Aslay mihogo Mwanza

Aslay mihogo Mwanza

Habari za Mihangaiko..

Napenda kumshauli huyu Dogo Aslay kuhusu Biashara ya mihogo

Leo nimesema niende kula mihogo na Mishikaki ajabu hawana Mishikaki
Eti kuna Samaki tuu na Mimi Mchana nimekula Samaki Sasa nikauliza Hamna kibgine zaidi ya Samaki?? Jibu hamna

Sasa kilichonifanya niandike mimi Sikuaribii Biashara yako Nimeamua kula Mihogo na Fresh juice

Ila mihogo ni Migumu Saana imekaangwa mpaka hata kutafuna ni Shida Sasa Ushauri wangu Ambia Team yako Muandae Mihogo vizuri kwa Wateja Imagine nimekuta mteja mmoja na Nimeondoka hakuna mteja
Jitahidi kuweka

Mishikaki
Soseji
Sambusa vitu kama hivyo Eneo ni zuri sanaa ila Huduma Ziro Mimi Nashauli kwa Upendo tuu ni Hayo🙏

View attachment 3427349
Tushajua leo ulikula mihogo kwa Aslay. Umeeaanzaaa mbaaali.
 
Biashara ya chakula n usimamizi, unatakiwa kua very punctual bila hivyo una poteza uhaalisia wa unacho tangaza na unacho uza koz wafanyakaz watakupa fake upost halafu wanacho hudumia n kingine🚮, nampongeza esha buheti ana jitahidi
 
Wakina Martin, Ringo, shafii watoa scene huko kila siku na misamaki mikubwa inameremeta😆
 
Biashara ya chakula n usimamizi, unatakiwa kua very punctual bila hivyo una poteza uhaalisia wa unacho tangaza na unacho uza koz wafanyakaz watakupa fake upost halafu wanacho hudumia n kingine🚮, nampongeza esha buheti ana jitahidi
Esha ndo wanataka kumpambanisha na shishi food aloo
 
Habari za Mihangaiko..

Napenda kumshauli huyu Dogo Aslay kuhusu Biashara ya mihogo

Leo nimesema niende kula mihogo na Mishikaki ajabu hawana Mishikaki
Eti kuna Samaki tuu na Mimi Mchana nimekula Samaki Sasa nikauliza Hamna kibgine zaidi ya Samaki?? Jibu hamna

Sasa kilichonifanya niandike mimi Sikuaribii Biashara yako Nimeamua kula Mihogo na Fresh juice

Ila mihogo ni Migumu Saana imekaangwa mpaka hata kutafuna ni Shida Sasa Ushauri wangu Ambia Team yako Muandae Mihogo vizuri kwa Wateja Imagine nimekuta mteja mmoja na Nimeondoka hakuna mteja
Jitahidi kuweka

Mishikaki
Soseji
Sambusa vitu kama hivyo Eneo ni zuri sanaa ila Huduma Ziro Mimi Nashauli kwa Upendo tuu ni Hayo🙏

View attachment 3427349
Habari za Mihangaiko..

Napenda kumshauli huyu Dogo Aslay kuhusu Biashara ya mihogo

Leo nimesema niende kula mihogo na Mishikaki ajabu hawana Mishikaki
Eti kuna Samaki tuu na Mimi Mchana nimekula Samaki Sasa nikauliza Hamna kibgine zaidi ya Samaki?? Jibu hamna

Sasa kilichonifanya niandike mimi Sikuaribii Biashara yako Nimeamua kula Mihogo na Fresh juice

Ila mihogo ni Migumu Saana imekaangwa mpaka hata kutafuna ni Shida Sasa Ushauri wangu Ambia Team yako Muandae Mihogo vizuri kwa Wateja Imagine nimekuta mteja mmoja na Nimeondoka hakuna mteja
Jitahidi kuweka

Mishikaki
Soseji
Sambusa vitu kama hivyo Eneo ni zuri sanaa ila Huduma Ziro Mimi Nashauli kwa Upendo tuu ni Hayo🙏

View attachment 3427349
Sato fresh kabisa au sangara walionona mapanki ni isues za mutandaoni na propaganda tu ukishindwa kabisa unakula furu zako za kutosha.
11
Habari za Mihangaiko..

Napenda kumshauli huyu Dogo Aslay kuhusu Biashara ya mihogo

Leo nimesema niende kula mihogo na Mishikaki ajabu hawana Mishikaki
Eti kuna Samaki tuu na Mimi Mchana nimekula Samaki Sasa nikauliza Hamna kibgine zaidi ya Samaki?? Jibu hamna

Sasa kilichonifanya niandike mimi Sikuaribii Biashara yako Nimeamua kula Mihogo na Fresh juice

Ila mihogo ni Migumu Saana imekaangwa mpaka hata kutafuna ni Shida Sasa Ushauri wangu Ambia Team yako Muandae Mihogo vizuri kwa Wateja Imagine nimekuta mteja mmoja na Nimeondoka hakuna mteja
Jitahidi kuweka

Mishikaki
Soseji
Sambusa vitu kama hivyo Eneo ni zuri sanaa ila Huduma

View attachment 3427349

Nani kakwambia tunahangaika?
 
Labda ujaribu huko lkn aslay mihogo wa mwanza biashara lazima imkate, nikitaka samaki hasa sato huwa nashuka kule sokoni samaki unamuona anatoka majini halafu unakaangiwa vizuri.
Kwa huko Mwanza samaki ni wengi, watu hawana mzuka na samaki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom