Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Msumari umemuingia vemaUkweli haujawahi kuwa mtamu.
Msumari umemuingia vemaUkweli haujawahi kuwa mtamu.
kwani siasa ni uzinzi mpaka isizungumzwe kanisani au msikitini? siasa ni masuala tu ya uongozi na utawala wa jamii fulani ya watuYEHODAYA hivyo ni vibwagizo tu katika ujumbe sio ujumbe wa ibada, endelea tu kwenda church
Hujitambui weweAskofu mzima hajui jinsi ya kukosoa muumini wa kanisa lisilo lake? Alitakiwa awasilishe malalamiko kwa Askofu pengo halafu pengo angempa feedback baada ya kuongea na muumini wake.Hivi hawa maaskofu woropokaji wasiojua protocol walipataje uaskofu kanisani kuna rushwa.hawa maaskofu nawaomba waombe wapewe semina na Kanisa LA Tanzania Assemblies of God yaani TAG wako vizuri kwenye mambo ya protocol za kikanisa.Katoliki,Lutheran, akina kakobe,Gwajima na maaskofu wote waropokaji washinikizwe kuhudhuria hata kwa viboko na makanisa yao hiyo semina.Kama hela za kuattend hawana naomba TAG idhamini bure tafadhali
sadaka zinapungua..so watu wanatafuta kupumuaHawa maaskofu so boring.mitaani unasikiliza siasa unasema ngoja nibadili mkao nimechoka siasa ngoja niende kanisani unafika kanisani unakutana na siasa tena .stupid
Tatizo LA katoliki kwa sasa Askofu katoliki wa jimbo lolote aweza ongelea mambo ya kitaifa badala ya kuishia jimboni kwake.kidini huwezi ongelea muumini wa jimbo lingine direct bila kuwasiliana kwanza na Askofu wake.Magufuli kidini yuko chini ya Askofu wa dar es salaam ambaye ni Askofu na kardinali Pengo huwezi ibuka tu Askofu usiye wake kumumsema muumini asiye wako uwe Askofu wa rulenge,Gwajima, kakobe au Askofu koko yeyote.Ndio maana nimeomba kanisa LA Tanzania Assemblies of God litoe semina kwa maaskofu wawe katoliki ,nk wako vizuri.Kufundisha mipaka ya Mchungaji ni wapi ,Askofu wa jimbo ni wapi nkInaonekana hujui utaratibu wa kanisa katoliki, Pengo ni kardinali na sio boss wa maaskofu wakatoliki Tanzania. Hata kama ingekuwa hivyo huyo Pengo ndio aambiwe ili afunike unyama unaoendelea nchini? Hao viongozi wa dini wamevumilia wameona huko tunakoenda sio kwema, nchi inatawaliwa kinyama huku sheria zikikiukwa. Na bado kuna jumbe za viongozi wengi wa dini zitaripotiwa leo na kesho. Huu unyama unafanyika wazi kiasi hiki ni ngumu viongozi wa dini kukaa kimya.
Hahaaaa et shetanViongozi wa Dini wameshtuka wanaweza kuwa wanamuombea shetani. hongera askofu
Huo ndio utamaduni wa wana kijaniMbona wakisifia hulalamiki wanafanya siasa makanisani!?!?
Acha UNAFIKI.
Tatizo LA katoliki kwa sasa Askofu katoliki wa jimbo lolote aweza ongelea mambo ya kitaifa badala ya kuishia jimboni kwake.kidini huwezi ongelea muumini wa jimbo lingine direct bila kuwasiliana kwanza na Askofu wake.Magufuli kidini yuko chini ya Askofu wa dar es salaam ambaye ni Askofu na kardinali Pengo huwezi ibuka tu Askofu usiye wake kumumsema muumini asiye wako uwe Askofu wa rulenge,Gwajima, kakobe au Askofu koko yeyote
Yaani kuna mwanamke na watoto wanakuita wewe baba wa familiaHawa maaskofu so boring.mitaani unasikiliza siasa unasema ngoja nibadili mkao nimechoka siasa ngoja niende kanisani unafika kanisani unakutana na siasa tena .stupid
Hopeless argument from a hopeless mind.Askofu mzima hajui jinsi ya kukosoa muumini wa kanisa lisilo lake? Alitakiwa awasilishe malalamiko kwa Askofu pengo halafu pengo angempa feedback baada ya kuongea na muumini wake.Hivi hawa maaskofu woropokaji wasiojua protocol walipataje uaskofu kanisani kuna rushwa.hawa maaskofu nawaomba waombe wapewe semina na Kanisa LA Tanzania Assemblies of God yaani TAG wako vizuri kwenye mambo ya protocol za kikanisa.Katoliki,Lutheran, akina kakobe,Gwajima na maaskofu wote waropokaji washinikizwe kuhudhuria hata kwa viboko na makanisa yao hiyo semina.Kama hela za kuattend hawana naomba TAG idhamini bure tafadhali
Yaani kuna mwanamke na watoto wanakuita wewe baba wa familia
Unakuwa kama umechanganyikiwa vile..alivyomsifia na kumfananisha na Mugabe mbona hukumkosoa?..Kwahiyo nchi inakoelekea wewe unaona sawa tu..nyie ni watu gani hasa?sidhani kama ni watanzania!Kutokana na jinsi unavyomtetea jpm unaona ni sawa tu watu kupigwa mapanga?..Tunaelekea wapi?..ningefurahi kweli kama ndg yako angetandikwa mapanga kwa sababu ya siasa then utajua hawa viongozi wa dini wanaongea nini!Tatizo LA katoliki kwa sasa Askofu katoliki wa jimbo lolote aweza ongelea mambo ya kitaifa badala ya kuishia jimboni kwake.kidini huwezi ongelea muumini wa jimbo lingine direct bila kuwasiliana kwanza na Askofu wake.Magufuli kidini yuko chini ya Askofu wa dar es salaam ambaye ni Askofu na kardinali Pengo huwezi ibuka tu Askofu usiye wake kumumsema muumini asiye wako uwe Askofu wa rulenge,Gwajima, kakobe au Askofu koko yeyote.Ndio maana nimeomba kanisa LA Tanzania Assemblies of God litoe semina kwa maaskofu wawe katoliki ,nk wako vizuri.Kufundisha mipaka ya Mchungaji ni wapi ,Askofu wa jimbo ni wapi nk
Ama hakika viongozi hawa walijawa na Roho MtakatifuViongozi wa dini ambayo wameamua kuikosoa serikali chini utawala wa John Pombe Magufuli. ambaye hakika wanastahili pongezi tunahitaji viongozi wa dini kama hawa wenye uwezo wa kusimama na kusema ukweli.
View attachment 658974
View attachment 658976
Stupid mwenyeweHawa maaskofu so boring.mitaani unasikiliza siasa unasema ngoja nibadili mkao nimechoka siasa ngoja niende kanisani unafika kanisani unakutana na siasa tena .stupid
Huelewi wewe unachoongea.Tatizo LA katoliki kwa sasa Askofu katoliki wa jimbo lolote aweza ongelea mambo ya kitaifa badala ya kuishia jimboni kwake.kidini huwezi ongelea muumini wa jimbo lingine direct bila kuwasiliana kwanza na Askofu wake.Magufuli kidini yuko chini ya Askofu wa dar es salaam ambaye ni Askofu na kardinali Pengo huwezi ibuka tu Askofu usiye wake kumumsema muumini asiye wako uwe Askofu wa rulenge,Gwajima, kakobe au Askofu koko yeyote.Ndio maana nimeomba kanisa LA Tanzania Assemblies of God litoe semina kwa maaskofu wawe katoliki ,nk wako vizuri.Kufundisha mipaka ya Mchungaji ni wapi ,Askofu wa jimbo ni wapi nk