Eh hivi mbona ni vitu vidogo tu hivyo. Wangepewa tu onyo. Chakushangaza askari hao wa barabarani wanakula rushwa kila siku na kila mahali hapo TZ na ni hali ya kuleta hatari kubwa barabarani pale wanapo waachia wavunja sheria kwa kupewa rushwa lakini hao husikii wakifukuzwa kazi
Huko KUJIPINDA kwa huyo kidume ndiko kumenifurahisha
Kamanda a Polisi Mkoani Kagera Henery Mwaibambe ameeleza waandishi wa habari muda mfupi uliopita kuwa, askari hao na mwenzao aliyewapiga picha wametambuliwa na tayari wamefukuzwa kazi.
Kwamba walikuwa wanafanya kazi katika Wilaya ya Misenyi.
==================
Chanzo:Harakatinews
too young for summary dismissal.
Huyu mmoja alianza kwa kumrushia mwenzake kwenye whastup,aliyerushiwa kamrushia mwingine,mara ikaenda kwa wa depo ,within few minutes hiyo picha ilikuwa inazunguka whatsup na baadae kidogo ikarushwa jamii forums,nadhani huu wote ni ulimbukeni wa mitandao na madhara ya teknolojia cheap ya mchina.majanga mengne ya kujitakia. sasa kulikuwa na haja gani ya kupiga hizo picha! ok kama lengo ilikuwa ni kuweka kumbukumbu iweje waziweke kwenye mtandao? me nadhani walichoka hii kazi ya upolisi
Ebwaba mwaka huu mwezi wa pili kwenye mzani wa Dodoma kama unaanza kuuacha mji nikiwa kwenye gari nikamwona Jamaa yangu tuliachana kitambo sana tangu tumemaliza shule huko mkoa, nikashuka nikamkumbatia akiwa kwenye uniform dah mi sikujua ka hairuhusiwi alitaka kulia
Polisi bana...........mwaka huu wamecharuka
[/QUOTE][FUKUZA WASHENZI WOTE HASA WALE WANAOTUDAI RUSHWA MI WANANIKERA SANA HATA KOSA LA KUKUELEKEZA UKAREKEBISHE WANATAKA PESA ILI WAKAHONGANE VIZURI