Nyakibimbili
Senior Member
- May 4, 2019
- 185
- 286
- Thread starter
- #301
Mh!! Kuna kipindi nilikuwa mbeya Chuo cha mag nakijua kilipo,kipo bondeni kando ya MTO kiwira nadhani jamaa wanasafiri mwendo mrefu xana kwa mguu,,walikuwa wakipita maeneo ya KK SAA 1 jioni hadi kesho yake asubuhi ndo tunawaona wanarudi tokea Tukuyu na bunduki zao,,,Kiwira- tukuyu km 112 hazipungui kwhy swala la ukakamavu nadhani wako vzr mnoMwaka 2016 nilikutana na kombania ya askari magereza mjini moshi,walikuwa katika mazoezi ya kutembea km 12.Kwa ajili ya kujiandaa kupanda mlima Kilimanjaro.Walikuwa wako hoi nikapata wasaa wa kuzungumza na afisa kiongozi wao mwenyenye cheo cha ASP(nyota tatu).Katika mazungumzo yetu akanidokeza kuwa hawajawahi kutembea mwendo mrefu kiasi kile,nilishangaa sana.
Wakati kwenye mafunzo ya awali jeshini kutembea (route march) km 40 ni kawaida sana.
Sasa nashangaa wanaosema askari wa jeshi la ulinzi ambaye anafundishwa kuvuka vikwazo anapokuwa vitani eti hana utimamu wa mwili kama askari wa FFU au Magereza.