Aslay mihogo Mwanza

Aslay mihogo Mwanza

Nilikula samaki wake pale coco,niliishia kuharisha week nzima.sina hamu na hao samaki wake hadi leo.
 
Nimeacha kula vyakula kwa kufuata promo za mitandaoni, Restautants zote nilizoenda kwa kufuata trends za mitandaoni ni hovyo, Shishi food dodoma vyakula bei juu msosi wa kawaida sana, shawarma pale mwenge kawaida tu, Ney Cassava nilikula upuuzi. Magomeni kulikuwa na mgahawa unaitwa Basmati Mungu awabariki wale kwa chakula kitamu. Mwanza Mishikaki mizuri iko pale Salma Cone, Kitimoto Mwanza nenda Victoria prince. Ukitaka T bone steak safi na chipsi kale Bonasera.
Bongo hii customer care ni zero watu wanaowaweka wale mabinti wa kuhudumia hawajui maana y kuchangamka na mambo kama hayo.

Kiufupi tabia Watanzania hawana tabia za biashara usije shangaa Afisa masoko au.mauzo kutokea mteja.

Nimewahi fanya kau za Huduma na Wakenya huwezi Kuta upumbavu kama huo.
 
Wabongo wanavyopenda kuwashusha na kuwakatisha moyo wenzao sasa dahh!! Mbona mtoa mada ameshauri vzr sana ili wahisika kama wapo humu wachukue hatua.

Nilichogundua wengi humu hawajawahi fanya biashara hata ya kuuza karanga lkn kwa mtu anaejua biashara mistake ndogo ndogo kama hizo hazimsumbui. Biashara inatabia ya kukufundisha kitu kipya Kila siku
 
Kwani hakuna sehemu nyingine za kula vitu unavyotaka??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom