Askofu Kalikawe Bagonza: Uongozi na Uwanaharakati bahati mbaya unafunikwa na Propaganda za Kuelimishana

Sasa kushindwa kabisa kwenda shule na kwenda huko kwenye mitaaala ila sio bora kipi kina afadhali? Kumbuka hata Mkapa alianzia kusoma kwenye kibanda cha udongo.
Huwezi kufananisha kipindi walichosoma kina mkapa na sasa!! Na kumbuka Mkapa baadae alisoma shule binafsi za wamissionari zilizompa elimu bora iliyomwezesha kwenda kuwa lulu badae.

Mnachofanya CCM sasa ni kumkandamiza zaidi masikini kwa kumpa elimu ya hovyo, kwenye mazingira ya hovyo yasiyo na miundombinu na vifaa vya kutosha tena katika mitaala bomu ya elimu, huku watoto wenu wakisoma kwenye shule bora za private zinazofundisha kiingereza ili waje kuwashinda hao masikini kwenye interviews na kusurvive duniani huko mbeleni

CC@Molemo
 
Huwezi kufananisha kipindi walichosoma kina mkapa na sasa!! Na kumbuka Mkapa baadae alisoma shule binafsi za wamissionari zilizompa elimu bora iliyomwezesha kwenda kuwa lulu badae.

Mnachofanya CCM sasa ni kumkandamiza zaidi masikini kwa kumpa elimu ya hovyo, kwenye mazingira ya hovyo yasiyo na miundombinu na vifaa vya kutosha tena katika mitaala bomu ya elimu, huku watoto wenu wakisoma kwenye shule bora za private zinazofundisha kiingereza ili waje kuwashinda hao masikini kwenye interviews na kusurvive duniani huko mbeleni
Tabulalasa hilo haliwezi kuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Bagonza ni askofu wa KKKT kule kwao Karagwe kwenye dayosisi yake ni dikteta ajabu!
Ana miaka 18 toka awe askofu, nilipata fursa ya kushiriki kongamano flani wili jana, kajamaa kana majivuno ajabu! Ni mkabila, huwezi amini kama huyu mtu amatumika madhabahuni, yani hana tofauti na viongozi wengine wa kisiasa hapa nchini.

Ana dharau sana viongozi wenzie wa kanisa anajiona yeye ndio msomi pekee,!

Anaongozwa na mihemko ya kisiasa zaidi.

Kiufupi huyu angajikita tu kuwa mwanaharakati kama mwenzie Lisu tu.
Ndio umejibu hoja zake au?!

Hebu tuondelee kelele zako hapa.
 
Huyu Bagonza ni askofu wa KKKT kule kwao Karagwe kwenye dayosisi yake ni dikteta ajabu!
Ana miaka 18 toka awe askofu, nilipata fursa ya kushiriki kongamano flani wili jana, kajamaa kana majivuno ajabu! Ni mkabila, huwezi amini kama huyu mtu amatumika madhabahuni, yani hana tofauti na viongozi wengine wa kisiasa hapa nchini.

Ana dharau sana viongozi wenzie wa kanisa anajiona yeye ndio msomi pekee,!

Anaongozwa na mihemko ya kisiasa zaidi.

Kiufupi huyu angajikita tu kuwa mwanaharakati kama mwenzie Lisu tu.
hapo angemsifia "yesu" wenu ungemmwagia sifa zote unazozijua...heshimuni mawazo ya wengine, haiwezekani watz woote tukapongeza tuu - wengine tunadhani mtu wenu hafai!.
 
hapo angemsifia "yesu" wenu ungemmwagia sifa zote unazozijua...heshimuni mawazo ya wengine, haiwezekani watz woote tukapongeza tuu - wengine tunadhani mtu wenu hafai!.
Na sisi tunasema Lisu ni mwanahakati kama alivyo Musiba tu
 
Huyu Bagonza ni askofu wa KKKT kule kwao Karagwe kwenye dayosisi yake ni dikteta ajabu!

Ana miaka 18 toka awe askofu, nilipata fursa ya kushiriki kongamano flani wili jana, jamaaana majivuno ajabu! Ni mkabila, huwezi amini kama huyu mtu amatumika madhabahuni, yani hana tofauti na viongozi wengine wa kisiasa hapa nchini.

Ana dharau sana viongozi wenzie wa kanisa anajiona yeye ndio msomi pekee

Anaongozwa na mihemko ya kisiasa zaidi.

Kiufupi huyu angejikita tu kuwa mwanaharakati kama mwenzie Lisu tu.
Hahahaa umechanganyikiwa.
 
Huyu Bagonza ni askofu wa KKKT kule kwao Karagwe kwenye dayosisi yake ni dikteta ajabu!

Ana miaka 18 toka awe askofu, nilipata fursa ya kushiriki kongamano flani wili jana, jamaaana majivuno ajabu! Ni mkabila, huwezi amini kama huyu mtu amatumika madhabahuni, yani hana tofauti na viongozi wengine wa kisiasa hapa nchini.

Ana dharau sana viongozi wenzie wa kanisa anajiona yeye ndio msomi pekee

Anaongozwa na mihemko ya kisiasa zaidi.

Kiufupi huyu angejikita tu kuwa mwanaharakati kama mwenzie Lisu tu.
Discuss content acha ku-attack personality
 
Mimi ni KKKT huyo askofu nmeona hizo tabia nlipokuwa karagwe juzi kwenye tamasha! Yule alivyo hata hirizi atakuwa nazo ni kadikteta kwenye dayosisi yake hakuna mwenye sauti, mtu ana miaka 18 kwenye uaskofu katika dayosisi moja unategemea nini?

Haamini katika maombi,!
Kuna askofu wa dayosisi ya jirani yake yeye ni mhaya ila Bagonza ni mnyambwa hawaelewani ni kama paka na panya.

Kwa Bagonza udokta wake ndio kila kiti wengine wote ni takataka!

Hata hivyo ni Magufuli tano tena

Haya niite tena dada maana kufanya hivyo ndio unamuongezea Lisu kura.
Wewe na yesu wako magu hamuwezi mpenda Bagonza! Hilo lipo wazi lete stori nyingine.
 
UONGOZI na UANAHARAKATI

Kuna mjadala mzuri unaendelea kuhusu UONGOZI na UANAHARAKATI. Bahati mbaya unafunikwa na propoganda na kupoteza fursa ya kuelimishana. Wapo wanaoponda uanaharakati kwa kudai wanaharakati si viongozi. Kundi la pili linatukuza uongozi kuwa hauna uanaharakati.

Mimi natamani mtu anitajie kiongozi mmoja asiye mwana harakati. Kisha anitajie mwanaharakati ambaye si kiongozi.

Kwa nini?
1. Kwa lugha ya kawaida uanaharakati maana yake ni imani au ushawishi (conviction and commitment) katika jambo fulani analolisimamia mtu na kulipigania. Msimamo huo ndio unaomtofautisha mtu huyo na watu wengine.

2. Kama dhana hii hapo juu ni sahihi, unawezaje kuwa na kiongozi asiyekuwa na msimamo au jambo analolisimamia?

3. Kiongozi asiye na harakati ni kama "boga boga" hivi, yupo yupo tu. Na mwanaharakati asiye na uongozi ni kama msafiri asiyejua aendako. Uanaharakati na uongozi haviachani. Taifa letu linahitaji vyote yaani viongozi wenye harakati (mzigo wa maono).

Kuushetanisha uanaharakati ni kushetanisha maendeleo. Hakuna maendeleo bila harakati (passion and commitment). Kutetea uongozi usio na harakati ndani yake ni kustawisha uzembe, umwinyi, umangimeza, mazoea kandamizi na uongozi usio na matokeo chanya. Tunapowatetea viongozi waliofanya mambo makubwa, tusiwatenge na harakati.

Bwana Yesu na Mitume wote maarufu wa dini zinazojulikana, walikuwa wana harakati. Uana harakati ni kutoridhika na hali ya mambo inavyokwenda na kuamua kuchukua hatua kuibadilisha. Uana harakati ni uchochezi mtakatifu.

Natamani kuwa mwana harakati. Kungekuwa na duka linauza harakati, ningeenda kununua. Bahati mbaya hakuna duka, hakuna dawa, bali uana harakati hupatikana kwa mtu kujenga nidhamu ya kutathmini, kujitambua, kuhoji na kuchukua hatua.
This guy is a genius!
 
Umma una maslahi yake na viongozi wa dini wana maslahi yao.

Wakati uma unataka shule za bure wao viongozi wa dini wanataka shule private za kulipia.
Wakati uma unataka hospital za bei rahisi viongozi wa dini wanataka serikali private ili watoze pesa.
Wakati uma unataka vyuo vya serikali viwe vingi viongozi wa dini wanataka viwe vichache ili wadahili kwenye vyuo vyao.

Katika muktadha huo viongozi wa dini wachumia tumbo lazima wawe against na serikali yoyote.
IQ ya huyu askofu ni sawa na IQ za wagembea 260 hivi wa ccm kwa wakati mmoja. Ni kama alivyo Lissu, akisema neno moja tu maccm hata 400 watahangaika kumjibu pamoja . Tuliona hilo kwenye Bunge la katiba na hili lililopita na sasa kwenye uwanja wa siasa nje ya Bunge. Poleni ccm kwa kuzidiwa akili na vipaji
 
Back
Top Bottom