Tangu mpewe uhuru wa kumsemea feitoto mnajiona mnaweza kushinik8za chochote!!Kuna clip inasambaa kwa kasi mitandaoni ikimuonesha askari wa usalama barabarani akifanya kazi yake lkn askari wa JWTZ anaingilia kazi ya polisi.
Hata polisi alipompa onyo yule askari wa JWTZ kuwa aache kufanya hivyo yule askari alijibu "huwezi kunionya mm paka wewe".
Kwa utovu huu wa nidhamu uliooneshwa na askari wa JWTZ hatua za kinidhamu na kiutumishi zichukuliwe haraka sana dhidi ya huyu askari wa JWTZ ili kuendelea kulinda hadhi na heshima ya jeshi la wananchi.
View attachment 2482744
Mkuu hao wa vyeo vya mabegani ni maafisa na ndio waliosoma hawa wa chini vyeo vyao ni vya mikononiImeshamfikia CDF itachukuliwa hatua kali iwe fundisho kwa wengine, tatizo hapo elimu, hawa wa vyeo vya mabegani kidogo shule mgogoro, nguvu kuliko akili. Atapoteza ajira na mafao yake ilhali amekaribia kustaafu.
Nampongeza huyo afwande jw maana hawa wenzetu ni kero kwa kubambikizia makosa na kudai rushwaKuna clip inasambaa kwa kasi mitandaoni ikimuonesha askari wa usalama barabarani akifanya kazi yake lkn askari wa JWTZ anaingilia kazi ya polisi.
Hata polisi alipompa onyo yule askari wa JWTZ kuwa aache kufanya hivyo yule askari alijibu "huwezi kunionya mm paka wewe".
Kwa utovu huu wa nidhamu uliooneshwa na askari wa JWTZ hatua za kinidhamu na kiutumishi zichukuliwe haraka sana dhidi ya huyu askari wa JWTZ ili kuendelea kulinda hadhi na heshima ya jeshi la wananchi.
View attachment 2482744
Nilimaanisha hivyo ndg, yani nyota.Mkuu hao wa vyeo vya mabegani ni maafisa na ndio waliosoma hawa wa chini vyeo vyao ni vya mikononi
Hata mipaka ya.nchi inalindwa na Polisi na Uhamiaji dunia nzima. Tunaweza kupunguza ukubwa wa jeshi na bajeti hiyo tukahamishia Polisi? Kuna nchi hazijawahi kupigana vita kabisa sijui kama zina ulazima wa kuwa na jeshi la gharama kubwa?Swali la pre form one
😂😂🤣🤣🤣🤣Kuna clip inasambaa kwa kasi mitandaoni ikimuonesha askari wa usalama barabarani akifanya kazi yake lkn askari wa JWTZ anaingilia kazi ya polisi.
Hata polisi alipompa onyo yule askari wa JWTZ kuwa aache kufanya hivyo yule askari alijibu "huwezi kunionya mm paka wewe".
Kwa utovu huu wa nidhamu uliooneshwa na askari wa JWTZ hatua za kinidhamu na kiutumishi zichukuliwe haraka sana dhidi ya huyu askari wa JWTZ ili kuendelea kulinda hadhi na heshima ya jeshi la wananchi.
View attachment 2482744
Umefanya utafiti huo lini na wapi,no research,no right to speak.NYAMBAFU MKUBWA WW,TPDF NI TAASISI KWA HIYO USIJITOE UFAHAMU KWA MANENO YAKO MACHAFU KWA AJILI YA MTU MMOJAInasemekana polisi ni wasomi kuliko JWTZ.
JWTZ wengi ni mbumbumbu
Wewe ni raia au askari???Hata mipaka ya.nchi inalindwa na Polisi na Uhamiaji dunia nzima. Tunaweza kupunguza ukubwa wa jeshi na bajeti hiyo tukahamishia Polisi? Kuna nchi hazijawahi kupigana vita kabisa sijui kama zina ulazima wa kuwa na jeshi la gharama kubwa?
Swiss hawana jeshi. Japan wamepunguza matumizi ya jeshi na jeshi lao haliendi kupigana popote hata kwenye Vikosi vya Umoja wa Mataifa vya kulinda amani.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Hahahaha, Kwa hili la kwako yakupasa ujitafakar Kwa kina, ,maana inatoa jibu la wazi una changamoto ya Akiri.Inasemekana polisi ni wasomi kuliko JWTZ.
JWTZ wengi ni mbumbumbu
Mkuu hao wa vyeo vya mabegani ni maafisa na ndio waliosoma hawa wa chini vyeo vyao ni vya mikononi
Majeshi yote yapo kwa mujibu wa katiba ya nchi,kila mtu atimize majukumu yake accordingly.Shida ni shule.Maafisa wanaenda TMA,hawa wengine unakuta kapiga basic course tu.shida inakuja hapa, mimi na wewe wote wajeshi (kwa kumsaidia tu polisi kwasababu polisi ni raia wakakamavu tu sio wanajeshi, kwa topic hii tufanye tu wote wajeshi), unatokea mtafaruku alafu wewe unajibizana na mimi mbele za watu, hapo mmoja anatakiwa kuwa na hekima hasa yule mdogo. polisi kumdharau au kumuamrisha mwanajeshi mbele za watu ni jambo la kumdharaulisha mwanajeshi mbele za watu, unategemea yeye afanye nini sasa, si anatumia ubabe wake wa kijeshijeshi? hivi polisi anayelinda na kupigana na raia anafikiri yupo level moja na JWTZ anayelinda mipaka ya nchi na kupigana na maadui wa nchi? kuweni serious.