Assault on Dr. Ulimboka: Who Did It?

Assault on Dr. Ulimboka: Who Did It?

Mkuu Chama, Would they dare take that risk? Imagine what would happen ikiwa Polisi au Usalama wa Taifa wakiwakamata wapinzani katika mission kama hiyo. Upinzani wanasingiziwa na kupikiwa kesi nyingi sana na vyombo vya Usalama wa Taifa. Ku-risk operation kama ya Ulimboka for popularity is beneath the most stupid person katika siasa za upinzani. Give them their dues.

I believe kwa mfano, just using common sense Chadema would not even think of carrying out such an operation. It is just not worth it. Exposure would be the end of Chadema. Lakini Chama kilicho tayari na madaraka ya serikalini can take the risk katika mambo kama hayo, because they have propaganda superiority.

Pia do not forget the "non-controllable action" angle. Si kila kitu cha kijinga kinachofanywa au kusemwa na watendaji wa serikali au chama kina maagizo ya Chama au Raisi au Serikali kuu. They best they can do when it happens is to undertake damage control measures. This is true for any government or political party - CCM or Chadema or Republicans or Democrats, etc.

That is why I said don`t trust the politicians whether they are from CCM or Chadema; anybody can do such an act for the sake of politcs; does the Government benefited with Dr. Ulimboka saga? The only thing I refused is to have a shallow mind; we need to look on both ends it might the Government agents or there is possibility some crooks from Chadema are behind it; within Chadema top brass you have majambazi by professional who turned to be politicians, I don`t need to mention their names but we all know their past; some of them they have blood on their hands; thanks to our corrupted system some of them are out speaking on the mikutano blaming the Government while is the same system worked for them.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Mwanakijiji ukumbuke pia kwamba kukamata wahusika wakuu na uhalifu huu utatokana na maelezo atakayetoa Dr ulimboka mwenyewe hasa katika maswala ya simu namba zilizoyumika kuwasiliana na huyo jamaa anedai katoka Ikulu ili ampatie habari na yeye kuwasiliana na ho waliomteka kama anavyoeleza Ulimboka.Lakini kwa wakati huu Ulimboka hayuko katika nafasi nzuri ya kutoa ushirikiano kwani bado anapigania uhai wake.
Muhimu ni kuomba apate nafuu na aje saidia kutoa maelezo yatakayopelekea kukamata wahalifu. Vyombo husika na wengine nje ya vyombo hivyo wako katika kutakfuta ukweli.Tsikamatane uchawi kwa sasa.
 
Mwanakijiji kuwa wananchni wana amini nani kafanya halina shaka, zaidi ya asilimia 90% wana amini ni Sirikali.
Kama serikali wanajuwa kuwa sio wao ni wajibu wao sasa kujisafisha kwa kufanya uchunguzi huru ambao lazima usimamiwe na vyombo vya nje labda itarudisha imani ya Umma juu ya hivi vyomo vyetu. Lakini kama wanaendelea kuweka pamba sikioni na kujichunguza hakuna Nusu mtu atakayekuwa na akili timamu ya kuielewa taarifa yao ya uchunguzi hata kama wakiisomea kanisani wala Msikini.
Hypothesis ya Gaijin kuhusu vyama vya siasa kwa lengo la kuichafua Serikali, haiwezekani kabisa kwa sababu hapo ndipo CCM ingezoa umaarufu mara dufu na kupata jukwaa la kujijenga. CCM ndio inayomiliki Dola kama ingekuwa hivyo hadi sasa wangekuwa wameshawatia hatiani wahusika ili kujisafisha mara moja, pia Mkuu Gaijin kumbuka kuwa Dkt aliitwa na Mtumishi wa Ikulu na hapa ndipo kwenye kitanzi, Jibu lilobaki ni lile la Kikwete kuwa yeye hajawatuma na ndio maana hata walipo mkataa hasiwev kwenye kamati yeye binafsi alisema aachwe.
Sasa Kama CCM na Serikali haitakikujisafisha basi Kikwete ajisafishe mwenye alete uchunguzi huru ilitumjuealiyewatuma hao Majasusi wa Serikali kumdhuru Ulimboka.
 
Waliompa kazi ya kugoma ndio waliomteka. Nadhani wamegombana wenyewe kwa wenyewe.
 
Kimsingi alichosema ni kuwa yeye binafsi ha-rule out yoyote yule kuhusika, hata serikali; sio ni serikali

Kiswahili kinatoa maana tofauti mno unapotumia neno lakini kama ulivyofanya wewe. Ni kupindisha maneno ya Rais,

hajasema hivyo.


Gaijin, POLE SANA KAMA HUKUSOMA FASIHI ULIKOSA SOMO MUHIMU SANA MAISHANI.
 
Tatizo kuna watu wanajifanya wao ndio mahakimu, wao ndio wapelezi wameshafunga fikra zao kwenye muelekeo mmoja.

Fungua akili yako, kuwa open minded halafu liangalie hili swala kutoka kwenye angle zote na possibilities zote.

Kuna wale wenzangu na mie wanaopenda kulaumu serikali hata watoto wao wakitega kwenda shule, mwisho wa siku serikali inaweza isiwe na hatia lakini bado watasema uchunguzi umechakachuliwa, utafikiri wamerogwa.
Kwa nini huyo Msangi hajawa-arrested wakati ametajwa?
 
Lakini Mwanakijijii, you know how our government operates so you, me , or anybody else for that matter should not be surprised at all. For the longest time it has always been "tume-happy".

Mwanakijiji has been away for too long. The reason why five days later none has even hinted about bringing those who did it to justice, is because they are not interested in doing so, and who sent them can not easily be brought to justice. NI kama issue ya EPA, ukiwakamata nchi haitawaliki. So who ever dares to do that, he will die. The best shot they have to bring "justice" is to kill those who were sent to kill them. By doing so, first there will be no evidence, and second, others who will be sent to do the same job will be afraid that if they do not accomplish the mission, they will also be killed.
 
Nilikua nimekaa mahali nikasikia jamaa wakipiga stori zao , eti kua waliofanya hiyo mambo..ni wale jamaa wanaoshughulika na mambo ya usalama wetu..eti walitaka kujua nani yuko nyuma ya huo mgomo..maana isingekua rahisi kwa dr mwenyewe kushikia bango sana mgomo huo..lakini hawakupata taarifa yoyote ya kushika wasiwasi wao..pia eti..nchi yetu ni ya amani sana..na lazima jambo fulani lifanyike kuwashughulikia watu kama hao wanaotaka kuifanya nchi isitawalike na kuondoa amani tuliyonayo..eti kuwa Rais ni mtu anayependa sana wananchi wake..lakini watendaji wake ndio wanaomwangusha...basi stori zikaishia hapo..tukawa tunaangalia mechi ya italia na spain..

Samahani haiwezekani aliyefanya hivyo alikusudia kuchochea mgomo wa madaktari ili vurugu iwe kubwa kwa kuwaalika wadau wengine kama. wanaharakati wa haki za binadamu na wananchi kwa ujumla? Kwani kuanzia kukamatwa kwake sehemu ya wazi......kuachwa kwa watu wengine aliokuwa nao.....kuachwa akiwa hai......hii inaniletea utata sana? Nauliza tu wadau. ....aulizae anataka kujua
 
Kikwete kasema kam ni Serikali inahusika yeye personaly hajamtuma mtu kufanya hivyo kwa hiyo inaonesha kuna mtu mwingine ndani ya serikali ila sio yeye Mwisho watataja majina kabisa



Kumbe huwa anawatuma kufanyia watu unyama kama huu!
 
I think the best thing for me is to repeat this in Kiswahili; kumbuka kitu kimoja; serikali na huenda hata Ikulu, haihusiki na hili kwa kusema nendeni mkamteke Ulimboka...

Synthesizer, if the plot against the emperor fails, what normally happen to the plotters? Maana kufanya kitu kama hicho bila maagizo, it is a serious breach of rules of engagement and conduct!
 
Ni serikali,kwanza walitaka kutumia mbinu hiyo kumnyong'onyeza pia kutisha madaktari wengine kutoka kwenye mshikamano,,pili serikali kwa upogo wake imekuwa ikiamini kuna mtu/watu nyuma ya mgomo wa wataalam hao. Hospitali TZ hazina madawa,vifaa,samani madaktari wamebaki kuviza utaalam wao tu na kuonekana wezi wa dawa kumbe ni serikali ndo haipeleki
 
For some reason nasikia harufu ya kikundi ndani ya serikali kutafuta sifa. Kwamba Mwenyekiti wa National Security Council alionesha kukerwa na madaktari katika kikao cha Usalama wa Taifa cha kila wiki pale Ikulu, watu wawili kwa majina ya Mkurugenzi wa TISS na IGP wakatoka kwenye kikao wakiwa na ari ya kufanya kitu kumfurahisha Mwenyekiti.
Kwa hiyo hii itakuwa njama ya Mkurugenzi wa TISS na IGP, ambao ni miongoni mwa watu wanne muhimu katika Security Council ya taifa, lengo lilikuwa kumfurahisha Mwenyekiti.

Kwa hiyo patakuwa na ukweli kwamba Kikwete hakumtuma mtu, bali "mtu huyo" (Mkurugenzi wa TISS na IGP) kamfanyizia kijana huyu Ulimboka kumfurahisha Kikwete bila kutumwa. Wanatafuta kusifiwa yaani. Hii ni mbinu ya KGB ya Urusi ya Zamani na vitaasisi vya kijasusi vya Mataifa mengine ya Eastern Europe ambako watanzania wengi katika Security apparatus walisoma miaka ya nyuma na pengine hadi leo. Lengo halikuwa kuuwa, bali ku-instill fear. Tunahitaji kumuomba Mungu zaidi, kila mmoja wetu kwa namna anavyomjua Mungu, aweke watu katika Serikali wenye hekima zaidi watumie njia bora zaidi za kukablili upinzani badala ya hizi njia za Kisovieti na Bulgaria.
 
Five days later no one has been arrested for criminal assault and attempted murder of Dr. Ulimboka Stephen. That for five days the Tanzania security and intelligence services have failed to arrest anyone involved in the bloody attack on Ulimboka baffles my mind. At the same time however, it tells more and in fact it validates the suspicion that whoever was involved must have been a professional killer! But who really did it and why? Well.. let take some possible suspects and their motives and see if they could have done it.

a. Families who lost beloved ones during the strike/s: They have the motive - revenge - but do they have the audacity to carry out such a bold and public kidnapping of a highly visible individual such as Dr. Ulimboka? Could they just show up at a prominent place (may be not as it was in years past) such as the Leaders' Club? Could these people without any backing walk straight and "take" someone in front of other people, without hiding their faces or anything? The answers to many of the questions are in the negative. WE CAN ELIMINATE GRIEVING FAMILIES:

b. Hired Professional Assassins: Is it possible that a group of hired killers carried this attack against Ulimboka? There is a slim chance of that but any paid killer would have known that whether Dr. Ulimboka dies or live the police and other security agents would carry a massive manhunt against the perpetrators. Hired killers strike in darkness and they could have done that anywhere else but not as public as our "suspect" did.

c. Personal Vendeta?: Well the same problems such as those in a and b. Anybody with an issue or problem with Ulimboka could have done the "deed" somewhere else and may be not in such a bold and public way. Not where other people could witness. I'm quite sure this is not a story of "he (Ulimboka) was suspected of taking somebody's wife"; you know the same story we heard during Kubenea incident, Arumeru East incident etc!

d. Government agents? Well they would have the motive - silence the most prominent face of Doctor's strike and sending fear to everybody else. But another motive seems to be very clear now - especially with JK's speech last night. Doctor Ulimboka was not wanted by some people WITHIN the government during the negotiations. Kikwete told the nation that it was his decision to have Ulimboka continue to be a member of the panel negotiation with the governemnt. IF THIS IS TRUE then Kikwete POSSIBLY did not know who planned the assault but someone in the government did!

Whoever in the government planned this incident knew a number of things pretty well:

- Infiltrated doctors' group and brought himself closer to Ulimboka to the point that the doctors believed he was one of them? Probably they even knew the person was a security agent but he was "giving them inside information". A kind of "double agent".

- Knew that once they take Ulimboka there would be no police or security agents following them. One can not just kidnap a prominent person in the middle of the City and disappear to the corner of the city without being stopped by police! Unless.... the police knew he was coming!!

- Knew that there was no way the government could ever catch them. This was so true if ULIMBOKA HAD DIED. Unfortunately for them Ulimboka survived; this changes the narrative. Imagine if he was killed and his body found after some few days in Mabwepande forest. Well the narrative could have been easily managed. But, he survived and even worse (for the assailants) he TALKED. We now know what happened to him, the questioning, the torture and even the faces of these people. These were agents of our government - at least that was the impression that Ulimboka had.

If we look carefully at all the possible actors we find a lot of obstacles for non-government agents to have carried out the assault. Here is the catch: If the assault was carried out by a non-government agent by now we would have some possible suspects at hand. Things of these things:

a. Where is the car that the assailants used? - was it from the Police impound?
b. Where is the car that came to the rescue? (in the middle of the night...)? was one of the agents had a changed heart and decided to spare Ulimboka's life (very probable); did he rush the others to give Ulimboka a chance to survive!..


Now, as Sherlock Holmes would say..."once you eliminate the impossible (a through c); whatever remains (the government agents), however improbable must be the truth".

What does this mean?

a. The government must arrest this rogue government agents - from the police and those from TISS especially if they went beyond what they were directed to do.

b. The heads of both the police and TISS (Mwema and Othman respectively) must resign immediately ass soon as agents get arrested. The two individuals must not be allowed to continue under their current positions. We have had enough torture and political killings within the past two years.

c. The government should change its policies and tactics when it comes to political opposition and dissent in the country. We CAN NOT all of us conform to what the government want. There should be a safe room for dissent for that is the TRUE measure of a mature democracy.

d. There is a need to reform TISS and the parliament should do its duty to do so. The overhaul of TISS is long overdue; now we have agents going rogue; we can not have and must not have an intelligence service that is politicized and without control of its agents.

UNLESS of course the whole assault had had official blessings from the government in which case Kikwete's words to the contrary would be purposely deceptive and highly prejudicial.

On the other hand, if its not "them" then who did it? It can't take a week for anybody to be arrested for the crime. It is shameful that it now entering almost a week for as it is well known the first 48 hours for any crimes are the most crucial moment to solve it. Now it is past 72 hours!!

MMM

Mzee Mwanakijiji,

Kanumba was more popular than Dr. Ulimboka, the suspect has been arrested. 'Leave the if and only if' outside this case let the professionals do their jobs unless you have solved the problem and you have all the answers then you should go forward and name and shame.

Otherswise it is a Legacy of Ashes at Work and dont be surprised that you yes You may be a part of it!
 
"Kama kuna mtu wa Serikali kafanya, itakuwa kwa sababu zake binafsi na siyo za Serikali au kwa kutumwa na Serikali".Rais Jakaya Kikwete.
Kwa maneno haya ya Rais ni dhahiri kuwa govt agents wamehusika kumdhuru dr. Ulimboka ila Rais ameongea kidiplomasia kwa lengo la kutoiweka uchi serikali yake. Yawezekana Rais hakuwatuma lakini govt agents hapa wamehusika kwa 100% na sasa wanatafuta jinsi ya kujitetea.


 
b. Where is the car that came to the rescue? (in the middle of the night...)? was one of the agents had a changed heart and decided to spare Ulimboka's life (very probable); did he rush the others to give Ulimboka a chance to survive!.


Really now, that's new information to me but either way Mr President already asserted that the Government is not involved

Huyu mnyama aitwaye government,ambaye Mh.PM,M.K.Pinda ndiye kiongozi wa shughuli zake bungeni daima huwa ni mtakatifu,EPA hahusiki,RADAR hahusiki,Mauaji ya Imran Kombe Hahusiki na ufisadi wote tuujuo na tusio ujua hahusiki,that being the case, Mr President kusema kuwa Serikali haihusiki na mateso aliyopewa Dr.Uli sio habari kwa kuwa ni kawaida ya Serikali ya TZ kutoshiriki Uovu wa aina yoyote. Iko siku na sasa ipo ambapo ukweli wote utajawekwa peupe.Manunu gha mapuli nkisu iki.
 
"Kama kuna mtu wa Serikali kafanya, itakuwa kwa sababu zake binafsi na siyo za Serikali au kwa kutumwa na Serikali".Rais Jakaya Kikwete.
Kwa maneno haya ya Rais ni dhahiri kuwa govt agents wamehusika kumdhuru dr. Ulimboka ila Rais ameongea kidiplomasia kwa lengo la kutoiweka uchi serikali yake. Yawezekana Rais hakuwatuma lakini govt agents hapa wamehusika kwa 100% na sasa wanatafuta jinsi ya kujitetea.



MMM...

Samahani na ma GT humu ndani,wapi Serikali inaanzia na wapi inaishia ? ni nani ambaye akitenda jambo jema au baya hutenda kwa niaba ya serikali ? na ni nani akitenda jambo baya au jema anatenda kwa kwa niaba yake binafsi na sio serikali ? kwa kuwa mimi sio GT najua kuwa kama IGP akitoa agizo jema au baya hilo agizo ni mali ya serikali, au Mkuu wa TISS akiamuru operation njema au mbaya ni kwa niaba ya serikali na matendo ya wote ni mali halali ya MH.Rais, Kwa mtazamo wa kawaida tu kwa sisi ambao sio GT Dr.Ulimboka hakuwa mtu huru ndani ya nchi yake tangu kuanza kwa mgogoro wa madaktari na serikali,ni wazi kuwa serikali ilikuwa ikifuatilia nyendo zake wakati wote kiasi kuwa isingekuwa rahisi kwa taasisi isiyokuwa ya serikali kuweza kumteka bila kujulikana,kwa kitendo cha watu wasiojulikana kumteka kirahisi hadi kumfanyia unyama wao bila kujulikana hapo inabidi sisi ambao sio GT tuhitimishe kuwa hao watu ni wale wale mawakala wa sirikali.
Kama mkuu wa nchi hajui na hakuagiza na hajapendezwa na unyama huu,SIMPLE. IGP,TISS Boss OUT
 
Back
Top Bottom