Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
we jamaa vipi, ina maana maneno haya yangetamkwa na shekhe mkuu kwa kuwa aliyeambiwa sio muislam yasingemhusu. Ingebidi shehe mkuu akaripoti kwa Pengo ndio ayatoe hadharani? ,Ni namna ya kiajabu unavyowaza.Tatizo LA katoliki kwa sasa Askofu katoliki wa jimbo lolote aweza ongelea mambo ya kitaifa badala ya kuishia jimboni kwake.kidini huwezi ongelea muumini wa jimbo lingine direct bila kuwasiliana kwanza na Askofu wake.Magufuli kidini yuko chini ya Askofu wa dar es salaam ambaye ni Askofu na kardinali Pengo huwezi ibuka tu Askofu usiye wake kumumsema muumini asiye wako uwe Askofu wa rulenge,Gwajima, kakobe au Askofu koko yeyote.Ndio maana nimeomba kanisa LA Tanzania Assemblies of God litoe semina kwa maaskofu wawe katoliki ,nk wako vizuri.Kufundisha mipaka ya Mchungaji ni wapi ,Askofu wa jimbo ni wapi nk