Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 12,136
- 25,381
Mkuu wewe una ghorofa kigamboni😀😀Zile asilimia 10 zilizobaki na mimi ndo nipo humo sina nyumba bado
Mkuu wewe una ghorofa kigamboni😀😀Zile asilimia 10 zilizobaki na mimi ndo nipo humo sina nyumba bado
kaka nimemuuzia mwijaku😃Mkuu wewe una ghorofa kigamboni
Swala ndiyo ipoje au ni ile BMW yako?
Kaka kwa hiyo skuizi unaishi kwenye apartment 🤣😂😂kaka nimemuuzia mwijaku😃
Chanika hazijafika bado kaka nimepanga geto😃Kaka kwa hiyo skuizi unaishi kwenye apartment 🤣😂😂
Haa iyo inakufaa mwenyewe acha niendelee kutembea tu hivi hivi kwanza ni mazoezi tosha😀😀Hiyo Ina Bomba Mbili Si Moja Kama PhonexView attachment 2886617
Kaka na yule mwenye nyumba yenu ni mtata sana si karibu na maeneo ya uwanja paleeChanika hazijafika bado kaka nimepanga geto😃
Usijali hata mimi nipo kwenye hiyo 10% hapa nimelala naona Assets zangu zote😀😀😀😀Zile asilimia 10 zilizobaki na mimi ndo nipo humo sina nyumba bado
Eeh kaka yan ni job true trueKaka na yule mwenye nyumba yenu ni mtata sana si karibu na maeneo ya uwanja palee
😃😃😃 Kuna raha yake ukikumbuka kitu unaamka tu unaangalia😀Usijali hata mimi nipo kwenye hiyo 10% hapa nimelala naona Assets zangu zote😀😀
Basi nakushauri endelea kushinda hukohuko wasije wakakufilisi kamtaji kakoMimi napenda kushinda jukwaa la biashara sijui kwa nn au ntakuwa enterprenuer wa hatari siasa ni mchezo mchafu na mapenzi ni sumu ndio maana sijawahi ingia humo
Umetisha sanaVijana wake 70 ni Kataa ndoa, wakati wameoa na mitoto mitatu mitatu.
Wote ni mabingwa na mafundi wa kuchakata mbusususu.
90%hawamkubali bashite
Wote Wana connection na michongo ya maana
-Rais wao ni Mshana Jr jamaa anakubalika sana
Wote et hawamkubali Lucas mwashambwa ,
Mtu anayefuatiliwa zaid ni GENTAMYCINE
Mwalimu maarufu zaidi ni Mpwayungu Village
Uzi maarufu zaidi ni wa mzinzi rikiboy wa kula kimasihara
Aliyeshinda miss jf ni kibibi kibishi balaa @Faizafox
Mzee wa pumba ni @ZeroIQ
Bila kumsahau Tajiri no . 1 if akifa aozi Bwana @kidukulilo