Askofu KKKT: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa

Askofu KKKT: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa

Kijana wa Kiume kutwa kushabikia wanawake Wajinga mtandaoni. Njaa na Uchawa mwisho wake ni Mauti.
 
Askofu Mkuu wa KKKT Dayosis ya Singida Dk.Cyprian Hilint (PhD) amependekeza kwamba Rais Samia Aitwe Mama Wa Taifa.

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1713928660107887071?t=DVh2RNnJeWXToP75ho9YSg&s=19

My Take
Naunga mkono hoja,Samia anastahili hadhi hii.

View: https://www.instagram.com/p/CyZ-hWcIccW/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.

watu na viatu wamejaza sumu vifuani kwa hasira kama chatu 😂🤣
 
Bila katiba mpya Mama Samia hataweza kupata heshima kama hii. Kama Raisi anafikiria ushindi wake binafsi kuliko nchi huwezi kumpa cheo nna heshima kama hii. Uzalendo ni pale ambako unajali wengine kuliko manufaa binafsi. Huyu Mama anasita sita kwenye katiba ni sababu tosha ya kuonyesha yuko wapi.

Inaelekea Mama anaanza tamaa na inabidi tuanzekumuita Mama Addul maana ndiye tajiri wetu mpya
Unataka katiba mpya yenye dira ipi au zipi..?? Au ndio unataka kanzu mpya shekhe yuleyule..??
 
Unataka katiba mpya yenye dira ipi au zipi..?? Au ndio unataka kanzu mpya shekhe yuleyule..??

Katiba ni kila kitu sheria zenye tija kwa manufaa ya nchi yetu ili tuwweze kuendelea. Haya ndiyo nataka kwenye katiba mpya

1. Tume huru ya uchaguzi ambayo ambayo inawajumbe huru
2. Bank kuu huru yenye leongo kubwa na kuongeza ajira na kupunguza riba za mikopo ili kukuza kuweka mfumo wa kisasa wa bank.
3. Ardhi iwe binafsi ili uwekezaji wa ndani na nje uongezeke
4. Dual Citizenship hasa kwa diaspora kama ya Kenya ambayo tayari imeshajaribiwa na kuonyesha haina madhara yeyote. Hii itaongeza uwekezaji kama kwa wenzetu
5. Mahakama ambayo majaji wanapendekezwa na bunge lakini wanahakikiwa na Bunge
6. Kitengo cha rushwa chenye haki ambacho hakitegemei Raisi. Yaani kiwe kitengo huru
7. Sheria mpya ya kuharakisha kesi na haki kutolewa na sio mfumo wa sasa wa miaka kuamuliwa kwa kesi
8. Wafanyakazi wa serikali wanaobainisha kupokea rushwa wasiruhusiwe kugombea uongozi tena
9. Serikali ya majimbo na wakuu wachaguliwe sio kuteuliwa
10. Kufundisha Kingereza na Kiswahili kuanzia darasa la kwanza.

Je wewe unataka nini? Au kila kitu ni vichekesho na madongo!
 

Hii nchi nilisema na ninasema tena, wasomi ndio wanaoongoza kwa kuwa wajinga. Kuna muda mtu anaongea, unajiuliza huyu hii PhD yake aliitoa wapi?
 
Katiba ni kila kitu sheria zenye tija kwa manufaa ya nchi yetu ili tuwweze kuendelea. Haya ndiyo nataka kwenye katiba mpya

1. Tume huru ya uchaguzi ambayo ambayo inawajumbe huru
2. Bank kuu huru yenye leongo kubwa na kuongeza ajira na kupunguza riba za mikopo ili kukuza kuweka mfumo wa kisasa wa bank.
3. Ardhi iwe binafsi ili uwekezaji wa ndani na nje uongezeke
4. Dual Citizenship hasa kwa diaspora kama ya Kenya ambayo tayari imeshajaribiwa na kuonyesha haina madhara yeyote. Hii itaongeza uwekezaji kama kwa wenzetu
5. Mahakama ambayo majaji wanapendekezwa na bunge lakini wanahakikiwa na Bunge
6. Kitengo cha rushwa chenye haki ambacho hakitegemei Raisi. Yaani kiwe kitengo huru
7. Sheria mpya ya kuharakisha kesi na haki kutolewa na sio mfumo wa sasa wa miaka kuamuliwa kwa kesi
8. Wafanyakazi wa serikali wanaobainisha kupokea rushwa wasiruhusiwe kugombea uongozi tena
9. Serikali ya majimbo na wakuu wachaguliwe sio kuteuliwa
10. Kufundisha Kingereza na Kiswahili kuanzia darasa la kwanza.

Je wewe unataka nini? Au kila kitu ni vichekesho na madongo!
Umeshindwa kutofautisha kati ya katiba na sheria (constitution vs Acts) 😁😁😁
Asa katiba (Sheria) ikaseme mtoto afundishwe kingereza kwa manufaa ya nani.? Jamii inatumia kiswahili wewe na kingereza unaenda kutumikia jamii ya wapi..? Kingereza ni lugha sio elimu inabidi kiondolewe kama lugha ya kufundishia na kibaki kama somo tu.

Alafu nenda kajifunze Tofauti ya katiba na sheria na kanuni ndio uje kubato na mimi la sivo wewe ni TAKATAKA.
 
Askofu Mkuu wa KKKT Dayosis ya Singida Dk.Cyprian Hilint (PhD) amependekeza kwamba Rais Samia Aitwe Mama Wa Taifa.

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1713928660107887071?t=DVh2RNnJeWXToP75ho9YSg&s=19

My Take
Naunga mkono hoja,Samia anastahili hadhi hii.

View: https://www.instagram.com/p/CyZ-hWcIccW/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.

Astaghafirul
 
Askofu Mkuu wa KKKT Dayosis ya Singida Dk.Cyprian Hilint (PhD) amependekeza kwamba Rais Samia Aitwe Mama Wa Taifa.

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1713928660107887071?t=DVh2RNnJeWXToP75ho9YSg&s=19

My Take
Naunga mkono hoja,Samia anastahili hadhi hii.

View: https://www.instagram.com/p/CyZ-hWcIccW/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.

Mwigulu ameamua kutumia hii Ziara kuiteka Nyara kwa kubagua hata baadhi ya madhehebu kwa sababu tu yanapinga UWEKEZAJI BANDARINI …, lakini ameenda mbali kufikia kutumia dhehebu lake kufikisha maatamanio yake ya kisiasa.
 
Askofu Mkuu wa KKKT Dayosis ya Singida Dk.Cyprian Hilint (PhD) amependekeza kwamba Rais Samia Aitwe Mama Wa Taifa.

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1713928660107887071?t=DVh2RNnJeWXToP75ho9YSg&s=19

My Take
Naunga mkono hoja,Samia anastahili hadhi hii.

View: https://www.instagram.com/p/CyZ-hWcIccW/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.

Amkaribishe katika Ukoo wake na amuite Mama wa Ukoo wake itatosha na itapendeza mno.

Mama wa Taifa la / wa Tanzania bado hajazaliwa na huenda hata asije Kuzaliwa.
 
Mwigulu ameamua kutumia hii Ziara kuiteka Nyara kwa kubagua hata baadhi ya madhehebu kwa sababu tu yanapinga UWEKEZAJI BANDARINI …, lakini ameenda mbali kufikia kutumia dhehebu lake kufikisha maatamanio yake ya kisiasa.
Siyo kila mwenye PhD ( Doctorate ) ana Akili na unaweza kukuta Wengine pamoja na kuwa nazo ( Kuzimiliki ) ila wana Mafaili yao Mirembe na Lutindi Mental Hospitals.
 
Nimeona hii katika vyombo vya habari! Bila aibu mtumishi wa Mungu akisimama na kushauri aitwe Mama wa Taifa na watu waliovaa nguo za kijani wakashangilia sana akiwamo Mwigulu Nchemba ambaye almanusura ajisahau na kupanda juu ya meza utadhani Stars imefunga goli!

Nauliza jee naye bila aibu amekubali ombi hilo la hovyo?

IMG-20231017-WA0001.jpg
 
Umeshindwa kutofautisha kati ya katiba na sheria (constitution vs Acts) 😁😁😁
Asa katiba (Sheria) ikaseme mtoto afundishwe kingereza kwa manufaa ya nani.? Jamii inatumia kiswahili wewe na kingereza unaenda kutumikia jamii ya wapi..? Kingereza ni lugha sio elimu inabidi kiondolewe kama lugha ya kufundishia na kibaki kama somo tu.

Alafu nenda kajifunze Tofauti ya katiba na sheria na kanuni ndio uje kubato na mimi la sivo wewe ni TAKATAKA.


Mtoto afundishwe kingereza na kiswahili kama hao watoto wa vigogo kwa faida ya nchi na watoto.

Kwanini watoto wa viongozi wa serikali kwa sasa wanasoma shule ambazo zinafundisha kingereza kuanzia msingi tena wanalipa mamilioni? Kwanini usimuulize Mwigulu na mawaziri wenzake ? Je hawa watoto wa mawaziri wanatofauti gani na watoto wa Watanzania wengine? Kwanini wapate elimu tofauti? Je wenyewe ni wajinga au wanapoteza pesa kuwasomesha hizo shule ambazo zinafundisha kiingereza?

Tatizo kuna watu wajinga na wanatetea vitu ambavyo haviwasaidii wadau fungukeni macho mnachezewa kama watoto na hawa viongozi wanao wadanganya wana wapenda🤔

Abdul mtoto wa samia kasoma shule ya kata ipi??
 
Back
Top Bottom