Jeshi la Magereza ndilo bado linasimamia misingi ya kuajiri askari wake kwa VIGEZO VYA TANGU MKOLONI. Mwili uliojengeka, Urefu Stahiki, Utimamu wa mwili, Umri sahihi nk. Kwa mwendo huo Askari huyo akipewa mafunzo stahiki si mchezo.
Huko kwingine ajira za mjomba mjomba zimeharibu Majeshi yetu, utakuta mtu ana Kigugumizi lkn yuko Askari, Mtu Digidigi ni Askari, Matege Askari, Mwili Sikoseli utadhan anadondoka na Upepo naye Askari!
Hongera Jeshi la Magereza kwa ASKARI IMARA miiiiiili Jumba. Hawa wengine sikuhizi wanaajiri mpaka mbirikimo kwahiyo wachapeni tuu, nasema wapigwe tuuu mpaka waaajiri askari kwa Vigezo sio Ukanjanja.