AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
Oh shem..... I know you know that I know and you know that when beer is not mentioned then that thing must be mentioned..... You knoo woram seyyyiing?
Can I define abomination from this post?
Hili litahitaji DNA test. Matoto mengine nliyapata hata kabla sijabalehe eti. Nyie jinsia KE nyie.... Ntawaloga!
watoto watakua wamefanana na Bagah the player boy
Kashindwa kujibu coz hajui idadi....ndio kaenda kuwahesabu mara moja...
Dah huyu babu yetu kazi kweli
Afu tangu nikustahi na kukusaidia kulea mimba ya yule mlinzi wa KK security umeamua kuniua baada ya kupata dreva wa malori ya ujenzi wa barabara ya bagamoyo. Mradi ukiisha uhamie kwa Ashadii.
I don love you no more! Lol
Kweli kabisa, hakuna haja ya kumywesha vidonge mwenzio kila siku, kumbe tiba ipo, kila siku naipakata si dozi tosha kabisa.huh? Ya kweli haya mike?
Hivi na kina dada wanaopakata hizi laptop pia wanakufa mbegu za uzazi au ni kwa wababa tu? vivian...Babuu.
Mionzi ya Laptop inauwa Mbegu za...
Hivi na kina dada wanaopakata hizi laptop pia wanakufa mbegu za uzazi au ni kwa wababa tu? vivian...
Unampekua mayai huyo? Mashine yenyewe ya kuzalisha mayai aliwauzia interchick.
Kwahiyo hivi virutubisho havihathiriwi na hii mionzi.Kwani na wadada wana mbegu??
Hivi kwani mbegu hupandwa kwenye mbegu zingine ili iote?
Mbegu hupandwa kwenye viritubisho tu, wanawake wana udongo wa rutuba tu.
Say something Bagah. I know you like Malimaring so Much. ukipunguza leta posa
Haaaaaaaaaaaa!Mashine yenyewe ya kuzalisha mayai aliwauzia interchick.
Haaaaaaaaaa! Hii ni kazi ya mpemba tu, hao mapacha muwatizame vizuri au alirudishiwa mashine kutoka InterchickMaana juzi kati hapa babu yako kazalisha mapacha....lol.
Say something Bagah. I know you like Malimaring so Much. ukipunguza leta posa
Vivii mambo?
Umefanya namecalling, watakupiga BAN?
Bagah taratiiiiiibu kaka!
Kuna mzembe mmoja aliwahi kunituhumu eti bia zimenifanya nikawa joka la kibisa. Alikuja shangaa kuona watoto wake wamefanana na mimi.
Somo: Yeyote wa kiume atakayeshabikia huu uzushi mke wake atajifungua mtoto wa mjumbe wa nyumba kumi. Wakike atakayeshabikia jamaa lake litazawadiwa mbegu za jogoo kudadadeki ile pyee tu, kitu pyaa! Atakoma na mamhemko yake ya kike.
Chezeya ODM?
Hahahahahaaaa yan hapo anaipasha moto lolBabu hana Mbegu tena. halafu ndio ameipakata bila hata kuvaa tei tei.
Unaanza masifa tena....hayo ndio maneno ya watu tuliovunja UNGO...twende zetu chamber tukatete basi...wanafiki wengi humu...