kuna chama kinakisiwa kwa nini Polisi huyo hajulikani alipo na wala hatafutwi?
4. Kwako wewe umeona 72 hours sii za maana kwa sababu hujui umuhimu wa upelelezi kuweka masaa 48 kuwa ni muhimu sana ktk kupata ufumbuzi wa kesi yoyote ya homicide. Swala la JFK alipatikana muuaji kabla ya masaa 48 tatizo ni kina nani walihusika naye muuaji ktk njama za mauaji ya JFK. Mwanakijiji anataka kujua nani MUUAJI na kwa nini hajapatikana...
 
Mwanakijiji
who benefited the most? The Government or opposition? If you dare to talk the truth say something

Chama
Gongo la Mboto DSM

Chama, it is true the government didn't benefit but do you know why? It is because things didn't work out the way they had planned, they never reckoned with the courage of one individual going by the name Dr. Stephen Ulimboka. Chama, just take a little time and ask yourself, how many of us would have saved themselves the pain of having their teeth and nails plucked out with a pair of pliers just by admitting and in so doing incriminating, for instance, an opposition party?

All Dr. Stephen Ulimboka had to do is to betray the cause the doctors were fighting for by letting these government thugs record him admitting that their strike was politically motivated. They never banked on Dr. Stephen Ulimboka, inspite of all that pain, not succumbing to their evil plan. It is obvious to any right thinking individual that this kind of torture is not something new, it is the way this oppressive government operates to try to silence voices of dissent.
msangi.jpg

There is a rumour that ACP Ahmed Msangi (pictured), the Dar es Salaam Special Zone Crime Officer, who we were told, should be leading the investigation has gone underground...hiding? This was after he is alleged to have been recognized by the victim as part of the government squad that carried out the abduction and inflicted such barbaric acts of torture. Under normal circumstances this is the man that should be giving us press releases on progress made so far but...

Chama, right now, if things had but worked out the way these thugs planned, the government would have benefited in a very big way. The propaganda and lead story from every govt mouthpiece such as TBC, Habari Leo and such, would have been the confession of Dr. Stephen Ulimboka that he was just used by people who want to bring the govt down. I hope you did listen to the Bunge session where allegations were made that Chadema was behind the doctors' strike.

I am one hundred percent sure that had Dr. Stephen Ulimboka given in, he would still have his teeth and his nails intact. People like him are hard to find and our evil, short sighted and weak leadership never once reckoned with the kind of courage he showed. As Mwanakijiji suspects a very unusual development took place that spared the life of this courageous doctor...however it is now out of their hands and even all the perfumes of Arabia wont clean the government's bloody hands.
 
Back
Top Bottom