Nawajua sana zamani nilishakuwa mmoja wao chini ya Kamanda Tesha, halafu nikakimbia huko.Mkuu kumbe unawajua hao Majitu..... Jamaaa wooote miiiili yao kama Great Kaliii ni habari nyingine hicho kikosi. Anyway tuishie hapo
Nawajua sana zamani nilishakuwa mmoja wao chini ya Kamanda Tesha, halafu nikakimbia huko.Mkuu kumbe unawajua hao Majitu..... Jamaaa wooote miiiili yao kama Great Kaliii ni habari nyingine hicho kikosi. Anyway tuishie hapo
Ndani ya ngome anaweza kuwa hata askari mmoja na mambo yakaenda.we
hakuna ujinga wa hivo..sema gereza gani linawatu ata 200 tu af walinde askari sita..?ukishiba togwa lala sio lazima ukoment
Mahabusu = CellIla mwanajeshi akifungwa anaenda Military prison. Wana mahabusu na jela zao.
Etii jamaniiiMbona hamna hata kapicha? Yaani vurugu zooote hizo hasisindikizwi na kapicha? Lol![]()
Hahaha kwaiyo unataka kujipa ukamomdo basi haina shida ila siku ukijichanganya kwa jamaa makomando halisi maini na vifogo vyako vikatengenishwa na ya dakika mmoja Mimi sitakuwepo penda kuheshimu taaluma za watuMuda mwingine ukiambiwa shirikisha na ubongo wako ukifanya mazoezi hakuna kinachoshindikana usikariri kila kitu.
Wamemchukua hospitality?Maeneo ya Buguruni askari wa JWTZ 3 wametwangana na askari magereza
Walianza kurushiana maneno kati ya wale wanajeshi 3 na askari magereza mmoja ndipo wakaanza kurushiana makonde baada ya askari magereza kuona anataka kuzidiwa akapiga simu ndipo baada ya muda mfupi wakatokea majamaa wawili wamevaa T-shirt za kijani nadhani za magereza,,,duh!!
Sikiuamini kama magereza wanajiamini vile kiufupi wameonesha umahiri,wamewachapa wale mabaka baka hadi mmoja nadhani jicho litakuwa limetolewa maana linaonekana kama limechanwa kabisa.
Wametokea traffic wameamua ugomvi na kumchukua mwanajeshi majeruhi hospitality nadhani
Nimesikitika kwanini askari wetu wadhalilishane mbele za RAIA?? Vijana wa kileo wanaoajiliwa maadili hakuna
Niliwahi kusema na ninasema.. kama ni ishu ya mkono.. hakuna jeshi la kuwashinda MAGEREZA... mm nimeishi nao wote hao.. MAGEREZA VUMBI LAKE SI LA KITOTO.. UNAKULA MCHEMSHO MIXER NDIZI CHOMA..
Wapo wanajeshi pia wakikuwekea mwichi unakaa.. ila wale madogo wa MAGEREZA wanakalisha hao wenzao..




Wamemchukua hospitality?
Wamemchukua hospitality?
Cm imejichanganyaWamemchukua hospitality?
very true na wazee wa mabakabaka siku zote wanamweshimu askari magereza sio polisiaskari magereza lazima wawe vizuri think watu walioshindikana huku mtaani wao ndio wanaishi nao, unategemea watakuwa ni watu wa mchezo mchezo![]()
Hahaha kwaiyo unataka kujipa ukamomdo basi haina shida ila siku ukijichanganya kwa jamaa makomando halisi maini na vifogo vyako vikatengenishwa na ya dakika mmoja Mimi sitakuwepo penda kuheshimu taaluma za watu
Ova
Niliwahi kumtandika MTU ngumi moja alienizidi kiumbo na urefu sikurudia alilazwa wiki nzima nilikwenda hospital na escoti ya askari kumuomba msamaha nililipa gharama zote za matibabuHao ni (KM) ni sawa na (FFU) au (MP).
Alafu kuwa mwanajeshi au askari wa jeshi lolote haimaanishi ndio unajua kupigana.
Kupigana ni uwezo wa mtu binafsi.
Hahahaha sijui ngumi kweli ila siku ikitokea kamanda yeyote kajichanganya kuleta ukamanda wake ntamtoa kishipa kwetu kule kwa mzee msisi tangaNyie ndio unakuta mtu kavaa nguo ya marehemu babu yake ya bakabaka mnafolenishwa na wake zenu,kitu kitskschokusababisha upigwe ni hofu na kutokujiamini ila heshima ni muhimu.