TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,502
- 11,248
Askofu Emmanuel Lazaro wa T.A.G anayehutubia mkutano mkubwa mjini Arusha amebashiri kuwa nchi moja ya jirani itaivamia na kuitwanga Tanzania. Askofu huyo akaitaja kabisa Rwanda na kudai kuwa TZ haitaiweza Rwanda!
Angetabiri kabla ya hii sintofahamu kati ya Kikwete na Kagame angalau ningepoteza muda wangu kumsikiliza... Attention seeker!!