Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,371
- 33,019
Ukisikia kupatwa kwa Doroth ndiyo huku sasa.Bwana Yesu aliye mponya na apewe sifa.
Askofu Gwajima leo ataongoza ibada katika kanisa la ufufuo na uzima kabla hajaelekea bungeni Dodoma ambako kesho atahojiwa na kamati ya maadili ya bunge