Askari watwangana hadharani

Askari watwangana hadharani

Ugomvi na cc wanajeshi hauishagi ngoja wataingia kwenye kumi na nane tu hao
 
Acha kuchezea FFU mjomba,embu tembelea Ukonga pale ujionee.Wale jamaa siyo watu wazuri wapo wengine walienda Jordan na Marekani kupata mafunzo ya juu.Mafunzo hayo(madini) ndio wanawalisha FFU wote nchini.
Huwezi kuwajua magereza kamaa hujafungwa fanya kosa makusudi then upelekwe segerea ukifika segerea anzisha kavulugu makusudi then utulete mrejesho""""""
 
Magereza ni Jeshi imara sana la kimya kimya! Wewe fikiria tu Polisi yoyote yule, Jwtz yeyote yule akifungwa anaenda gerezani! Sasa huko gerezani hao askari wanaokaa nao wanakiwango gani cha mafunzo.....Jiulize tu! Na je ushawahi kusikia wafungwa wamewashinda askari Magereza!?

Anyway acha wachapane
 
wewe askari magereza ni zaidi ya ffu katika kudhibiti vurugu
Sijaandika popote kuwa nani ni zaidi na nani si zaidi.

(KM) hupatiwa mafunzo ya kutuliza ghasia ziletwazo na wafungwa.

(FFU) hupatiwa mafunzo ya kutuliza ghasia ziletwazo na raia tu.

(MP) hutuliza ghasia za askari.

Sasa basi kila kada inaubora katika eneo lake, kujua ngumi ama kutokujua hilo jambo ni la mtu binafsi hakuna pahala panapolazimisha ukitaka kuwa (FFU, MP, au KM) ni lazima ujue kupigana kinachotakiwa ni kuwa na utimamu wa mwili vingine ni ziada.

Mambo ya kusema FFU wanapigwa sijui na KM sijui na MP ni ya kimtaani tu yasiyo na mbele wala nyuma ni sawa na useme MWALIMU WA HISTORIA HAMUWEZI MWALIMU WA FIZIKIA UTAONEKANA FALA
 
Magereza ni Jeshi imara sana la kimya kimya! Wewe fikiria tu Polisi yoyote yule, Jwtz yeyote yule akifungwa anaenda gerezani! Sasa huko gerezani hao askari wanaokaa nao wanakiwango gani cha mafunzo.....Jiulize tu! Na je ushawahi kusikia wafungwa wamewashinda askari Magereza!?

Anyway acha wachapane
Na gereza lenye watu elfu ishilini linalindwa na askari magereza Sita tuu
 
Makomando wanapatikana jWTZ yule captain dagaa pitia TBC ndio alituambia, magereza mpaka makomando wa kike wapo wapelekwe ngerengere sasa kama haitarudi mizoga
Fikra potofu hizo ukomandoo Ni mafunzo maalum ya kupambana na kujihami na maadui, kuvuka vikwazo mbalimbali na si vyeo, komando huwezi mjua kwa sura au tabia Bali Hadi utokee mtiti ndipo utaweza note kitu tupo nao kitaa na Ni watu very humble
 
Nilikuwa na ki techno changu kdg nkaona uvivu kuchukua picha,,ila nimepata raha kuona ngumi za makamanda,,,nilifatilia njue wale askari mag walitokea wapi fasta vile aisee walichafua hali ya hewa
mkuu, wewe ni GT lakini umetuangusha wenzio.
Yaani bonge la Tukio kama hilo lakini 'ukaona ukaona Uvivu' kulipiga picha?
 
Jeshi la Magereza ndilo bado linasimamia misingi ya kuajiri askari wake kwa VIGEZO VYA TANGU MKOLONI. Mwili uliojengeka, Urefu Stahiki, Utimamu wa mwili, Umri sahihi nk. Kwa mwendo huo Askari huyo akipewa mafunzo stahiki si mchezo.
Huko kwingine ajira za mjomba mjomba zimeharibu Majeshi yetu, utakuta mtu ana Kigugumizi lkn yuko Askari, Mtu Digidigi ni Askari, Matege Askari, Mwili Sikoseli utadhan anadondoka na Upepo naye Askari!
Hongera Jeshi la Magereza kwa ASKARI IMARA miiiiiili Jumba. Hawa wengine sikuhizi wanaajiri mpaka mbirikimo kwahiyo wachapeni tuu, nasema wapigwe tuuu mpaka waaajiri askari kwa Vigezo sio Ukanjanja.
Sasa urefu wako utakusaidia mbele ya drone za Mmarekani? Hopeless kabisa!!
 
Back
Top Bottom