mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
ila jw kama wamepigwa wamenidhalilisha sana.
Hili ni la kuchekesha we unasikitikaje?
Matukio kama haya ndio yanafanya mtaa uchangamke....mie huwa nikikuta hivi njiani nasimama hadi mwisho wa show
Hujui mambo ya jeshi nadhani hata JKT hukwenda (hujafika advanced level)KWANI ASKARI SIYO RAIA? hii kauli ya RAIA Siipendi kama nini!
Acha kuchezea FFU mjomba,embu tembelea Ukonga pale ujionee.Wale jamaa siyo watu wazuri wapo wengine walienda Jordan na Marekani kupata mafunzo ya juu.Mafunzo hayo(madini) ndio wanawalisha FFU wote nchini.
We subiri IVECO zikajazwe mafuta.Huo ugomvi haujaisha
Walitumia kigezo gani???Ndugu yangu makomandoo sio habari ya kubumbaIliwahi kuandikwa humu kuwa Jeshi la Magereza kuna "Makomandoo" JWTZ cha mtoto!
Makomando wanapatikana jWTZ yule captain dagaa pitia TBC ndio alituambia, magereza mpaka makomando wa kike wapo wapelekwe ngerengere sasa kama haitarudi mizogaIliwahi kuandikwa humu kuwa Jeshi la Magereza kuna "Makomandoo" JWTZ cha mtoto!
Mueleze huyoMakomando wanapatikana jWTZ yule captain dagaa pitia TBC ndio alituambia, magereza mpaka makomando wa kike wapo wapelekwe ngerengere sasa kama haitarudi mizoga
Ha ha ha yaani unaonekana unaishi Uswasi,U make my Day
Ffu ni sehemu ambayo anapelekwa askari yeyote tu hasa asiye na nidhamu au anayekwazana na wazee ili akafe na njaa(marupurupu machache) mafunzo yao ni mepesi mno achilia mbali Yale ya awali ambayo ni mepesi zaidi,,Magereza sijafatlia sana ila hata kwa mwonekano wanaonekana wako fit mzeeAcha kuchezea FFU mjomba,embu tembelea Ukonga pale ujionee.Wale jamaa siyo watu wazuri wapo wengine walienda Jordan na Marekani kupata mafunzo ya juu.Mafunzo hayo(madini) ndio wanawalisha FFU wote nchini.
LiongoKuwa JW au Magereza haimaanishi wewe utakuwa na nguvu kuliko mwingine.Ukiwa askari na haufanyi mazoezi ya kutosha unakuwa mzembe tu Kuna jamaa yangu aliwahi kuwatandika wanajeshi watatu kama wamesimama hivi.Alianza mmoja akapigwa akapiga simu kwa wenzake nao wakachezea kichapo akawafungia kaunta bar.
Kigezo kama hiki cha huu uzi, jamaa wenye tisheti wamewatandika hadi jicho limeng'oka!Walitumia kigezo gani???Ndugu yangu makomandoo sio habari ya kubumba
Usiingie kwenye 18 ya magerezaAcha kuchezea FFU mjomba,embu tembelea Ukonga pale ujionee.Wale jamaa siyo watu wazuri wapo wengine walienda Jordan na Marekani kupata mafunzo ya juu.Mafunzo hayo(madini) ndio wanawalisha FFU wote nchini.