Habari za Mihangaiko..
Napenda kumshauli huyu Dogo Aslay kuhusu Biashara ya mihogo
Leo nimesema niende kula mihogo na Mishikaki ajabu hawana Mishikaki
Eti kuna Samaki tuu na Mimi Mchana nimekula Samaki Sasa nikauliza Hamna kibgine zaidi ya Samaki?? Jibu hamna
Sasa kilichonifanya niandike mimi Sikuaribii Biashara yako Nimeamua kula Mihogo na Fresh juice
Ila mihogo ni Migumu Saana imekaangwa mpaka hata kutafuna ni Shida Sasa Ushauri wangu Ambia Team yako Muandae Mihogo vizuri kwa Wateja Imagine nimekuta mteja mmoja na Nimeondoka hakuna mteja
Jitahidi kuweka
Mishikaki
Soseji
Sambusa vitu kama hivyo Eneo ni zuri sanaa ila Huduma Ziro Mimi Nashauli kwa Upendo tuu ni Hayo🙏
View attachment 3427349