Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 2,926
- 3,054
MacCM ni mazezeta sana.Machadema ni mapumbavu sana
MacCM ni mazezeta sana.Machadema ni mapumbavu sana
Na huyo shetani ndiye aliyekufundisha ukabila, anastahili kufa mara 1000000 huyu Hitler aliyetaka kuharibu legacy ya JK Nyerere ya Tanzania isiyo na ubaguzi! You can join him in hell if you care for him!magu atasemwa kwa mazuri acha uchagga wako
Walivyo wapuuzi wanawataja mabeberu, adui wa muafrika ni muafrika mwenzieIkitokea hivyo Mimi nafanya sherehe,kwani watu wanatafuta kwanini tunakwama kama taifa wakati wanaotukwamisha wanafahamika,kwa viburi,jeuri na ulevi wao wa madaraka,kiasi hata cha kumkufuru Mungu.
Huu ukosoaji enzi za Mwendazake John Pombe, ilikuwa hatari na pengine angeweza kunyang'anywa uhai bila kupenda..
.Mtazame na msikilize mwenyewe kisha tunaweza kusema na kujadiliana.
Huu ukosoaji enzi za Mwendazake John Pombe, ilikuwa hatari na pengine angeweza kunyang'anywa uhai bila kupenda.
Pengine pia, tunaweza kuamini zile tetesi za kuwa kuna zengwe linasukwa chini chini ili atemeshwe U-Spika kabla ya 2025.
Mbona mashambulizi dhidi yake yameachiliwa hivi?
Maccm ni mataahira sanaMachadema ni mapumbavu sana
Mkuu, mahakama gani?!!!For good governance CHADEMA walipeleke suala hili mahakamani.
Kama kikao halali cha chama kiliwafuta uanachama mzee Halima na genge lake, hiyo barua unayosema hata Kama iliandikwa na rais haina tija yoyote.Hivi Kwa nini Chadema hawakuifuatilia Ile Barua kutaka kujua ilikotokea??
Sawa, walimhofia Jiwe, leo hayupo, ni muda mwafaka wa kufahamu Barua Ile ilitokea wapi na Nani aliwaidhinisha wale wabunge wa Chadema kuingia bungeni
Mtazame na msikilize mwenyewe kisha tunaweza kusema na kujadiliana.
Huu ukosoaji enzi za Mwendazake John Pombe, ilikuwa hatari na pengine angeweza kunyang'anywa uhai bila kupenda.
Pengine pia, tunaweza kuamini zile tetesi za kuwa kuna zengwe linasukwa chini chini ili atemeshwe U-Spika kabla ya 2025.
Mbona mashambulizi dhidi yake yameachiliwa hivi?
Ndugai na washauri wake ni kichwa cha mbogo; hakiwivi, ila kinaoza mbogo akifa. Mbogo sasa kafa na kicha kimeanza kuoza.Mtazame na msikilize mwenyewe kisha tunaweza kusema na kujadiliana.
Huu ukosoaji enzi za Mwendazake John Pombe, ilikuwa hatari na pengine angeweza kunyang'anywa uhai bila kupenda.
Pengine pia, tunaweza kuamini zile tetesi za kuwa kuna zengwe linasukwa chini chini ili atemeshwe U-Spika kabla ya 2025.
Mbona mashambulizi dhidi yake yameachiliwa hivi?
Yote kwa yote ni sawa mkuu. Anayoyasema je ni pumba?Mkuu,
Acha kubeba vitu na kuja kupachika hapa, huyo unayemwita askofu unakumbuka alianza kufanya vituko gani enzi za Jakaya Kikwete wakati huo akiwa mchungaji kanisa moja hapo Mkuyuni Mwanza njia ya kuelekea Butimba?
Unafahamu waumini wake walitaka kumfanya nini?
Unafahamu kuwa huyo alishawahi kuwa mlinzi wa kampuni moja na kuacha kazi hiyo kwa aibu?
Ukosoaji ulio imara na wenye tija ni ule unaotumia ufundi wa kung'arisha rangi ya chatu kwa mfumo wa picha jongefu wakati akihitahitaji mawindo!!
Huyo ni askofu wa mwili na nafsi sio ROHO na yeye analitambua hilo, muulize huko aliko USA, watu wanafahamu A to Z kuhusu huyo mtu aliyevaa kofia ya cowboy
Hitler na ukatili wake huo mpaka leo anasemwa sembuse Dikteta Uchwara???We utakuwepo milele ili hali ukiendelea na agenda moja tu hiyo ya kumsema
Nawe umedanganywa ukaitikia ndiyoJiwe limeoza, JPM alipigiwa dua nyingi Sana na yamemkuta, alitesa wengi.
Badala ya kufanya kazi za kijasusi, walikua wanafuatilia watu ambao sio tishio kabisa kwa usalama wa nchi.Ukikosoa namna hii mitandaoni special task force ilikufuatilia. Kama una bahati utaokotwa Unonio, kama huna bahati utaishia kwenye sandarusi baharini.