Hii ndio nimeipenda....
Askari wasilazimishe makosa
Sijui kama inatekelezeka
Kamanda a Polisi Mkoani Kagera Henery Mwaibambe ameeleza waandishi wa habari muda mfupi uliopita kuwa, askari hao na mwenzao aliyewapiga picha wametambuliwa na tayari wamefukuzwa kazi.
Kwamba walikuwa wanafanya kazi katika Wilaya ya Misenyi.
==================
Chanzo:Harakatinews
Huyo Polisi wa kike mzuri, sijui mtoto wa kihaya huyo.
Idiot!! Was eine dokument hier gestelt? Willst du uns verharsch oder was?Ngoja tukafaidi vizuri kuda dadeki... chezea "conjugal right" wewe.
N a nakala yao ya kufukuzwa hii hapa
Hii sio Hati ya kufukuza...inaogelea mambo mengine kabisa ya askari wa kikosi cha barabarani kurudishwa ili kupangiwa kazi nyingine.Hii ndio nimeipenda....
Askari wasilazimishe makosa
Sijui kama inatekelezeka
Nimeiprinti tena kwa rangi na natembea nayo. Leo wamenikamata nikawaonyesha hii kitu wakaniamkia shikamoo mzee!!!!
kwani police wanaruhusiwa brazilian hair kichwani?
Huyo Polisi wa kike mzuri, sijui mtoto wa kihaya huyo.
Sidhani kama walipigwa picha bila ridhaa yao.huyu aliyewapiga picha amepata faida gani hawa polisi nao wamezidi kujiachia bhana poleni sana waathirika iwe fundisho kwa wengine