Mzalendo39
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 882
- 1,029
Mimi Hii kitu democracy sitaki kuisikia kabisa hiyo democrasia ndiyo iliyosababisha celtel kuchukuliwa,escro,migodi kubinafisishwa wizi chungu mzima
Magufuli naomba ukaze hivyo hivyo maana hata haya makanisa yanatunyonya tu sisi wananchi wa chini ilitakiwa waridishiwe kodi
Magufuli naomba ukaze hivyo hivyo maana hata haya makanisa yanatunyonya tu sisi wananchi wa chini ilitakiwa waridishiwe kodi