4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 11,515
- 13,353
Kufa ni wajibu , hata wewe kesho unaweza kufa mdomo wazi, Shida nyie machawa na Makunguni wa ccm mnapenda kila mtu ajae upumbavu ambao mmeujaza kwenye bongo zenu,Pumbavu ni wewe idiot ,utakufa Kwa chuki na Samia utamuacha akiitwa Mama wa Taifa,got it?
Mwambie kiongozi wako ukweli kwamba hapa umefanya vizuri na hapa unaboronga wenda ukaonekana mtu bora sana mbele yake ,kwa Mungu wako lakini na kuitendea nafsi yako haki
Sasa nyie kwenu kila kitu Mwenyekiti wenu yupo sawa , Hamjengi ndo mnamharibia sana, Fanya siasa kama sehem ya kiburudisho ila sio kwamba iwe sehem ya kukupatia mkate wako wa kila siku,