Dr Ulimboka akae chini afikiri akumbuke vizuri maana bongo siku hizi ukidhulumu au kula demu wa mtu watu wanaweza kukufanyia mbaya!
The one we suspected has now given security by government.
Nakumbuka miaka ya nyuma kuna majambazi yaliua mbwa wa polisi hapa Dar haikuchukua siku tukasikia wamekamatwa.
Juzi kati mtalii aliuawa kule Serengeti tukasika wamekamatwa, haya Arusha watu wameuliwa watu kimya, Mwanza wabunge wemekatwa mapanga watu kimya, Ulimboka amepigwa ametolewa meno na kucha inaundwa tume. Mbona hakukuwa na tume kuhusiana na mauaji ya mtalii na walioua mbwa enzi zile za nyuma?
Mungu wabariki madaktari, Mungu wabariki wote wenye kutenda mema.
Kikwete kimsingi kasema waiofanya hivyo waweza kuwa watu wa serikali lakini hakuwatuma yeye.
MMM naona anataka kuipindisha hotuba.Kimsingi alichosema ni kuwa yeye binafsi ha-rule out yoyote yule kuhusika, hata serikali; sio ni serikali
b. Hired Professional Assassins: Is it possible that a group of hired killers carried this attack against Ulimboka? There is a slim chance of that but any paid killer would have known that whether Dr. Ulimboka dies or live the police and other security agents would carry a massive manhunt against the perpetrators. Hired killers strike in darkness and they could have done that anywhere else but not as public as our "suspect" did.
b. Where is the car that came to the rescue? (in the middle of the night...)? was one of the agents had a changed heart and decided to spare Ulimboka's life (very probable); did he rush the others to give Ulimboka a chance to survive!.
Really now, that's new information to me but either way Mr President already asserted that the Government is not involved
ndo mawazo yenu ma...ya nyieDr Ulimboka akae chini afikiri akumbuke vizuri maana bongo siku hizi ukidhulumu au kula demu wa mtu watu wanaweza kukufanyia mbaya!
MMM naona anataka kuipindisha hotuba.
Kama kuna mtu wa Serikali kafanya, itakuwa kwa sababu zake binafsi na siyo za Serikali au kwa kutumwa na Serikali.
si ndio hapo. Hata sie wote tulimsikiaKwa ila zake zote alonazo, Kikwete Kiswahili hakimpi shida. Hawezi kutumia neno "lakini" kamwe, kwenye sentensi kama ile, maana "lakini" inayofuatia sentensi ina maana kuwa sentensi ya iliyopita ni fact/uhalisia.
Kikwete aliweka msisitizo kuonyesha kuwa hana fact, kwa kutumia maneno mahsusi kuonyesha hilo; na hapa namnukuu:
Rank | Country Name | Rate per 10,000
|
---|---|---|
Global | 14 | |
1 | Cuba | 67 |
2 | Greece | 62 |
3 | Niue | 60 |
4 | Belarus | 52 |
5 | Austria | 49 |
6 | Georgia | 48 |
7 | Russian Federation | 43 |
8 | Norway | 42 |
9 | Kazakhstan | 41 |
10 | Switzerland | 41 |
11 | Spain | 40 |
12 | Andorra | 39 |
13 | Portugal | 39 |
14 | Azerbaijan | 38 |
15 | Sweden | 38 |
16 | Armenia | 38 |
17 | Uruguay | 37 |
18 | Iceland | 37 |
19 | Bulgaria | 37 |
20 | Czech Republic | 37 |
21 | Israel | 37 |
22 | Lithuania | 36 |
23 | Germany | 36 |
24 | Lebanon | 35 |
25 | Italy | 35 |
26 | France | 34 |
27 | Denmark | 34 |
28 | Estonia | 33 |
29 | Ukraine | 32 |
30 | Ireland | 32 |
31 | Malta | 31 |
32 | Hungary | 30 |
33 | Belgium | 30 |
34 | Slovakia | 30 |
35 | Australia | 30 |
36 | Latvia | 30 |
37 | Finland | 29 |
38 | Cook Islands | 29 |
39 | Netherlands | 29 |
40 | Egypt | 28 |
41 | Luxembourg | 28 |
42 | Mongolia | 28 |
43 | Qatar | 28 |
44 | United Kingdom | 27 |
45 | New Zealand | 27 |
46 | Moldova (Republic of) | 27 |
47 | Macedonia (The former Yugoslav Republic of) | 26 |
48 | Croatia | 26 |
49 | Cyprus | 26 |
50 | Uzbekistan | 26 |
51 | Slovenia | 25 |
52 | Jordan | 25 |
53 | United States of America | 24 |
54 | Turkmenistan | 24 |
55 | Kyrgyzstan | 23 |
56 | Romania | 23 |
57 | Poland | 22 |
58 | Japan | 21 |
59 | Serbia | 21 |
60 | Tajikistan | 21 |
61 | Montenegro | 21 |
62 | Korea (Republic of) | 20 |
63 | Canada | 20 |
64 | Mexico | 20 |
65 | United Arab Emirates | 19 |
66 | Oman | 19 |
67 | Libyan Arab Jamahiriya | 19 |
68 | Singapore | 18 |
69 | Barbados | 18 |
70 | Kuwait | 18 |
71 | Brazil | 18 |
72 | Ecuador | 17 |
73 | Bosnia and Herzegovina | 16 |
74 | El Salvador | 16 |
75 | Maldives | 16 |
76 | Turkey | 15 |
77 | Syrian Arab Republic | 15 |
78 | Bahrain | 14 |
79 | Brunei Darussalam | 14 |
80 | China | 14 |
81 | Palau | 14 |
82 | Viet Nam | 12 |
83 | Algeria | 12 |
84 | Tunisia | 12 |
85 | Trinidad and Tobago | 12 |
86 | Albania | 12 |
87 | Tuvalu | 11 |
88 | Chile | 10 |
89 | Malaysia | 9 |
90 | Saudi Arabia | 9 |
91 | Peru | 9 |
92 | Iran (Islamic Republic of) | 9 |
93 | Belize | 8 |
94 | Pakistan | 8 |
95 | Nauru | 7 |
96 | Iraq | 7 |
97 | India | 6 |
98 | Morocco | 6 |
99 | Cape Verde | 6 |
100 | Tonga | 6 |
101 | Sri Lanka | 5 |
102 | Samoa | 5 |
103 | Myanmar | 5 |
104 | Marshall Islands | 4 |
105 | Fiji | 4 |
106 | Nigeria | 4 |
107 | Kiribati | 4 |
108 | Namibia | 4 |
109 | Botswana | 3 |
110 | Yemen | 3 |
111 | Bangladesh | 3 |
112 | Indonesia | 3 |
113 | Sudan | 3 |
114 | Lao People's Democratic Rep. | 3 |
115 | Djibouti | 2 |
116 | Cambodia | 2 |
117 | Solomon Islands | 2 |
118 | Afghanistan | 2 |
119 | Micronesia (Federated States of) | 2 |
120 | Madagascar | 2 |
121 | Colombia | 1 |
122 | Cote d'Ivoire | 1 |
123 | Mauritania | 1 |
124 | Uganda | 1 |
125 | Vanuatu | 1 |
126 | Guinea | 1 |
127 | Congo | 1 |
128 | Ghana | 1 |
129 | Burkina Faso | 1 |
130 | Benin | 1 |
130 | Senegal | 1 |
131 | Zambia | 1 |
132 | Papua New Guinea | 1 |
132 | Togo | 1 |
133 | Mali | |
134 | Guinea-Bissau | |
135 | Gambia | |
136 | Somalia | |
137 | Mozambique | |
138 | Rwanda | |
139 | Bhutan | |
140 | Ethiopia | |
141 | Malawi | |
141 | Niger | |
142 | Sierra Leone | |
143 | Liberia | |
144 | Tanzania (United Rep. of) | |
145 | American Samoa | (NA) |
145 | Angola | (NA) |
145 | Anguilla | (NA) |
145 | Antigua and Barbuda | (NA) |
145 | Argentina | (NA) |
145 | Aruba | (NA) |
145 | Bahamas | (NA) |
145 | Bermuda | (NA) |
Maundumula angekuwa mtu mwingine kamta ja huyo hemedi msangi sawa victim kamtaja mwenyewe kama nyie ndio mlitekwa basi semenihuwezi kusema hivi mkuu - hamna haja ya kuishutumu serikali au mtu yeyote huu ni ujinga mkubwa sana , na serikali inajua na ndio sababu wakampa ulinzi mkuu nikuulize kitu yuko wapi ditopile aliyeua nakutetewa na serikali na sheria kumlinda? zombe alilindwa na serikali ! wezi wa mabilioni serikali inawalinda sana so we can say and proove beyond reasonable dought that serikali ipo kwa maslahi binafsi mkuu ya waheshimiwa haiwezekani mpaka leo mtu anaumizwa vile ikawa kimya watanzania wa sasa sio wa enzi za nyerere! we will see 2015 wewe na zomba mtapotea jf kwa aibu na huyo rais wako hana hata aibu anaropoka eti hajamtuma nani kamuuliza kama amemtuma au la inajidhihirisha wazi yeye ni amirjeshi mkuu wa nchi hii na waliofanya ni polic na usalama wataifa AUTHORIYT COMES FROM ABOVE OBIDIENCE COMES FROM BELOW ,.mark my word today 02/07/2012 9:47amNdahani,
Ni sawa, kwahiyo hamna haja ya kuishutumu serikali au mtu yeyote.
Wacha wahusika wafanye kazi yao naamini tutafika mahala tutajua.