Mnyamwezi wa Urambo
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 927
- 274
Last edited by a moderator:
Kama Askofu mwenyewe ndiye huyu wala sishangai.
Askofu wa kanisa binafsi huyo
Askofu Emmanuel Lazaro wa T.A.G anayehutubia mkutano mkubwa mjini Arusha amebashiri kuwa nchi moja ya jirani itaivamia na kuitwanga Tanzania. Askofu huyo akaitaja kabisa Rwanda na kudai kuwa TZ haitaiweza Rwanda!
kama vip tumvizie kagame tumkate kichwa itakuwa mwisho wa mzzokweli wewe mwezi mchanga.
Askofu Emmanuel Lazaro wa T.A.G anayehutubia mkutano mkubwa mjini Arusha amebashiri kuwa nchi moja ya jirani itaivamia na kuitwanga Tanzania. Askofu huyo akaitaja kabisa Rwanda na kudai kuwa TZ haitaiweza Rwanda!
Angesema tunashinda ungeamini? mbona mnapinga msichokijua? kama ni la Mungu hakuna awezaye kuzuia lakini kama ni la kwake pia Titania. hakuna sababu ya kuanza kutukana au kudharau.
mkuu huyo sio Mkristo ni Freemasons.askofu gani hicho cheo kajipa mwenyewe!Napata Hasira sana niwaonapo wachungasanaji njaa na wapuuzi kama hawa.... Hakika wanaruzalilisha wakristo.