huyu jamaa si mtumishi wa Mungu,ni mtu fulani mwenye nia za kisiasa na ukosoaji ila hajui anasema nini;
mtumishi gani wa Mungu kila siku unashusha mioyo ya watu ili kuwafanya wakose amani?,kama ameona korona ipo na imempata si aendelee kuamini ipo tu na sio kuanza kuaminisha na wengine wawe kama yeye?,
vipi kwanini asiunge mkono njia za yule wa chama kile moja kwa moja kama askofu miwani?
Bangonza,mimi najua wewe sio mtumishi wa Mungu,kwa sababu haubariki lolote kwenye nchi uiishiyo,sikuzuii kukosoa,bali simama na ukweli muda wote bila kuwa mbaguzi;
Mimi hapa sina chama,si mpinzani sio CCM,Maghufuli akifanya mema nampongeza,akifanya mabaya nakosoa,na sioni ubaya kwa hilo,vipi unadhani katika hili la korona huyu Rais hakufanya jambo kubwa sana kwa kuwatoa raia hofu juu ya janga hili?,na kama korona ipo kwa kiasi hiki cha uandishi wako,sema vifo na chukulia hali yetu kwanza katika uhalisia wake;
kama huu ugonjwa ungekuwepo hadi leo,sidhani kama siri isingefichuka;
askofu,unajivunjia heshima ya umri wako,mimi sikuheshimu kama mtumishi bali kutokana na umri wako;