Umepoteza bure miaka uliyokaa shule!Mkuu, kumbe Una ushahidi kabisa, Wakati huohuo unataka kufanyike uchunguzi....! Kwa ushahidi huohuo mi nadhani, anzia hapohapo, peleka mahakamani
Umepoteza bure miaka uliyokaa shule!Mkuu, kumbe Una ushahidi kabisa, Wakati huohuo unataka kufanyike uchunguzi....! Kwa ushahidi huohuo mi nadhani, anzia hapohapo, peleka mahakamani
Sawa mkuu, Kwa vile hukutoa pesa wewe ili nisome, haina mbaya kakaUmepoteza bure miaka uliyokaa shule!
Angewatuma vijana wakamuulize ni watu wa taifa gani wanavaa kofia kama yeye, yawezekana huyu ni raia wa hukoHuu ukosoaji enzi za Mwendazake John Pombe, ilikuwa hatari na pengine angeweza kunyang'anywa uhai bila kupenda.
Hili la spika ni muhimu sana kuanzishiwa movement seriously, spika tuliyenaye ni questionable, possibly ana hitilafu kichwanitunaweza kuamini zile tetesi za kuwa kuna zengwe linasukwa chini chini ili atemeshwe U-Spika kabla ya 2025.
Mbona mashambulizi dhidi yake yameachiliwa hivi?
ngoja nimfuatilieAnaitwa askofu mpemba ,ni mchungaj tokea mwanza Ila alihama nchi akaenda kuishi ughaibuni baada ya kuwa anamkosoa hadharani Maghufuli ,jamaa ni Kati ya watu wachache waliobaki imara kwenye ukosoaji kipindi cha jiwe jamaa halikuyumba hata kidogo japo he was forced to withdraw his own country sababu ya vitisho vya jiwe .... Kwenye ukosoaji yupo level moja na tundulissu moja ya watu imara waliobaki kipind cha utawala wote wa chuma even though walilipa Gharama kubwa