Asili ya majina ya maeneo mkoani Manyara

Asili ya majina ya maeneo mkoani Manyara

Majina ya maeneo wanapo toka Wairaqw

Wilaya ya Mbulu

Ayamaami | Ayamohe | Bargish | Bashay | Dongobesh | Endagikot | Endamilay | Eshkesh | Gehandu | Geterer | Gidihim | Gunyoda | Hayderer | Haydom | Imboru | Kainam | Maghang | Marang | Maretadu | Masieda| Masqaroda | Murray (Mbulu) | Nahasey| Nambisi | Sanu Baray | Tlawi | Tumati | Yaeda Ampa | Yaeda Chini


Wilaya ya Hanang
Balangdalalu | Bassodesh | Bassotu | Dirima | Endasaki | Endasiwold | Ganana| Gehandu | Gendabi | Getanuwas | Gidahababieg | Gisambalang | Gitting | Hidet | Hirbadaw | Katesh | Laghanga | Lalaji | Masakta | Masqaroda | Measkron| Mogitu | Nangwa | Simbay | Sirop

Wilaya ya Karatu
Baray | Buger | Daa | Endabash | Endamaghang | Endamarariek | Ganako | Kansay | Karatu | Mang'ola | Mbulumbulu| Oldeani | Qurus |
Rhotia

Wilaya ya Babati

Arri | Ayasanda | Baoy | Bashnet | Dabil | Dareda | Duru | Endakiso | Gallapo | Gidas | Kiru | Madunga | Magara | Magugu | Mamire | Mwada | Nar | Nkaiti | Qash | Riroda | Ufana


Wairaqw ndio jamii ya watu waaminifu sana Tanzania na kuhusu urembo au sura zao hawa ni Waethiopia au Wasomali wa Tanzania kwa asili, ni karne kama 5 zilizopita ndio asili yao ilitoka huko, hata na majina na sura zao ni Ethiopia na Somali, ni warembo sana na katika kazi za kuajiriwa au biashara au serikalini ukimpata mwiraqw basi ni waaminifu sana, kweli atasema kweli, uongo atasema hii ni uongo, pia wapole ila majasiri sana sana..

Wanawake wa Kiiraqw ni warembo sana sana naturally na wanaume ma handsome kwelikweli, kama waethiopia au halfcast wa kiarabu. I love my home land Arusha & Manyara.
 
Hii nimeeileta baada ya kufikwa na mafuriko maeneo ya Hanang, katesh Manyara

Kwenye mitandao ya kijamii wengi kwenye comment wakisikia jina Hanang au katesh, wanauliza ni wapi wakidhani mafuriko yametokea china au Japan, kutokana na majina ya eneo husika, wengi hawajui kama ni Tanzania.

Nimejaribu kuangalia majina ya maeneo ya mkoa WA manyara kweli yanashangaza, ni tofauti kabisa na maeneo mengi Tanzania, yanafanana na majina ya nchi za nnje.

Pia nilitaka kujua mkoa WA Manyara mbona hautajwi kama ni mkubwa hapa nchini? Wakati ukiangalia ni mkubwa sana, ukiwa Hedaru Same, Kilimanjaro unaweza kwenda Simanjiro kiurahisi ni karibu sana, Ukiwa Arusha ndio pua na mdogo, ukiwa Singida napo ni jirani sana.

Baadhi ya majina ya maeneo ya mkoa WA Manyara:

*Hanang
*Gitting
*Katesh
*Maghang
*Loiborsoit
*Muslur
*Getanuwas
*Haydom
*Murkuchida
*Datlaa
*Bargish
*Kainam
*Terat
*Waang'waray
*Orkesumet
*Hoshan
*Dareda
*Dongobesh

Na mengine mengi.

NB: kule Kuna watu wanaitwa wa Iraq na wambulu wanawake wao ni pisi Kali balaa
Ndugu, hilo ni eneo la wa-Iraq ama ukipenda waite wa-Mbulu, kuna wa-gorowa pia, wana vinasaba na watu wa Ethiopia kuanzia lugha yao na hata muonekano, si shaka kuona majina hayo ya vijiji vyao na ukawa unaona siyo majina ya kibantu maana wao siyo wabantu
 
Hii nimeeileta baada ya kufikwa na mafuriko maeneo ya Hanang, katesh Manyara

Kwenye mitandao ya kijamii wengi kwenye comment wakisikia jina Hanang au katesh, wanauliza ni wapi wakidhani mafuriko yametokea china au Japan, kutokana na majina ya eneo husika, wengi hawajui kama ni Tanzania.

Nimejaribu kuangalia majina ya maeneo ya mkoa WA manyara kweli yanashangaza, ni tofauti kabisa na maeneo mengi Tanzania, yanafanana na majina ya nchi za nnje.

Pia nilitaka kujua mkoa WA Manyara mbona hautajwi kama ni mkubwa hapa nchini? Wakati ukiangalia ni mkubwa sana, ukiwa Hedaru Same, Kilimanjaro unaweza kwenda Simanjiro kiurahisi ni karibu sana, Ukiwa Arusha ndio pua na mdogo, ukiwa Singida napo ni jirani sana.

Baadhi ya majina ya maeneo ya mkoa WA Manyara:

*Hanang
*Gitting
*Katesh
*Maghang
*Loiborsoit
*Muslur
*Getanuwas
*Haydom
*Murkuchida
*Datlaa
*Bargish
*Kainam
*Terat
*Waang'waray
*Orkesumet
*Hoshan
*Dareda
*Dongobesh

Na mengine mengi.

NB: kule Kuna watu wanaitwa wa Iraq na wambulu wanawake wao ni pisi Kali balaa
Mbona kama waarabu hao?
 
Majina ya maeneo wanapo toka Wairaqw

Wilaya ya Mbulu

Ayamaami | Ayamohe | Bargish | Bashay | Dongobesh | Endagikot | Endamilay | Eshkesh | Gehandu | Geterer | Gidihim | Gunyoda | Hayderer | Haydom | Imboru | Kainam | Maghang | Marang | Maretadu | Masieda| Masqaroda | Murray (Mbulu) | Nahasey| Nambisi | Sanu Baray | Tlawi | Tumati | Yaeda Ampa | Yaeda Chini


Wilaya ya Hanang
Balangdalalu | Bassodesh | Bassotu | Dirima | Endasaki | Endasiwold | Ganana| Gehandu | Gendabi | Getanuwas | Gidahababieg | Gisambalang | Gitting | Hidet | Hirbadaw | Katesh | Laghanga | Lalaji | Masakta | Masqaroda | Measkron| Mogitu | Nangwa | Simbay | Sirop

Wilaya ya Karatu
Baray | Buger | Daa | Endabash | Endamaghang | Endamarariek | Ganako | Kansay | Karatu | Mang'ola | Mbulumbulu| Oldeani | Qurus |
Rhotia

Wilaya ya Babati

Arri | Ayasanda | Baoy | Bashnet | Dabil | Dareda | Duru | Endakiso | Gallapo | Gidas | Kiru | Madunga | Magara | Magugu | Mamire | Mwada | Nar | Nkaiti | Qash | Riroda | Ufana


Wairaqw ndio jamii ya watu waaminifu sana Tanzania na kuhusu urembo au sura zao hawa ni Waethiopia au Wasomali wa Tanzania kwa asili, ni karne kama 5 zilizopita ndio asili yao ilitoka huko, hata na majina na sura zao ni Ethiopia na Somali, ni warembo sana na katika kazi za kuajiriwa au biashara au serikalini ukimpata mwiraqw basi ni waaminifu sana, kweli atasema kweli, uongo atasema hii ni uongo, pia wapole ila majasiri sana sana..

Wanawake wa Kiiraqw ni warembo sana sana naturally na wanaume ma handsome kwelikweli, kama waethiopia au halfcast wa kiarabu. I love my home land Arusha & Manyara.
Uko sahihi na hivo vijiji na tarafa zote👍
 
endakiso,endagwe,endanachan ,Dabil,endamaqhay naon mkiwasema sana ndugu zangu hawa kuwa maji mara moja ooh sijui ukimpa buku 5 anashukuru kiukweli hiyo ni asili huwezi kuibadili ni kama vile wangoni asili yao ni kupenda kufanya mapenzi sanaa
Nawewe ni WA Manyara?
 
Back
Top Bottom