Asiposhinda Hillary Clinton nahama Tanzania...

Asiposhinda Hillary Clinton nahama Tanzania...

VIPI ? UMESHAANZA KUFANYA 'PACKING'? MAMA KAANGUSHWA VIBAYA!!!
 
Mkuu.
BAK..ushapata tiketii..???
Au unabadili Gia Aridhiniii
 
Ha ha ha!
Basi ningekuwa hapo ningekwambia........ Kajificheni LOYAL PUB, au Kilimahewa Kwenye [emoji200]
Royal Pub ile ya Karuta!! siku hizi imechuja sana, kuna viwanja vya nguvu kweli kweli. 😀
 
Safar njema ndugu wasalimie uendako tumepoteza mwanachi muhimu tz mungu yuko pamoja nawe
 
Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania

Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu

Welcome our next president of USA Hillary R Clinton

View attachment 431199
Safari yako ya kuikimbia Tanzania imefikia wapi maana Clinton ndo hivyo tena.
 
Back
Top Bottom