Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,979
- 26,083
wasema.Kwahiyo baba alioa bibi!!?
wasema.Kwahiyo baba alioa bibi!!?
Unajitoa ufahamuwasema.
Yap ule ugonjwa wa kujipendekeza una enea kwa kasi. Something need to be done kwakweli elese tutakuwa na kizazi cha ajab mbeleniAskofu Mkuu wa KKKT Dayosis ya Singida Dk.Cyprian Hilint (PhD) amependekeza kwamba Rais Samia Aitwe Mama Wa Taifa.
My Take
Naunga mkono hoja, Samia anastahili hadhi hii.
Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.
=====
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Singida, Mchungaji Dkt. Cyprian Hilint amependekeza Rais Samia Suluhu Hassan aitwe ‘Mama wa Taifa’ kwa kuwa ndiye mwanamke wa kwanza Tanzania kushika nafasi ya Urais.
Pia soma: Mwita Waitara: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa
Si wanasema askofu ni mtu wa karibu na Mungu na analosema anakuwa kapata maagizo toka mbinguni?Yap ule ugonjwa wa kujipendekeza una enea kwa kasi. Something need to be done kwakweli elese tutakuwa na kizazi cha ajab mbeleni
Wapi wamesema hivyo? Na wapi imeandikwa?Si wanasema askofu ni mtu wa karibu na Mungu na analosema anakuwa kapata maagizo toka mbinguni?
Ndio tumefunzwa hivyo, kwani mapokeo yote ya kuombea wafu wawekwe mahali pema peponi imeanikwa wapi?Wapi wamesema hivyo? Na wapi imeandikwa?