Asiposhinda Hillary Clinton nahama Tanzania...

Asiposhinda Hillary Clinton nahama Tanzania...

Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania

Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu

Welcome our next president of USA Hillary R Clinton

View attachment 431199
Nimecheka sana ety[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania

Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu

Welcome our next president of USA Hillary R Clinton






Mkubwa jiaandaye kunikabidhi nyumba an uondoke
 
Mie nilikuwa kwa Mama Hillary, bahati haikuwa yake! kuna thread nimeeleza hisia zangu, mwana JF mwenzetu Elungata akanishauri kuwa nipate japo 'POMBE ' ili niwe na amani. Naomba mwenye kujikia kunifariji anitumie vijisenti vya kunywea pombe kwa halopesaaa 0629 53 37 64 natanguliza shukrani haahahahahahahah
 
Alikurupuka
Wala hakumjua Trump
Political ignorant
Msamehe bure huyo

ANAFANANA NA YULE ALOMWAMBIA EL, WAKATI WA KAMPENI 2015 KUWA "IKULU SIO ICU" MATOKEO YAKE KAFA YEYE JUZI NA EL ANADUNDA.....ALIPASWA KUKUMBUKA MDOMO ULIPONZA KICHWA NA BIBLIA INATUONYA "ULIMI NI KIUNGO KIDOGO LAKINI MADHARA YAKE NI MAKUBWA"

WAKATI FULANI KUKAA KIMYA NI HEKIMA NA NI VEMA KUWEKA AKIBA YA MANENO ILI KUEPUKA AIBU KAMA HII....
 
Back
Top Bottom