Askofu KKKT: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa

Askofu KKKT: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa

Nimeona hii katika vyombo vya habari! Bila aibu mtumishi wa Mungu akisimama na kushauri aitwe Mama wa Taifa na watu waliovaa nguo za kijani wakashangilia sana akiwamo Mwigulu Nchemba ambaye almanusura ajisahau na kupanda juu ya meza utadhani Stars imefunga goli!
Nauliza jee naye bila aibu amekubali ombi hilo la hovyo?View attachment 2784102
Vitu vingine achana navyo..
 
Askofu Mkuu wa KKKT Dayosis ya Singida Dk.Cyprian Hilint (PhD) amependekeza kwamba Rais Samia Aitwe Mama Wa Taifa.

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1713928660107887071?t=DVh2RNnJeWXToP75ho9YSg&s=19

My Take
Naunga mkono hoja,Samia anastahili hadhi hii.

View: https://www.instagram.com/p/CyZ-hWcIccW/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.

K.kkT na chadem yao wamekuwa wapumbavu sana kwa kweli
 
Haters mpo tabuni sana haki ya nani
Amka acha kulala wewe! Unajua maana ya neno mama wa Taifa?
Tulishindwa kuwaita kina Bibi Titi pamoja na ngarambe zote alizopata wakati wa ukoloni tuje kumuita anayetulaza giza nchi nzima? Anayefukuza Maasai kwao anawapa wageni?
Haitoshi hajui hata baraka ya kuwa na bandari hadi anaimilikisha jumla kwa wakuja?
Acha kulala!
 
Askofu Mkuu wa KKKT Dayosis ya Singida Dk.Cyprian Hilint (PhD) amependekeza kwamba Rais Samia Aitwe Mama Wa Taifa.

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1713928660107887071?t=DVh2RNnJeWXToP75ho9YSg&s=19

My Take
Naunga mkono hoja,Samia anastahili hadhi hii.

View: https://www.instagram.com/p/CyZ-hWcIccW/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.

Nyerere ni baba kwa huyu mama. Umri wa huyu mama ni sawa na Umri wa Makongoro mbaye sijui ni mtoto wa tatu wa wa nne wa Nyerere. Kwa hiyo sasa mnataka Baba wa Taifa Nyerere awe na mwenza mwingine Mama wa Taifa. Dah! Labda tushauru tu kuwa tufute hiyo ya Baba wa Taifa kabisa na kuanzisha ya Mama wa Taifa tu halafu tuache historia ituhukumu huko mbeleni.
 
Hatutaki kabisa kuingiliwa na mama Samia.


Mama Samia Suluhu Hassan linamtosha na linampendeza kabisa na ndiyo uhalisia.

Hilo la "mama wa taifa"apeleke kanisani. Kanisa lake wamuite hivyo, wapo huru.

Mama Samia hakutaka wala hakuna aliyetngaza aiwe hivyo. Limekuja lenyewe kwa heshima anayoionyesha kwa Watanzania na kuna wengi hawamuiti hivyo lakini haijalishi, ni kawaida tu, kila mtu yupo huru.

Mimi nimekulia ambapo kupata akili zangu nimekuta "mama'ngu" haitwi mama, anaitwa Bi... Na sisi watoto wote nyumbani tunamuita Bi..., isipokuwa siku ukimuita "mama" anaguna. Anajuwa ukimuita mama una jambo lako muhimu ambalo ni la baina ya mama na mwana. Saa zingine ukimuita mama alikuwa anasema "haya fyatuwa mzinga".

Mama Samia linamtosha na linapendeza zaidi, kwa apendae. Asiyependa amuite vyovyote apendavyo akienda kutia mizinga.
 
Askofu mwenyewe analafudhi ya kinyaturu..unategemea mnyaturu na mnyeremba akili wanatoa wap..zaidi kula nyama ya punda
 
Amka acha kulala wewe! Unajua maana ya neno mama wa Taifa?
Tulishindwa kuwaita kina Bibi Titi pamoja na ngarambe zote alizopata wakati wa ukoloni tuje kumuita anayetulaza giza nchi nzima? Anayefukuza Maasai kwao anawapa wageni?
Haitoshi hajui hata baraka ya kuwa na bandari hadi anaimilikisha jumla kwa wakuja?
Acha kulala!
Kama nisingeiona comment yako hii, ningekuhesabu kama mmoja ya watu wenye akili sana!
 
Jirani yangu huyu Unyianga anajua kujiposition,ni mwanasiasa ,alishawahi kuomba kugombea ubunge kupitia CCM akiwa msaidizi wa Askofu akapelea.
Kwa strategies anazozifanya
2025 Lazima agombee ubunge wa Singida Mjini
 
Kwani Mwigulu amekukosea nini? au kakugongea mkeo?
 
Back
Top Bottom