Asiposhinda Hillary Clinton nahama Tanzania...

Asiposhinda Hillary Clinton nahama Tanzania...

Vijana wa CCM mjifunze kuwa tafiti za TWAWEZA na wengine wanaofanana nao huwa hazitoi picha halisi ya mwenendo wa kisiasa bali huongozwa na maslahi tu.
 
Hamaaa sasaa kudadekii tuonee na ukianz kutoa viomb unatkiw upge pc ilii kurudshaa mrejeshoo. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mwanamke bado ana uso nyororo hv,akapike sasa,mumewe anataka kula
 
ukienda usa unakutana na Trump, ukienda Russia unakutana na mnyama puttin, Korea unakutana na KIM..[emoji119] ukirudi home unakutana na JPM

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nahama sayari
 
Back
Top Bottom