Porojo achia nyie wajinga,Mama wa Taifa ni kazi tuu
View: https://twitter.com/FMzaramu/status/1714255925031190749?t=t4QESDRt8F65EhCrRmkKQQ&s=19
Nchi imemshinda amebaki kuhonga vipaza wa mitandaoni kumsifia kijuha
Porojo achia nyie wajinga,Mama wa Taifa ni kazi tuu
View: https://twitter.com/FMzaramu/status/1714255925031190749?t=t4QESDRt8F65EhCrRmkKQQ&s=19
Mwaka wa ngapi huu unaimba hii chorus? Itamshinda Hadi 2030.Nchi imemshinda amebaki kuhonga vipaza wa mitandaoni kumsifia kijuha
Mtumishi wa wapi? Takataka zinajiita Bishop..Uaskofu huo alipewa na nani?Takatakamtumishi wa Mungu
nadhani wamefuta kwa kuwa ukweli wa taarifa yako hauna uhakika na hiyo ni sensitive newsKuna thread yangu imefutwa humu , nimeelezea malalamiko ya mapadre wa TEC Kutoshirikishwa huko singida …ikielezwa kuwa ina shinikizo la waziri .. kutokana na Tamaa yake ya kutumia mikutano hiyo kwa ajenda binafsi za bandari , kumlaghai mama kwa kumpa jina ambalo hajaafiki la mama wa taifa …
kufuta thread haisaidii na mtu haiwezi kuja kuwa rais wa nchi kwa kuanza tu kuwatenga TEC kwa kuwa tu wanapinga bandari
Achukiwe juu ya nini?ana nini?Ila hiondoi kwamba ni hater wake
Haisaidii...Unaona taifa likinajisiwa unasema achana nayo?
Mmepatwa na nini nyie kizazi hiki?
Huenda tatizo lako ni la kijinsia, huna uhakika na jinsia yakoMwaka wa ngapi huu unaimba hii chorus? Itamshinda Hadi 2030.
Ikibidi na wewe honga wa kupinga humu mitandaoni.😂😂
Mama wa Taifa amekuchanganya tayari,kitumbua kimeingia mchanga 🤣🤣Huenda tatizo lako ni la kijinsia, huna uhakika na jinsia yako
Sahau hizo day dreams zenu, labda mama yenu tu na sio taifa lenye heshima yakeMama wa Taifa amekuchanganya tayari,kitumbua kimeingia mchanga 🤣🤣
Heshima ya Taifa inaletwa na SamiaSahau hizo day dreams zenu, labda mama yenu tu na sio taifa lenye heshima yake
Samia nae ana mumeKwani Baba wa Taifa hakuwa na mke?
Wewe ni mzima kweli?Sasa mnaanza kuamini kuwa hii nchi ina wagonjwa wa akili wengi. Wewe utakuwa mmoja wao.
Kama hakuuza alikurithisha mbona wewe Bado maskini?
Hilo ndio tatizo lako? Aitwe Mama wa Taifa kulishushua Kanisa Katoliki?Askofu Mkuu wa KKKT Dayosis ya Singida Dk.Cyprian Hilint (PhD) amependekeza kwamba Rais Samia Aitwe Mama Wa Taifa.
My Take
Naunga mkono hoja, Samia anastahili hadhi hii.
Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.
=====
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Singida, Mchungaji Dkt. Cyprian Hilint amependekeza Rais Samia Suluhu Hassan aitwe ‘Mama wa Taifa’ kwa kuwa ndiye mwanamke wa kwanza Tanzania kushika nafasi ya Urais.
Pia soma: Mwita Waitara: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa
Hahaha huwa nasikia ile kauli ya "there is no GOD but Allah" Nilidhani ungesema ni chaguo la AllahMama Samia, ni chaguo la Mungu.
Baba wa Taifa alishalala 1999Sio mbaya maana tayari nasikia kuna Dada wa Taifa, Sijui Shangazi wa Taifa na kadhalika, iwavyo na iwe sie waungwana tunataka maendeleo na kulinda rasilimali zetu kwa vizazi vijavyo basi, mengine hatuna shida nayo
Akishaitwa mama wa Taifa matatizo ya Watanzania yatakuwa yamesovika?Askofu Mkuu wa KKKT Dayosis ya Singida Dk.Cyprian Hilint (PhD) amependekeza kwamba Rais Samia Aitwe Mama Wa Taifa.
My Take
Naunga mkono hoja, Samia anastahili hadhi hii.
Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.
=====
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Singida, Mchungaji Dkt. Cyprian Hilint amependekeza Rais Samia Suluhu Hassan aitwe ‘Mama wa Taifa’ kwa kuwa ndiye mwanamke wa kwanza Tanzania kushika nafasi ya Urais.
Pia soma: Mwita Waitara: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa